< Padishahlar 2 16 >
1 Remaliyaning oghli Pikahning on yettinchi yilida, Yotamning oghli Ahaz Yehudagha padishah boldi.
Katika mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda alianza kutawala.
2 Ahaz padishah bolghanda yigirme yashqa kirgen bolup, Yérusalémda on alte yil seltenet qilghanidi. U atisi Dawut qilghandek emes, eksiche Perwerdigarning neziride durus bolghanni qilmidi.
Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa Bwana, Mungu wake.
3 U Israilning padishahlirining yolida mangatti, hetta Perwerdigar Israilning aldidin heydep chiqarghan ellerning yirginchlik gunahlirigha egiship, öz oghlini ottin ötküzüp köydürdi.
Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na hata akamtoa mwanawe kafara katika moto, akifuata njia za machukizo za mataifa ambayo Bwana alikuwa ameyafukuza mbele ya Waisraeli.
4 U «yuqiri jaylar»da, dönglerde we herbir kök derexlerning astida qurbanliq qilip, küje köydüretti.
Akatoa kafara na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.
5 Shu waqitta Suriyening padishahi Rezin bilen Israilning padishahi, Remaliyaning oghli Pikah Yérusalémgha hujum qilip, [padishah] Ahazni muhasirige élip qorshiwalghini bilen, lékin uni meghlup qilalmidi.
Kisha Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaondoka kwenda kupigana dhidi ya Yerusalemu na kumzunguka Ahazi kwa jeshi, lakini hawakuweza kumshinda.
6 Ashu waqitta Suriyening padishahi Rezin Élat shehirini Suriyege qayturuwaldi we shu yerde turuwatqan Yehudalarni heydiwetti. Andin Suriyler kélip u yerde olturaqlashti; ular bügün’giche shu yerde turmaqta.
Wakati ule, Resini mfalme wa Aramu akaurudisha Elathi kwa Aramu kwa kuwafukuza watu wa Yuda. Kisha Waedomu wakahamia Elathi, nao wanaishi huko mpaka leo.
7 Ahaz Asuriyening padishahi Tiglat-Pileserge elchilerni ewetip: Men silining qulliri, silining oghulliri bolimen; manga hujum qiliwatqan Suriyening padishahining qolidin we Israilning padishahining qolidin qutquzushqa chiqqayla, dédi.
Ahazi akatuma wajumbe kumwambia Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru kwamba, “Mimi ni mtumishi na mtumwa wako. Njoo na uniokoe kutoka mkononi mwa mfalme wa Aramu na wa mfalme wa Israeli, ambao wananishambulia.”
8 Shuni éytip Ahaz Perwerdigarning öyi we padishahning ordisidiki xezinilerdiki kümüsh bilen altunni sowgha qilip, Asuriyening padishahigha ewetti.
Naye Ahazi akachukua fedha na dhahabu zilizopatikana ndani ya Hekalu la Bwana na katika hazina ya jumba la mfalme, na kuzituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
9 Asuriyening padishahi uning telipige qoshuldi; shuning bilen Asuriyening padishahi Demeshqqe hujum qilip uni ishghal qildi; uningdiki ahalini tutqun qilip Kir shehirige élip bardi we Rezinni öltürdi.
Mfalme wa Ashuru akamwitikia kwa kushambulia Dameski na kuiteka. Akawahamishia wenyeji wake huko Kiri, na kumuua Resini.
10 Ahaz padishah emdi Asuriyening padishahi Tiglat-Pileser bilen körüshkili Demeshqqe bardi we shundaqla Demeshqtiki qurban’gahni kördi. Andin Ahaz padishah shu qurban’gahning resimini, uning barliq yasilish tepsilatlirining layihisini sizip, uni Uriya kahin’gha yetküzdi.
Kisha Mfalme Ahazi akaenda Dameski kukutana na Tiglath-Pileseri wa Ashuru. Akaona madhabahu huko Dameski, naye akamtumia Uria kuhani mchoro wa hayo madhabahu, pamoja na maelezo ya mpango kamili wa ujenzi wake.
