< Lawiylar 15 >
1 Perwerdigar Musa bilen Harun’gha söz qilip mundaq dédi: —
Yahwe alizungumza na Musa na Haruni, akisema,
2 Israillargha mundaq denglar: — Herqandaq erkekning öz ténidin aqma chiqsa shu kishi shu aqma sewebidin napak sanalsun.
“Waambie watu wa Israeli, na sema kwao, 'Wakati mtu yeyote kisonono kimemwathiri mwili wake unatoa ugiligili, anakuwa najisi.
3 Aqma chiqishtin bolghan napakliq toghrisidiki höküm shuki, aqmisi meyli ténidin éqip tursun yaki éqishtin toxtitilghan bolsun, shu kishi yenila napak sanalsun;
Unajisi wake unatokana na athari ya kisonono. Iwe mwili wake unatoa ugiligili au umekoma, huo ni unajisi.”
4 mundaq aqma bolghan kishi yatqan herbir orun-körpe napak sanilidu we u qaysi nersining üstide oltursa shu nersimu napak sanilidu.
Kitanda chochote anachokilalia kitakuwa najisi, na kila kitu ambacho anakaa juu yake kitakuwa najisi.
5 Kimki u yatqan orun-körpige tegse, öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun, andin kech kirgüche napak sanalsun.
Yeyote anayegusa kitanda chake lazima afue nguo zake na aoge kwenye maji, na awe amenajisika mpaka jioni.
6 Shuningdek kimki mundaq aqma bolghan kishi olturghan nerside oltursa öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Yeyote anayekaa katika kitu chochote ambacho mtu ambaye ameathiriwa na kisonono alikaa, mtu huyo lazima afue nguo zake na aoge katika maji, na atakuwa najisi mpaka jioni.
7 Kimki aqma bolghan kishining ténige tegse, öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun, we kech kirgüche napak sanalsun.
Na yeyote anayegusa mwili wa ambaye ameathirika na kisonono lazima afue nguo zake na aoge katika maji, na awe najisi hadi jioni.
8 Eger aqma bolghan kishi pak birsige tükürse, shu kishi öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun, kech kirgüche napak sanalsun.
Kama mtu ambaye anaona majimaji kama hayo kwa mtu fulani ambaye ametakasika, ndipo mtu huyo lazima afue nguo zake na aoge kwenye maji, na atakuwa najisi hata jioni.
9 Qaysibir éger-toqumning üstige [aqma bolghan] kishi minse, shu nerse napak sanalsun.
Tandiko lolote ambalo ambaye anamajimaji ya kisonono atalikalia litakuwa najisi.
10 Kimki uning tégide qoyulghan nersilerge tegse kech kirgüche napak sanilidu; we kimki shu nersilerni kötürse, öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun, we kech kirgüche napak sanalsun.
Yeyote anayegusa kitu chochote kilichokuwa chini ya mtu huyo atakuwa najisi mpaka jioni, na yeyote anayebeba vitu hivyo lazima afue nguo zake na aoge katika maji; atanajisika mpaka jioni.
11 Aqma bolghan kishi qolini yumastin birkimge tegküzse, shu kishi öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Ambaye anamajimaji kama hayo akimgusa kabla kwanza ya kuosha kwa maji safi mikono yake, mtu aliyeguswa lazima afue nguo zake na aoge katika maji, na atakuwa najisi mpaka jioni.
12 Aqma bolghan kishi sapal qachini tutup salsa, shu qacha chéqiwétilsun; yaghach qacha bolsa suda yuyulsun.
Chungu chochote cha udongo ambacho ambaye anamajimaji kama hayo akigusa lazima kivunjwe, na kila chombo cha mti lazima kioshwe na maji safi.
13 Qachaniki aqma bar kishi aqma halitidin qutulsa, özining pak qilinishi üchün yette künni hésablap ötküzüp, andin kiyimlirini yuyup, éqin suda yuyunsun; andin pak sanilidu.
