< Ezakiyal 40 >

1 Bizning sürgün bolghanliqimizning yigirme beshinchi yili, yilning béshida, ayning oninchi künide, yeni sheher bösülgendin on töt yil kéyin — del ashu künide Perwerdigarning qoli méning wujudumgha qondi, we U méni [sheherge] apardi.
Katika mwaka wa ishirini na tano wa kuhamishwa kwetu mwanzoni mwa mwaka siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya mji kuchukuliwa-katika siku hiyo hiyo, mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu na alinichukua huko.
2 Xudaning alamet körünüshliride U méni Israil zéminigha apirip, intayin égiz tagh üstige orunlashturdi; taghning jenubiy teripide sheherdek bir qurulush turatti.
Katika maono ya Mungu akanileta hata nchi ya Israeli. Akanileta kupumzika juu ya kila mlima mrefu sana; upande wa kusini kulikuwa na monekano kana kwamba majengo ya mji.
3 U méni shu yerge apardi; mana qolida kanap tanisi we ölchem xadisini tutqan, misning körünüshide bolghan bir kishi; u derwazida turatti.
Kisha akanileta huko. Tazama, kulikuwa na mtu! Mwonekano wake ulikuwa kama mwonekano wa shaba. Alikuwa na uzi wa kitani na mwanzi wa kupimia mkononi mwake, na alisimama katika lango la mji.
4 Bu kishi manga: «Insan oghli, közliring bilen körüp, quliqing bilen anglap, könglüngni men sanga körsitidighan barliq ishlargha baghlighin; chünki buning sanga körsitilishi üchün sen mushu yerge élip kélinding. Israil jemetige barliq körginingni ayan qil».
Huyo mtu akanambia, “Mwanadamu, tazama kwa macho yako na sikiliza kwa masikio yako, na elekeza moyo wako juu ya yote ninayokufunulia, kwa kuwa ulinileta hapa ili niweze kukufunulia haya wewe. Toa taarifa ya kila kitu utakachokiona kwa nyumba ya Israeli.
5 We mana, ibadetxanining hemme teripide tam bar idi. U kishining qolida alte gezlik ölchem xadisi bar idi; shu chaghdiki «bir gez» bir gez bir aliqan’gha toghra kéletti. U tamning kenglikini ölchidi, bir «xada» chiqti; égizliki bolsa, bir «xada» chiqti.
Kulikuwa ukuta uliokuwa umezunguka eneo la hekalu. Urefu wa kipimo cha mwanzi katika mkono wa mtu ulikuwa dhiraa sita urefu, kila urefu wa dhiraa ulikuwa dhiraa moja na kipimo cha kiganja cha mkono urefu. Aliupima ukuta; ulikuwa kipimo cha mwanzi mmoja na ufito mmoja urefu.
6 U sherqqe qaraydighan derwazigha kélip, uning pelempeylirige chiqti; uning bosughisining kenglikini ölchidi, u bir xada chiqti. Yene bir teripining kengliki bir xada chiqti.
Kisha akaenda hata kwenye lango la hekalu lililokuwa limeelekea mashariki. Akapanda ngazi na kuipima kizingiti cha lango-mwanzi mmoja upana.
7 [Derwazining ichidiki] herbir «oyuq öy»ning uzunluqi bir xada, kengliki bir xada idi; oyuq öylerning ariliqi besh gez idi; derwazining ichidiki bosugha, yeni ichkirige qaraydighan dehlizning aldidiki bosughining [ikki teripining] uzunluqi [ayrim-ayrim] bir «xada» chiqti;
Vyumba vya ulinzi vilikuwa kila mwanzi mmoja urefu na mwanzi mmoja upana; kulikuwa na dhiraa tano katika kila vyumba viwili, na kizingiti cha lango la hekalu karibu na tawa la hekalu kilikuwa mwanzi mmoja urefu.