11 Shuning bilen Uriya kahin Ahaz padishah Demeshqtin ewetken barliq tepsilatlar boyiche bir qurban’gah yasidi. Ahaz padishah Demeshqtin yénip kelmeste, Uriya kahin uni shundaq teyyar qilghanidi.
Kwa hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana na mipango yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameituma kutoka Dameski, na akamaliza ujenzi kabla ya Mfalme Ahazi kurudi.
12 Padishah Demeshqtin yénip kélip, qurban’gahni körüp, qurban’gahqa bérip, uning üstige qurbanliq sundi;
Mfalme aliporudi kutoka Dameski na kuona hayo madhabahu, akayasogelea na kutoa sadaka juu yake.
13 u qurban’gahning üstige köydürme qurbanliq we ashliq hediyesini köydürüp, «sharab hediye»sini töküp, «inaqliq qurbanliqi»ning qénini chachti.
Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.
14 Shundaq qilip u Perwerdigarning huzurining aldidiki mis qurban’gahni élip uni Perwerdigarning öyi bilen özining qurban’gahining otturisidin ötküzüp, öz qurban’gahining shimal teripige qoydurdi.
Mfalme Ahazi akayaondoa madhabahu ya zamani ya shaba kutoka hapo mbele ya Hekalu la Bwana, yaliyokuwa yamesimama kati ya ingilio la Hekalu na hayo madhabahu mapya, naye akayaweka upande wa kaskazini mwa hayo madhabahu mapya.
15 Ahaz padishah Uriya kahin’gha buyruq qilip: Mushu chong qurban’gah üstige etigenlik köydürme qurbanliq bilen kechlik ashliq hediyesini, padishahning köydürme qurbanliqi bilen ashliq hediyesini, hemme yurtning pütün xelqining köydürme qurbanliqi, ashliq hediye we sharab hediyelirini köydürüp sunisen. Köydürme qurbanliqlarning barliq qanliri we bashqa qurbanliqlarning barliq qanlirini ushbu qurbanliqning üstige tökisen. Mis qurban’gah bolsa méning yol sorishim üchün bolsun, dédi.
Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kwa Uria kuhani: “Juu ya hayo madhabahu kubwa mapya, toa sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka, sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize juu ya hayo madhabahu damu yote ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia hayo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili ya kutafuta uongozi.”
16 Shuning bilen Uriya kahin Ahaz padishah buyrughanning hemmisini ada qildi.
Naye Uria kuhani akafanya kama Mfalme Ahazi alivyoagiza.
17 Ahaz padishah das tegliklirige békitilgen taxtaylarni késip ajritip, daslarni teglikliridin éliwetti; u mis «déngiz»ni tégidiki mis uylarning üstidin kötürüp élip, uni tash taxtayliq bir meydan’gha qoydurdi.
Mfalme Ahazi akaondoa mbao za pembeni na kuondoa masinia kwenye vile vishikilio vilivyohamishika. Akaondoa ile Bahari kutoka kwenye mafahali wa shaba walioishikilia, na kuiweka kwenye kitako cha jiwe.
18 U Asuriye padishahini razi qilish üchün Perwerdigarning öyige tutishidighan «Shabat künidiki aywanliq yol» bilen padishah tashqiridin kiridighan yolni étiwetti.
Kwa heshima ya mfalme wa Ashuru, akaliondoa pia pazia la Sabato lililokuwa limewekwa ndani ya Hekalu, na akaondoa ile njia ya kifalme ya kuingia kwenye Hekalu la Bwana.
19 Ahazning bashqa ishliri hem qilghanlirining hemmisi «Yehuda padishahlirining tarix-tezkiriliri» dégen kitabta pütülgen emesmidi?
Matukio mengine ya utawala wa Ahazi na yale aliyoyafanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
20 Ahaz öz ata-bowiliri arisida uxlidi; u ata-bowilirining arisida «Dawutning shehiri»de depne qilindi; oghli Hezekiya ornida padishah boldi.
Ahazi akalala na baba zake, naye akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.