Wakati mwenye kisonono anapotakaswa katika kisonono chake, ndipo lazima ahesabu kwaajili yake siku saba kwaajili ya kutakasika kwake; ndipo afue nguo na aoshe mwili wake kwenye maji yatiririkayo. Ndipo atakuwa safi.
14 Sekkizinchi küni ikki paxtek yaki ikki bachkini élip, jamaet chédirining kirish aghzigha, Perwerdigarning aldigha keltürüp, kahin’gha tapshursun.
Katika siku ya nane lazima achukue njiwa wawili au kinda mbili za njiwa na aje mbele za Yahwe pakuingilia kwenye hema ya mkutano; pale lazima atoe hao ndege kwa kuhani.
15 Kahin ulardin birini gunah qurbanliqi üchün, yene birini köydürme qurbanliq üchün sunsun. Bu yol bilen kahin Perwerdigarning aldida uning aqma bolghanliqigha kafaret keltüridu.
Lazima kuhani awatoe, moja kama sadaka ya dhambi na nyingine kama ya kuteketezwa, na kuhani lazima afanye upatanisho kwaajili yake mbele za Yahwe kwaajili ya kisonono chake.
16 Eger bir erkekning meniysi özlükidin chiqip ketken bolsa, u pütün bedinini suda yusun, u kech kirgüche napak sanalsun.
Kama mtu yeyote ametokwa na shahawa, ndipo lazima aoge mwili wake wote katika maji; atanajisika mpaka jioni.
17 Shuningdek ademning meniysi qaysi kiyimige yaki térisige yuqup qalsa, suda yuyulsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Kila vazi au ngozi ambayo juu yake kuna shahawa lazama paoshwe kwa maji; itakuwa najisi mpaka jioni.
18 Er we ayal kishi bir-birige yéqinlishishi bilen meniy chiqsa, ikkisi yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Na kama mwanamke na mwanaume watalala pamoja na kunakutokwa kwa shahawa kwenda kwa mwanamke, lazima wote wawili waoge katika maji; watakuwa najisi mpaka jioni.
19 Eger ayal kishiler aqma kélish halitide tursa we aqmisi xun bolsa, u yette kün’giche «ayrim» tursun; kimki uninggha tegse kech kirgüche napak sanalsun.
Mwanamke anapokuwa kwenye hedhi, ataendelea kunajisika kwa siku saba, na yeyote anayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.
20 «Ayrim» turush mezgilide, qaysi nersining üstide yatsa, shu nerse napak sanilidu, shundaqla qaysi nersining üstide olturghan bolsa, shu nersimu napak sanalsun.
Chochote anacholala juu yake wakati wa hedhi kitakuwa najisi; kila kitu ambacho anakalia kitakuwa pia najisi.
21 Herkim uning orun-körpisige tegse öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Yeyote anayegusa kitanda chake lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; mtu huyo atakuwa najisi mpaka jioni.
22 Herkim u olturghan nersige tegse, öz kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Yeyote anayegusa chochote ambacho amekikalia lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; mtu huyo anakuwa najisi mpaka jioni.
23 We eger birkim u yatqan yaki olturghan jayda qoyulghan birer nersige tegse, kech kirgüche napak sanalsun.
Iwe juu ya kitanda au kitu chochote juu ya popote atakapokaa, kama akikigusa, mtu huyo atakuwa najisi mpaka jioni.
24 Eger bir er kishi shu halettiki ayal bilen birge yatsa, shundaqla uning xun napakliqi shu erge yuqup qalsa, u yette kün’giche napak sanalsun; u yatqan herbir orun-körpimu napak sanalsun.
Kama mwanaume yeyote akilala naye, na unajisi wa mwanamke ukamgusa, atakuwa amenajisika siku saba. Kila kitanda ambacho anakilalia mwanaume huyo kitanajisika.
