< Псалми 116 >
Nampenda Yahwe kwa kuwa anasikia sauti yangu na kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
2 бо Він нахилив Своє ухо до мене, і я кли́катиму в свої дні!
Kwa sababu alinisikiliza, nitamuita yeye ningali ninaishi.
3 Болі смерти мене оточи́ли і знайшли мене му́ки шео́лу, нещастя та сму́ток знайшов я! (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
4 А я в Ім'я́ Господа кличу: „О Господи, ви́зволи ж душу мою!“
Kisha niliita kwa jina la Yahwe: “Tafadhali Yahwe, uiokoe nafsi yangu.”
5 Господь милости́вий та справедливий, і наш Бог милосердний!
Yahwe ni mwenye neema na haki; Mungu wetu ni mwenye huruma.
6 Пильнує Господь недосві́дчених, — став я нужде́нний, та Він допомо́же мені!
Yahwe huwalinda wasio na hila; nilishushwa chini akaniokoa.
7 Вернися, о душе́ моя, до свого відпочи́нку, бо Госпо́дь робить добре тобі,
Nafsi yangu inaweza kurudi mahali pake pa kupumzika, kwa kuwa Yahwe amekuwa mwema kwangu.
8 бо від смерти Ти ви́зволив душу мою, від сльози́ — моє око, ногу мою від спотика́ння.
Kwa maana uliokoa uhai wangu dhidi ya kifo, mcho yangu dhidi ya machozi, na miguu yangu dhidi ya kujikwaa.
9 Я ходитиму перед обличчям Господнім на землях живих!
Nitamtumikia Yahwe katika nchi ya walio hai.
10 Я вірив, коли говорив: „Я сильно пригні́чений!“
Nilimwamini yeye, hata niliposema, “nimeteswa sana.”
11 Я сказав був у по́спіху: Кожна люди́на говорить неправду!“
Kwa haraka nilisema, “Watu wote ni waongo.”
12 Чим я відплачу́ Господе́ві за всі доброді́йства Його на мені?
Nimlipeje Yahwe kwa wema wake wote kwangu?
13 Я чашу спасі́ння прийму́, і прикли́чу Господнє Ім'я́!
Nitakiinua kikombe cha wokovu, na kuliitia jina la Yahwe.
14 Прися́ги свої Господе́ві я ви́конаю перед усім наро́дом Його́!
Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote.
15 Дорога́ в очах Господа смерть богобі́йних Його!
Mauti ya wacha Mungu ina thamani machoni pa Mungu.
16 О Господи, я бо Твій раб, я Твій раб, син Твоєї неві́льниці, — Ти кайда́ни мої розв'яза́в!
Ee Yahwe, hakika, mimi ni mtumishi wako; mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umefungua vifungo vyangu.
17 Я жертву подяки Тобі принесу́, і Господнім Ім'я́м буду кли́кати!
Nitakutolea dhabihu ya shukrani na nitaliitia jina la Yahwe.
18 Прися́ги свої Господе́ві я виконаю перед усім наро́дом Його,
Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote,
19 на подві́р'ях Господнього Дому, посеред тебе, о Єрусалиме! Алілу́я!
katika nyua za nyumba ya Yahwe, katikati yako, Yerusalemu. Msifuni Yahwe.