< Псалми 79 >
Zaburi ya Asafu. Mungu, Mataifa ya kigeni yameingia kwenye urithi wako; wamelinajisi hekalu lako takatifu; wameigeuza Yerusalemu kuwa chungu cha magofu.
2 Рабів Твоїх трупи вони віддали́ на пожи́ву для птаства небесного, тіло Твоїх богобійних — звіри́ні земні́й.
Wamezitoa maiti za watumishi wako ziwe chakula cha ndege wa angani, miili ya watakatifu wako iwe chakula cha wanyama wa nchi.
3 Вони розливали їхню кров, немов воду, в око́лицях Єрусалиму, — і не було́ погреба́льників!
Wamemwaga damu zao kama maji sehemu zote za Yesrusalemu, na hakuwepo wa kuwazika.
4 Ми стали за га́ньбу для наших сусідів, за нару́гу та по́сміх для наших око́лиць.
Sisi tumekuwa aibu kwa majirani zetu, tukidhihakiwa na kuzomewa na wale wanaotuzunguka.
5 Аж до́ки, о Господи, гні́ватись будеш наза́вжди, доки буде пала́ти Твій гнів, як огонь?
Mpaka lini Yahwe? Utabaki kuwa na hasira milele? Ni kwa muda gani hasira yako ya wivu itawaka kama moto?
6 Вилий Свій гнів на людей, що Тебе не пізнали, і на ца́рства, що Йме́ння Твого не кличуть,
Mwaga hasira yako juu ya mataifa ambayo hayakujui wewe na ufalme ambao hauliiti jina lako.
7 бо вони з'їли Якова, а мешка́ння його опусто́шили!
Kwa maana walimvamia Yakobo na waliharibu kijiji chake.
8 Не пам'ята́й гріхів пре́дківських нам, — нехай попере́дить нас скоро Твоє милосердя, бо ми зо́всім осла́бли!
Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu dhidi yetu; matendo yako ya huruma yaje kwetu, maana tuko chini.
9 Поможи нам, Боже нашого спасі́ння, ради слави Йме́ння Твого, і збережи́ нас, і прости наші гріхи ради Ймення Свого́!
Utusaidie, Mungu wa wokovu wetu, kwa ajili ya utukufu wa jina lako; utuokoe na usamehe dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.
10 Чого будуть казати пога́ни: „Де їхній Бог?“Нехай в наших оча́х між наро́дами стане відо́мою помста за проли́ту кров Твоїх рабів,
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Mungu wao yuko wapi?” Damu ya watumishi wako ambayo ilimwagwa na ilipize kisasi juu ya mataifa mbele ya macho yako.
11 нехай перед лице Твоє ді́йде стогін в'я́зня! За великістю сили раме́на Твого збережи на смерть прироко́ваних!
Kilio cha wafungwa na kije mbele zako; kwa uweza wa nguvu zako uwaweke ai wana wa mauti.
12 А нашим сусідам верни семикра́тно на лоно їхнє їхню нару́гу, якою Тебе зневажа́ли, о Господи!
Uwalipize majirani zetu vifuani mwao mara saba zaidi ya walivyo kutukana wewe, Bwana.
13 А ми, Твій наро́д і отара Твого пасови́ська, будем дя́кувати Тобі вічно, будем оповіда́ти про славу Твою з роду в рід!
Hivyo sisi watu wako na kondoo wa malisho yako tutakushukuru milele. Tutazisimulia sifa zako kwa vizazi vyote.