25 Eger ayal kishining adet waqtining sirtidimu birnechche kün’giche xuni kélip tursa, yaki xun aqmisi adet waqtidin éship ketken bolsa, undaqta bu napak qan éqip turghan künlirining hemmiside, u adet künliride turghandek sanalsun, yene napak sanalsun.
Kama mwanamke ametokwa damu kwa siku nyingi ambayo siyo kipindi cha hedhi yake, au ikitoka zaidi ya kipindi chake cha hedhi, wakati wote wa siku za kunajisika, atakuwa kama alikuwa kwenye siku zake za hedhi. Yeye ni najisi.
26 Qan kelgen herbir künde u qaysi orun-körpe üstide yatsa, bular u adet künliride yatqan orun-körpilerdek hésablinidu; u qaysi nersining üstide olturghan bolsa, shu nerse adet künlirining napakliqidek napak sanalsun.
Kila kitanda anachokilalia wakati wote wa kutokwa damu itakuwa kwake sawa tu kama kitanda anacholalia wakati wa hedhi, na kila kitu ambacho anakalia kitakuwa najisi, kama tu unajisi wa hedhi yake.
27 Herkim bu nersilerge tegse napak bolidu; shu kishi kiyimlirini yuyup, suda yuyunsun we kech kirgüche napak sanalsun.
Na yeyote anayegusa kitu kati ya vitu hivyo atakuwa najisi; lazima yeye afue nguo zake na aoge mwenyewe kwenye maji, na atakuwa amenajisika mpaka jioni.
28 Ayal kishi qachan xun kélishtin saqaysa, u yette künni hésablap, ötküzüp bolghanda pak sanilidu.
Lakini kama mwanamke ametakasika katika kutokwa na damu, ndipo atahesabu kwaajili yake siku saba, baada ya hizo atakuwa safi.
29 Sekkizinchi küni u ikki paxtek yaki ikki bachkini élip jamaet chédirining kirish aghzigha, kahinning qéshigha keltürsun.
Katika siku ya nane atachukua kwake njiwa wawili au kinda wawili wa njiwa na atawaleta kwa kuhani pakuingilia hema ya mkutano.
30 Kahin bularning birini gunah qurbanliqi üchün, yene birini köydürme qurbanliq üchün ötküzsun; bu yol bilen kahin uning napak aqma qénidin pak bolushigha uning üchün Perwerdigarning aldida kafaret keltüridu.
Huyo kuhani atatoa ndege mmoja kama sadaka ya dhambi na mwingine kama sadaka ya kuteketezwa, na atafanya upatanisho kwaajili ya huyo mbele ya Yahwe kwaajili unajisi wa mwanamke atokwaye damu.
31 Siler mushu yol bilen Israillarni napakliqidin üzünglar; bolmisa, ular napakliqida turiwérip, ularning arisida turghan méning turalghu chédirimni bulghishi tüpeylidin napak halitide ölüp kétidu.
Hivi ndivyo lazima uwatenge watu wa Israeli katika unajisi wao, hivyo hawatakufa tokana na unajisi wao, kwa kuchafua hema langu, ambapo naishi kati yao.
32 Aqma kélish halitide bolghan kishi we meniy kétish bilen napak bolghan kishi toghrisida,
Huu ndio utaratibu kwa kila ambaye anakisonono, kwaajili kila mwanaume ambaye shahawa yake inatoka na inamfanya kuwa najisi,
33 Shuningdek xun kélish künliridiki aghriq ayal kishi toghruluq, aqma halette bolghan er we ayal toghruluq, napak halettiki ayal bille yatqan er toghruluq kelgen qanun-belgilime mana shulardur.
kwaajili ya mwanamke ambaye yuko katika kipindi cha hedhi, kwaajili ya yeyote aliye na kisonono, awe mwanaume au mwanamke, na kwaajili ya yeyote anayelala na mwanamke najisi.