8 u derwazining ichkirige qaraydighan dehlizni ölchidi, [uzunluqi] bir xada chiqti.
Akapima tawa la lango; ulikuwa mwanzi mmoja urefu.
9 U derwazining dalinining uzunluqini ölchidi, sekkiz gez chiqti; uning késhikining yénidiki tamning qélinliqi ikki gez chiqti. Mushu dalan ichkirige qaraytti.
Akapima tawa la lango. Ilikuwa mwanzi mmoja kwenda chini. Mihimili ilikuwa dhiraa mbili upana. Hili lilikuwa tawa la lango kuelekea hekalu.
10 Sherqqe qarighan derwazining ichide, u teripide üchtin, bu teripide üchtin oyuq öyler bar idi. Üchilisi oxshash ölchemde idi; üch öyning ikki yan témi oxshash qélinliqta idi.
Kulikuwa na vyumba vitatu vya ulinzi pande zote za lango la mashariki, na yote yalikuwa na kipimo kile kile, na kuta zilizokuwa zimezigawanya zilikuwa na kipimo kile kile.
11 U derwazini ölchidi, kengliki on gez chiqti; uning jemiy uzunluqi on üch gez idi.
Kisha yule mtu akapima upana wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi; na akapima urefu wa njia ya lango la kuingia-dhiraa kumi na tatu.
12 Bu yandiki oyuq öylerning aldida bir gez qélinliqtiki bir tosma tam bar idi, we u yandiki oyuq öylerning aldida bir gez qélinliqta bir tosma tam bar idi; heryandiki oyuq öylerning kengliki alte gez idi.
Akaupima ukuta uliokuwa mpaka mbele ya vyumba-dhiraa moja urefu. Vyumba vilipimwa dhiraa sita kila upande.
13 U derwazining jemiy kenglikini, yeni bu tereptiki oyuq öyning ögzisining [arqa léwidin] u tereptiki oyuq öyning ögzisining [arqa léwighiche] yigirme besh gez chiqti; bu tereptiki oyuq öyning ishiki bilen u tereptiki oyuq öyning ishiki bir-birige qarishatti.
Kisha akapima lango la njia kutoka kwenye paa ya chumba kimoja kuelekea chumba kingine-dhiraa ishirini na tano, kutoka lango la kuingia chumba cha kwanza kuelekea kile cha pili.
14 U ichki hoyligha kirish éghizidiki tüwrüklerni ölchidi; ularning égizliki atmish gez chiqti; derwaza témi bu hoylining tüwrüklirini orap turghanidi.
Kisha akapima ukuta uliokuwa umeenda kati ya vyumba vya ulinzi-dhiraa sitini urefu; alipima kwa mbali na tawa la lango.
15 Derwazining tüwidin dalanning ichki éghizighiche ellik gez chiqti.
Lango la kuingia kutoka lango la mbele kuelekea lango jingine la tawa la mwisho lilikuwa dhiraa hamsini.
16 Oyuq öylerning herbirining udul témida, shundaqla oyuq öylerning ariliqida, dalanning yénida oxshashla rojekler bar idi; mushu rojekler sirtigha qarap tariyip mangghan idi; herbir ariliqtiki tam-tüwrüklerge palma derexliri neqqishlen’genidi.
Kulikuwa na madirisha yaliyokuwa yamefungwa kuelekea vyumba na kuelekea nguzo zake kati ya malango kuzunguka kote; na vivyo hivyo kwa mabaraza. Kulikuwa na madirisha pande zote za ndani, na kila mhimili ulikuwa umepambwa kwa mitende.
17 U méni sirtqi hoyligha apardi; mana, kichik xanilar, we sirtqi hoylini chöridep yasalghan tash taxtayliq supa; supining üstige ottuz kichik xana sélin’ghan.
Kisha huyo mtu akanileta hata ua wa nje mwa hekalu. Tazama, kulikuwa na vyumba, na kulikuwa na kibamba katika ua, pamoja na vyumba thelathini baada ya kibamba.
