< Daniyal 5 >
1 Bir küni padishah Belshazar emir-ésilzadilerdin ming kishini teklip qilip katta ziyapet bérip, ularning aldida sharab ichip, eysh-ishret keypini sürdi.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 Padishah Belshazar sharabni tétip körüp, özi, emir-ésilzadiliri, öz xotun-kénizekliring sharabni atisi Néboqadnesar Yérusalémdiki muqeddes ibadetxanidin oljigha alghan altun-kümüshtin yasalghan jam-qachilarda ichishige shu jam-qachilarni élip chiqishni buyrudi.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 [Newkerler] derhal bérip Xudaning Yérusalémdiki muqeddes ibadetxanisidin élip kélin’gen altun jam-qachilarni élip chiqti; padishahning özi, emir-ésilzadiliri, uning xotunliri we kénizekliri ularda sharab ichti.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Ular sharab ichkech, altun, kümüsh, mis, tömür, yaghach we tashlardin yasalghan butlarni medhiyileshti.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 Del shu peytte adem qolining besh barmiqi peyda bolup, chiraghdanning udulidiki ordining tam suwiqigha xet yézishqa bashlidi. Padishah xet yazghan qolning körün’gen qismini körüp,
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 chirayi tatirip, könglide intayin alaqzade bolup ketti. Put-qolliri boshiship, putliri titrep ketti.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 Padishah qattiq warqirap, pir-ustazlar, kaldiyler we munejjimlarni chaqirishni buyrudi. Babildiki danishmenler kelgen haman padishah ulargha: — Kimki tamdiki bu xetlerni oqup menisini manga dep bérelise, uninggha sösün renglik bir ton kiygüzülüp, boynigha altun zenjir ésilip, padishahliqta üchinchi mertiwe bérilidu, — dédi.
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 Padishahning danishmenlirining hemmisi ordigha hazir boldi; lékin ular ne xetlerni oquyalmaytti ne padishahqa menisini chüshendürüp bérelmeytti.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Belshazar téximu alaqzade bolup, chirayi téximu tatirip ketti. Emir-ésilzadilermu qandaq qilishni bilelmey qaldi.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Padishah we emir-ésilzadilerning warqirashqan awazini anglighan xanish ziyapet zaligha kirip, padishahqa mundaq dédi: — I aliyliri, menggü yashighayla! Alaqzade bolup ketmigeyla, chirayliri tatirap ketmigey.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Padishahliqlirida bir kishi bar, uningda muqeddes ilahlarning rohi bar, atiliri texttiki waqtida, bu kishide yoruqluq, danaliq we eqil-paraset, yeni ilahlargha xas eqil-paraset namayan qilin’ghanidi. Atiliri Néboqadnesar, yeni padishah atiliri uni pütün remchi-palchilar, pir-ustazlar, kaldiyler we munejjimlarning béshi qilip teyinligen.
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Bu kishide alahide bir rohiy xususiyet, bilim, hékmet, chüshlerge tebir béreleydighan, tépishmaqlarni yésheleydighan we tügün-sirlarni achalaydighan qabiliyet bar idi. Shu kishining ismi Daniyal bolup, padishah uninggha Belteshasar depmu isim qoyghan. Shunga bu Daniyal chaqirtilsun, u choqum bu xetlerning menisini yéship béridu.
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Shuning bilen Daniyal padishahning aldigha élip kélindi, padishah Daniyaldin: — Padishah atam Yehuda ölkisidin sürgün qilip kelgen Yehudiylar ichidiki héliqi Daniyal senmu? — dep soriwidi,
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 — Sen toghruluq xewirim bar, sende muqeddes ilahlarning rohi, shundaqla yoruqluq, danaliq we alahide eqil-paraset bar iken dep anglidim.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 Emdi danishmenler we pir-ustazlarni tamdiki xetni oqup, menisini manga chüshendürüp bersun dep aldimgha chaqirtip kélindi; lékin bu ishning sirini héchqaysisi yéship bérelmidi.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Biraq sen toghruluq anglighanmenki, sen sirlarni chüshendüreleydikensen we tügünlerni yésheleydikensen. Eger bu xetlerni oqup, menisini chüshendürüp béreliseng, sanga sösün renglik ton kiygüzülidu, boynunggha altun zenjir ésilidu, padishahliqta üchinchi derijilik mertiwige érishisen, — dédi.
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Daniyal padishahqa mundaq jawab berdi: — Aliylirining in’amliri özliride qalsun, mukapatlirini bashqa kishige bergeyla. Emdilikte men aliylirigha bu xetni oqup, menisini chüshendürüp bérey.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 — I aliyliri, Hemmidin Aliy Xuda atiliri Néboqadnesargha padishahliq, ulughluq, shan-sherep we heywet berdi.
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 Uninggha bérilgen ulughluqtin herqaysi el-yurt, herqaysi taipiler we herxil tilda sözlishidighan qowmlarning hemmisi uning aldida titrep qorqup turatti; u kimni xalisa shuni öltüretti, kimni xalisa shuni tirik qoyatti; kimni xalisa shuni mertiwilik qilatti, kimni xalisa shuni pes qilatti.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Lékin u könglide tekebburliship, roh-qelbide meghrurlinip mijezi tersaliship, padishahliq textidin chüshürülüp, izzitidin mehrum qilindi.
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 U kishiler arisidin heydiwétilip, uninggha yawayi haywanlarning eqli bérildi. U yawa éshekler bilen bille makanliship, kalilardek ot-chöp yégüzüldi, téni shebnemdin chiliq-chiliq höl bolup ketti, taki u Hemmidin Aliy Xudaning insan padishahliqini idare qilidighanliqini we U padishahliqning hoquqini Özi tallighan herqandaq kishige béridighanliqini bilip yetküche shu halette boldi.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 Ey Belshazar, Néboqadnesarning oghli turup özliri bularning hemmisidin xewerliri bolsimu, lékin özlirini töwen qilmidila.
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Eksiche tekebburliship ershtiki Rebge qarshi turdila. Sili Uning muqeddes ibadetxanisidin olja alghan jam-qachilarni élip kélip, özliri, emir-ésilzadiliri, öz xotunliri we kénizeklirimu ularda sharab ichtinglar andin körmeydighan, anglimaydighan we héchnémini chüshenmeydighan altun, kümüsh, mis, tömür, yaghach we tashlardin yasalghan butlarni medhiyilidile. Halbuki, silining nepeslirini Öz qolida tutqan we silining barliq heriketlirini Öz ilkide tutqan Xudani ulughlimidila.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Shunga, Xuda bu qolning körün’gen qismini ewetip bu xetlerni yazdurdi.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 Bu xetler: «Méné, méné, tekel, upharsin» dégendin ibaret.
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Buning chüshendürülüshi: — «Méné» — Xuda silining padishahliqlirining hésabini qilip, uni ayaghlashturdi.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 «Tekel» — sili tarazida tartiliwidila, kem chiqtila.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 «Peres» — padishahliqliri parchilinip, Médialiqlar bilen Parslargha tewe qilindi.
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Shuning bilen Belshazar derhal newkerlirige emr qiliwidi, ular Daniyalgha sösün renglik tonni kiydürüp, boynigha altun zenjirni ésip qoydi; u u toghruluq: «Padishahliq ichide üchinchi derijilik mertiwige ige bolsun» dep jakarlidi.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 Shu kéche kaldiylerning padishahi Belshazar öltürüldi.
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 Padishahliq bolsa Médialiq Dariusning qoligha ötti. U texminen atmish ikki yashta idi.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.