< Yeshaya 20 >

1 Asuriyening [serdari bolghan] «Tartan» Ashdod shehirige kélip muhasire qilghan yili Asuriye padishahi Sargon uni ewetken (u Ashdodqa qarshi jeng qilip uni ishghal qildi): —
Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
2 — Shu chaghda Perwerdigar Amozning oghli Yeshaya arqiliq söz qilghanidi. U uninggha: — «Chatriqingdin böz ich tambilingni séliwet, putungdiki keshingni séliwet» — dégenidi; U shundaq qildi; yalingach we yalang ayagh méngip yürdi.
Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
3 We Perwerdigar axirida mundaq dédi: — «Méning qulum Yeshaya Misir we Éfiopiye toghruluq xewer béridighan bésharet hem karamet süpitide bolush üchün yalingach hem yalang ayagh üch yil méngip yürgendek,
Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
4 Oxshashla Misirliq esirler we Éfiopiyelik sürgünler yash bolsun, qéri bolsun, yalingach hem yalang ayagh, kasisi ochuq halda Asuriye padishahi teripidin Misirni shermendilikte qaldurup, yalap épkétilidu.
katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
5 Ular bolsa qorqushup, öz tayanchisi bolghan Éfiopiyedin we pexri bolghan Misirdin ümidsizlinip kétidu.
Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
6 Shuning bilen bu déngiz boyidikiler: — «Mana bu Asuriye padishahining weswesidin qorqup bashpanahliq izdep barghan tayanchimizghu, bizler emdi qandaqmu qutulalaymiz?» — déyishidu»».
Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''

< Yeshaya 20 >