< Ezakiyal 8 >

1 Altinchi yili, altinchi ayning beshinchi künide shundaq emelge ashuruldiki, men öz öyümde olturghinimda, Israilning aqsaqallirimu méning aldimda oltughinida, Reb Perwerdigarning qoli wujudumgha chüshti.
Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
2 Men qaridim, mana, otning qiyapitide bir zatning körünüshi turatti; bélining töwini ot turqida turatti; bélining üsti bolsa julalighan yoruqluq, qizitilghan mis parqirighandek körünüsh turatti.
Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
3 U qolning körünüshidek bir shekilni sozup, béshimdiki bir tutam chachni tutti; Roh méni asman bilen zémin otturisigha kötürüp, Xudaning alamet körünüshliride Yérusalémgha, yeni ibadetxanining shimalgha qaraydighan ichki derwazisining bosughisigha apardi. Ashu yer «pak-muqeddeslikke qarshlashqan mebud», yeni Xudaning pak-muqeddes ghezipini qozghaydighan mebud turghan jay idi.
Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
4 Mana, men tüzlenglikte körgen alamet körünüshtek, Israilning Xudasining shan-sheripi shu yerde turatti.
Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
5 U manga: — I insan oghli, béshingni kötürüp shimal terepke qarap baq, dédi. Men béshimni kötürüp shimal terepke qaridim, mana, qurban’gahning derwazisining shimaliy teripide, bosughida shu «pak-muqeddeslikke qarshilashqan mebud» turatti.
Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
6 We u manga: — I insan oghli, ularning bundaq qilmishlirini — Israil jemetining Méni muqeddes jayimdin yiraq ketküzidighan, mushu yerde qilghan intayin yirginchlik ishlirini kördüngsen? Biraq sen téximu yirginchlik ishlarni körisen, — dédi.
Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
7 We U méni ibadetxana hoylisining kirish éghizigha apardi, men qaridim, mana, tamda bir töshük turatti.
Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
8 U manga: — I insan oghli, tamni kolap teshkin, dédi. Men tamni kolap teshtim, mana, bir ishik turatti.
Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
9 U manga: — Kirgin, ularning mushu yerde qilghan rezil yirginchlik ishlirini körüp baq, dédi.
Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
10 Men kirip qaridim, mana, etrapidiki tamlargha neqish qilin’ghan herxil ömiligüchi hem yirginchlik haywanlarni, Israil jemetining hemme butlirini kördüm.
Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
11 We bularning aldida Israil jemetining yetmish aqsaqili turatti. Ularning otturisida Shafanning oghli Jaazaniya turatti; ularning herbiri qolida öz xushbuydénini tutup turatti; xushbuy quyuq buluttek örlep chiqti.
Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
12 We U manga: — I insan oghli, Israil jemetidiki aqsaqallarning qarangghuluqta, yeni herbirining öz mebud neqish qilin’ghan hujrisida néme qilghanliqini kördüngmu? Chünki ular: «Perwerdigar bizni körmeydu; Perwerdigar zéminni tashlap ketti» — deydu, — dédi.
Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
13 We U manga: — Biraq sen ularning téximu yirginchlik qilmishlirini körisen, dédi.
Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
14 U méni Perwerdigarning öyining shimaliy derwazisining bosughisigha apardi; mana, shu yerde «Tammuz üchün matem tutup» yighlawatqan ayallar olturatti.
Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
15 We U manga: — I insan oghli, sen mushularni kördungmu? Biraq sen téximu yirginchlik ishlarni körisen, — dédi.
Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
16 We U méni Perwerdigarning öyining ichki hoylisigha apardi. Mana, Perwerdigarning ibadetxanisining kirish yolida, péshaywan we qurban’gahning otturisida, yigirme besh adem, Perwerdigarning ibadetxanisigha arqisini qilip sherqqe qarap quyashqa choquniwatatti.
Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
17 We U manga: — I insan oghli, sen mushularni kördungmu? Yehuda jemeti özi mushu yerde qilghan yirginchlik qilmishlirini yénik dep, ular yene buning üstige zéminni jebir-zulum bilen toldurup méning achchiqimni qayta-qayta qozghatsa bolamdu? We mana, ularning yene shaxni burnigha tutiwatqinigha qara!
Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
18 Shunga Men qehr bilen ularni bir terep qilimen; Méning közüm ulargha rehim qilmaydu, ichimnimu ulargha aghritmaymen; ular quliqimgha yuqiri awazda nida qilsimu, ularni anglimaymen, — dédi.
Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”

< Ezakiyal 8 >