< Псалми 82 >
Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
2 „Аж доки ви будете несправедливо судити, і доки бу́дете ви підіймати обличчя безбожних? (Се́ла)
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
3 Розсуді́те нужде́нного та сироту́, оправдайте убогого та бідаря́,
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
4 порятуйте нужде́нного та бідака́, збережіть з руки несправедливих!“
Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
5 Не пізнали та не зрозуміли, у те́мряві ходять вони. Всі основи землі захита́лись.
“Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
6 Я сказав був: „Ви — боги, і сини ви Всевишнього всі,
“Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
7 та однак повмира́єте ви, як люди́на, і попа́даєте, як кожен із вельмо́ж“.
Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
8 Устань же, о Боже, та землю суди, бо у вла́ді Твоїй всі наро́ди!
Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.