18 Bu tash taxtayliq supa hoylidiki derwazilargha tutashqan, uning kengliki ularning uzunluqigha barawer idi; bu «pes tash supa» idi.
Kibamba kilienda juu hata upande wa malango, na upana wake ulikuwa sawsawa na urefu wa malango. Hiki kilikuwa kibamba cha chini.
19 U töwenki derwazining ichi teripidin ichki hoylining sirtqi témighiche bolghan ariliqni ölchidi; sherq we shimal tereplerningmu yüz gez chiqti.
Kisha huyo mtu akapima umbali kutoka mebele ya lango la chini hata mbele ya lango la ndani; ilikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki, na sawasawa na upande wa kaskazini.
20 Andin sirtqi hoyligha kiridighan, shimalgha qaraydighan derwazining uzunluqi we kenglikini ölchidi.
Kisha akapima urefu na upana wa lango lililokuwa upande wa kaskazini mwa ua wa nje.
21 Uning bu teripide üchtin oyuq öy, u teripide üchtin oyuq öy bar idi; uning tüwrükliri, dalanliri birinchi derwaziningkige oxshash idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez.
Kulikuwa na vyumba vitatu pande zote za lango, na lango na matawa yake yalipimwa sawa na lango kubwa-dhiraa hamsini upana wote na dhiraa ishirini na tano upana.
22 Uning dériziliri, dalanliri, palma derex neqishliri sherqqe qaraydighan derwaziningkige oxshash idi; kishiler uning yette basquchluq pelempiyi bilen chiqatti; uning dalini ichkirige qaraytti.
Madirisha yake, tawa, vyumba, na mitende yake vilikabiliana na lango ambalo linaloelekea mashariki. Ngazi saba kuupandia juu hata kwenye tawa lake.
23 Ichki hoylida shimal we sherqtiki derwazilargha udul birdin derwaze turatti; u derwazidin derwazighiche ölchidi, yüz gez chiqti.
Kulikuwa na lango kwenye ua wa ndani mbele kuelekea mashariki; huyo mtu alipima kutoka lango moja hadi lango jingine-dhiraa mia moja umbali.
24 U méni jenub terepke apardi; mana, jenubqimu qaraydighan bir derwaza bar idi; u uning tüwrükliri, dalanlirini ölchidi, ular bashqilirigha oxshash idi.
Kisha huyo mtu akanileta hata kwenye lango la kuingia la kusini, na kuta zake na tawa vilipimwa sawa kama malango mengine ya nje.
25 Derwazining we dalinining etrapidiki dériziler bashqilirigha oxshash idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
Kulikuwa na madirisha yaliyofungwa katika lango la njia na tawa lake kama lile lango. Lango la kusini na tawa lake vilipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
26 Uninggha chiqidighan yette basquch bar idi; uning dalini ichkirige qaraytti; uning tüwrükliride palma derixining neqishi bar idi, u terepte biri, bu terepte biri bar idi.
Kulikuwa na ngazi saba hadi kwenye lango na matawa yake, na kulikuwa na mitende iliyochongoka juu ya kuta pande zote.
27 Ichki hoyligha kiridighan, jenubqa qaraydighan bir derwaza bar idi; u jenubiy terepte derwazidin derwazigha ölchidi, yüz gez chiqti.
Kulikuwa na lango la ua wa ndani upande wa kusini, na yule mtu akapima kutoka hilo lango hata lango la kuingia upande wa kusini-dhiraa mia moja umbali.
28 U méni ichki hoyligha jenubiy derwazidin ekirdi; we jenubiy derwazini ölchidi; uning ölchemliri bashqa derwazilerningkige oxshash idi.
Kishi huyo mtu akanileta hata ua wa ndani karibu na lango lake la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo vile vile kama malango mengine.
