< ज़बूर 113 >

1 ख़ुदावन्द की हम्द करो! ऐ ख़ुदावन्द के बन्दों, हम्द करो! ख़ुदावन्द के नाम की हम्द करो!
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 अब से हमेशा तक, ख़ुदावन्द का नाम मुबारक हो!
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 आफ़ताब के निकलने' से डूबने तक, ख़ुदावन्द के नाम की हम्द हो!
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 ख़ुदावन्द सब क़ौमों पर बुलन्द — ओ — बाला है; उसका जलाल आसमान से बरतर है।
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 ख़ुदावन्द हमारे ख़ुदा की तरह कौन है? जो 'आलम — ए — बाला पर तख़्तनशीन है,
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 जो फ़रोतनी से, आसमान — ओ — ज़मीन पर नज़र करता है।
atazamaye chini angani na duniani?
7 वह ग़रीब को खाक से, और मोहताज को मज़बले पर से उठा लेता है,
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 ताकि उसे उमरा के साथ, या'नी अपनी कौम के उमरा के साथ बिठाए।
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 वह बाँझ का घर बसाता है, और उसे बच्चों वाली बनाकर दिलखुश करता है। ख़ुदावन्द की हम्द करो!
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< ज़बूर 113 >