< ज़बूर 120 >

1 मैंने मुसीबत में ख़ुदावन्द से फ़रियाद की, और उसने मुझे जवाब दिया।
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 झूटे होंटों और दग़ाबाज़ ज़बान से, ऐ ख़ुदावन्द, मेरी जान को छुड़ा।
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 ऐ दग़ाबाज़ ज़बान, तुझे क्या दिया जाए? और तुझ से और क्या किया जाए?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 ज़बरदस्त के तेज़ तीर, झाऊ के अंगारों के साथ।
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 मुझ पर अफ़सोस कि मैं मसक में बसता, और क़ीदार के ख़ैमों में रहता हूँ।
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 सुलह के दुश्मन के साथ रहते हुए, मुझे बड़ी मुद्दत हो गई।
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 मैं तो सुलह दोस्त हूँ। लेकिन जब बोलता हूँ तो वह जंग पर आमादा हो जाते हैं।
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

< ज़बूर 120 >