29 Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalinining ölchemliri bashqiliriningkige oxshash idi; uning we dalinining etraplirida dériziler bar idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
Vyumba vyake, kuta, na matao vilipimwa sawa kama malango mengine; kulikuwa na madirisha kuzunguka matao yote. Lango la ndani na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
30 Etrapida uzunluqi yigirme besh gez, kengliki besh gez etrapida dalini bar idi.
Pia kulikuwa na matao pande zote za kuta za ndani; haya yalikuwa dhiraa ishirini na tano urefu na dhiraa tano upana.
31 Uning dalini bolsa sirtqi hoyligha qaraytti; uning kirish éghizidiki ikki yan tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
Hili tawa lilielekea ua wa nje pamoja na mitende iliyochongwa juu ya kuta zake na ngazi nane kuupandia.
32 U méni ichki hoylida sherq terepke apardi; u tereptiki derwazini ölchidi; uning ölchemliri bashqilirigha oxshash idi.
Kisha yule mtu akanileta hata kwenye ua wa ndani karibu na njia ya kaskazini na kulipima lango, ambalo lilikuwa na vipimo sawa kama malango mengine.
33 Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalinining ölchemliri bashqiliriningkige oxshash idi; uning we dalinining etraplirida dériziler bar idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
Vyumba vyake, kuta, na matawa yalikuwa na kipima sawa kama cha malango, na kulikuwa na madirisha pande zote. Laango la ndani na matawa yake yalikuwa dhiraa hamsini urefu na dhiraa ishirini na tano upana.
34 Uning dalini bolsa sirtqi hoyligha qaraytti; uning [kirish éghizining] u we bu teripidiki tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
Matawa yake yalielekea nje ya ua; ilikuwa na mitende pande zote za hiyo na ngazi nane za kuupandia.
35 U méni shimaliy derwazigha apardi, we uni ölchidi; uning ölchemliri bashqilirigha oxshash idi.
Kisha huyo mtu akanileta hata lango la kaskazini na kulipima; likapimwa vivyo hivyo kama malango mengine.
36 Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalanliri [bashqilirigha] oxshash idi; etrapida dériziler bar idi. Uning uzunluqi ellik gez, uning kengliki yigirme besh gez idi.
Vyumba vyake, kuta, na ukumbi vilipimwa sawa na malango mengine, na kulikuwa na madirisha pande zote. Njia ya lango na matao yake yalipimwa dhiraa hamsini urefu na upana dhiraa ishirini na tano.
37 Uning dalinidiki tüwrükler sirtqi hoyligha qaraytti; uning [kirish éghizidiki] ikki yan tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
Tatawa lake lilielekea ua wa nje; ilikuwa na mitende pande zote za huo na ngazi nane kuupandia.
38 Herbir dеrwaza [ikki] tüwrükining yénida ishiklik kichik öy bar idi; ular shu öylerde köydürme qurbanliqlarni yuyatti.
Kulikuwa na chumba pamoja na mlango karibu na kila lango la ndani. Hapa ndipo ambako walipooshea sadaka za kutekezwa.
39 Derwazining dalinida uyanda ikkidin shire, buyanda ikkidin shire bar idi; ular shirelerning üstide köydürme qurbanliq, gunah qurbanliqi we itaetsizlik qurbanliqlirini soyidu.
Kulikuwa na meza mbili kila upande wa kila ukumbi, ambako sadaka ya kuteketezwa ilipochinjiwa, na pia sadaka ya dhambi na sadaka ya hatia.
40 Shimaliy derwazining dalinining kirish éghizidiki pelempeyning bir yénida ikki shire bar idi; dalanning kirish éghizining yene bir yénida ikki shire bar idi.
Karibu na ukuta wa ua, kuelekea juu kwenye lango kuelekea kaskazini, kulikuwa na meza mbili. Pia kwa upande mwingine kulikuwa na meza mbili kwenye lango la ukumbi.
