< 1 तवा 24 >
1 और बनी हारून के फ़रीक़ यह थे हारून के बेटे नदब, अबीहू और इली'एलियाज़र और ऐतामर थे।
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 नदब और अबीहू अपने बाप से पहले मर गए और उनके औलाद न थी, इसलिए इली'एलियाज़र और ऐतामर ने कहानत का काम किया।
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 दाऊद ने इली'एलियाज़र के बेटों में से सदोक़, और ऐतामर के बेटों में से अख़ीमलिक को उनकी ख़िदमत की तरतीब के मुताबिक़ तक़्सीम किया।
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 इतमर के बेटों से ज़्यादा इली'एलियाज़र के बेटों में रईस मिले, और इस तरह से वह तक़्सीम किए गए के इली'एलियाज़र के बेटों में आबाई ख़ान्दानों के सोलह सरदार थे; और ऐतामर के बेटों में से आबाई ख़ान्दानों के मुताबिक़ आठ।
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 इस तरह पर्ची डाल कर और एक साथ ख़ल्त मल्त होकर वह तक़्सीम हुए, क्यूँकि मक़दिस के सरदार और ख़ुदा के सरदार बनी इली'एलियाज़र और बनी ऐतामर दोनों में से थे।
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 और नतनीएल मुन्शी के बेटे समायाह ने जो लावियों में से था, उनके नामों को बादशाह और अमीरों और सदोक़ काहिन और अख़ीमलिक बिन अबीयातर और काहिनों और लावियों के आबाई ख़ान्दानों के सरदारों के सामने लिखा। जब इली'एलियाज़र का एक आबाई ख़ान्दान लिया गया, तो ऐतामर का भी एक आबाई ख़ान्दान लिया गया।
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 और पहली चिट्ठी यहूयरीब की निकली, दूसरी यद'अयाह की,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 तीसरी हारिम की, चौथी श'ऊरीम,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 पाँचवीं मलकियाह की, छटी मियामीन की
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 सातवीं हक्कूज़ की, आठवीं अबियाह की,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 नवीं यशू'आ की, दसवीं सिकानियाह की,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 ग्यारहवीं इलियासब की, बारहवीं यक़ीम की,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 तेरहवीं खुफ़्फ़ाह की, चौदहवीं यसबाब की,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 पन्द्रहवीं बिल्जाह की, सोलहवीं इम्मेर की,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 सत्रहवीं हज़ीर की, अठारहवीं फ़ज़ीज़ की,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 उन्नीसवीं फ़तहियाह की, बीसवीं यहज़िकेल की,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 इक्कीसवीं यकिन की, बाइसवीं जम्मूल की,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 तेइसवीं दिलायाह की, चौबीसवीं माज़ियाह की।
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 यह उनकी ख़िदमत की तरतीब थी, ताकि वह ख़ुदावन्द के घर में उस क़ानून के मुताबिक़ आएँ जो उनको उनके बाप हारून की ज़रिए' वैसा ही मिला, जैसा ख़ुदावन्द इस्राईल के ख़ुदा ने उसे हुक्म किया था।
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 बाक़ी बनी लावी में से:'अमराम के बेटों में से सूबाएल, सूबाएल के बेटों में से यहदियाह;
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 रहा रहबियाह, सो रहबियाह के बेटों में से पहला यस्सियाह।
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 इज़हारियों में से सलूमोत, बनी सलूमोत में से यहत।
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 बनी हबरून में से: यरियाह पहला, अमरियाह दूसरा, यहज़िएल तीसरा, यकमि'आम चौथा।
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 बनी उज़्ज़ीएल में से: मीकाह; बनी मीकाह में से: समीर।
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 मीकाह का भाई यस्सियाह, बनी यस्सियाह में से ज़करियाह।
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 मिरारी के बेटे: महली और मूशी। बनी याज़ियाह में से बिनू
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 रहे बनी मिरारी, सो याज़ियाह से बिनू और सूहम और ज़क्कूर और 'इब्री।
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 महली से: इली'एलियाज़र, जिसके कोई बेटा न था।
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 क़ीस से, क़ीस का बेटा: यरहमिएल।
Wana wa Kishi: Yerameli
30 और मूशी के बेटे: महली और 'ऐदर और यरीमीत। लावियों की औलाद अपने आबाई ख़ान्दानों के मुताबिक़ यही थी।
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 इन्होंने भी अपने भाई बनी हारून की तरह, दाऊद बादशाह और सदूक़ और अख़ीमलिक और काहिनों और लावियों के आबाई ख़ान्दानों के सरदारों के सामने अपना अपनी पर्ची डाला, या'नी सरदार के आबाई ख़ान्दानों का जो हक़ था वही उसके छोटे भाई के ख़ान्दानों का था।
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.