41 Shuningdek derwazining u yénida töt shire, bu yénida töt shire bar idi — jemiy sekkiz joza bar idi; ular ularning üstide qurbanliqlarni soyidu.
Kulikuwa na meza nne pande zote karibu na lango; wakachinja wanyama juu ya meza nane.
42 Yene tashtin yonup yasalghan, uzunluqi bir yérim gez, kengliki bir yérim gez, égizliki bir gez kélidighan töt shire bar idi; ularning üstige köydürme qurbanliqlar we bashqa qurbanliqlarni soyidighan qoral-eswablar qoyulidu.
Kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, dhiraa moja na nusu urefu, dhiraa moja na nusu upana, na kimo dhiraa moja. Juu yake waliweka vyombo pamoja ambavyo walivichinjia sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya sadaka.
43 Derwaza ichide, tamliri üstige bir aliqan uzunluqtiki jüp ilmeklik kanarlar békitilgen. Shireler üstige qurbanliq göshliri qoyulidu.
Kulabu mbili ujazo wa kiganja urefu uliokuwa umeunganishwa katika ua pande zote, na nyama ya matoleo ilikuwa imewekwa juu ya meza.
44 Ichki hoyla ichide we ichki derwazining sirtida medhiye naxshichiliri üchün ikki kichik öy bar idi; biri shimaliy derwazining yénida, jenubqa yüzlen’gen; yene biri jenubiy derwazining yénida, shimalgha yüzlen’genidi.
Karibu na lango la ndani, katika ua wa ndani, kulikuwa na vyumba vya waimbaji. Moja ya hivi vyumba kilikuwa upande wa kaskazini, na kingine kusini.
45 U manga: «Jenubqa yüzlen’gen öy kahinlar, yeni ibadetxanigha mes’ullar üchündur.
Kisha yule mtu akanambia, “Hiki chumba kinachoelekea kusini ni kwa ajili ya makuhani walio zamu katika hekalu.
46 Jenubqa yüzlen’gen öy kahinlar, yeni qurban’gah wezipisige mes’ullar üchündur. Bular bolsa Zadokning jemetining oghul perzentliri; shularla Lawiy jemetidiler arisidin Perwerdigarning yénigha xizmitide bolushqa kireleydu» — dédi.
Chumba kilichoelekea kaskazini kilikuwa kwa ajili ya makuhani waliokuwa zamu kwenye madhabahu. Hawa ni wana wa Sadoki ambaye huja humkaribia Yahwe kumtumikia; ambao ni miongoni mwa wana wa Lawi.”
47 U hoylini ölchidi; uzunluqi yüz gez, kengliki yüz gez, töt chasiliq idi; qurban’gah bolsa muqeddesxana aldida turatti.
Kisha akaupima ule ua-dhiraa mia moja urefu na dhiraa mia moja upana mraba, pamoja na madhabahu mbele ya nyumba.
48 U méni muqeddesxanining dalinigha apardi; u dalan éghizining ikki yénidiki tamlarning uzunluqini ölchidi; bir tereptikisi besh gez, yene bir tereptikisi besh gez chiqti; dalan éghizining [özi on töt gez idi]; dalan éghizidiki tamning [ichki teripining] kengliki bu teripi üch gez, u teripi üch gez idi.
Kisha yule mtu akanileta hata kwenye varanda ya nyumba na kupima mwimo wa milango yake-ilikuwa dhiraa tano unene upande huu. Njia ya kuingilia yenyewe ilikuwa dhiraa kumi na nne, na kuta pande zote za huo zilikuwa dhraa tatu upana.
49 Dalanning kengliki yigirme gez, uzunluqi on bir gez idi; uninggha chiqidighan pelempey bar idi; tüwrükimu bar idi, u yénida biri, bu yénida biri bar idi.
Urefu wa ukumbi ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa kumi na moja. Kulikuwa na ngazi zilizokuwa zimepanda juu na nguzo zilizokuwa zimesimama pande zote za huo.

< Ezakiyal 40 >