< Ісус Навин 21 >
1 І підійшли голови домів батьків Левієвих до священика Елеазара й до Ісуса, сина Навинового, та до голів домів батьків племен Ізраїлевих синів,
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 та й говорили до них у Шіло́ в ханаанському кра́ї, кажучи: „Госпо́дь наказав був через Мойсея дати нам міста на сидіння, а їхні пасови́ська для нашої худоби“.
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 І дали́ Ізраїлеві сини Левитам зо свого наді́лу на нака́з Господній ті міста та їхні пасови́ська.
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 І вийшов жеребо́к для родів кегате́янина. І були синам священика Аарона з Левитів від племени Юдиного, і від племени Симеонового, і від племени Веніяминового тринадцять міст.
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 А Кега́товим синам, що позосталися з ро́дів племени Єфремового й з племени Данового та з половини племени Манасіїного жеребко́м дісталося десять міст.
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 А для Ґершонових синів від родів Іссаха́рового племени, і від Аси́рового племени, і від Нефтали́мового племени, і від половини Манасі́їного племени в Башані жеребком дісталося тринадцять міст.
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 Мерарі́євим синам за їхніми ро́дами дісталося від племени Руви́мового, і від племени Ґа́дового, і від племени Завуло́нового — дванадцять міст.
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 І дали Ізраїлеві сини Левитам ті міста та їхні пасови́ська, як наказав був Господь через Мойсея, жеребко́м.
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 І дали вони з племени синів Юдиних та з племени синів Симеонових ті міста, що будуть нижче на́звані йме́нням свої́м.
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 I було для Ааронових синів із родів кегатеянина, з Левієвих синів, бо їм був жеребок найперше.
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 І дали їм місто Кір'ят, батька ве́летнів Арби, воно Хевро́н, на Юдиних горах, та його пасови́ська навколо нього.
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 А мійське поле та оселі його дали Калеву, синові Єфуннеєвому, на власність його.
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 А синам священика Ааро́на дали місто схо́вища вбійника: Хевро́н та його пасови́ська, і Лівну та її пасови́ська,
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 і Яттір та його пасови́ська, і Ештемоа та її пасовиська,
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 і Холон та його пасовиська, і Девір та його пасовиська,
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 і Аїн та його пасовиська, і Ютту та її пасовиська, Бет-Шемеш та його пасовиська, — дев'ять міст від двох тих племе́н.
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 А від Веніями́нового племени: Ґів'он та його пасовиська, Ґеву та її пасовиська,
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 Анатоль та його пасовиська, і Алмон та його пасовиська, — міст четверо.
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 Усіх міст Ааронових синів, священиків, — тринадцять міст та їхні пасови́ська.
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 А ро́дам Кегатових синів, Левитам, що позостали від Кегатових синів, міста́ їхнього жеребка́ були́ від Єфремового пле́мени.
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 І дали їм місто схо́вища вбійника: Сихем та його пасови́ська, на Єфремовій горі, і Ґезер та його пасовиська.
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 І Ківцаїм та його пасовиська, і Бет-Хорон та його пасовиська, міст четверо.
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 А від Данового племени: Елтеке та його пасовиська, Ґіббетон та його пасовиська,
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 Айялон та його пасовиська, Ґат-Ріммон та його пасовиська, — міст четверо.
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 А від половини Манасіїного племени: Таанах та його пасовиська, і Ґат-Ріммон та його пасовиська, — міст двоє.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 Усіх міст — десять та їхні пасовиська для родів позосталих Кегатових синів.
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 А для Ґершонових синів з Левієвих ро́дів від половини Манасіїного племени місто схо́вища вбійника: Ґолан у Башані та його пасовиська, і Беештера та її пасовиська, — міст двоє.
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 А від Іссаха́рового племени: Кіш'йон та його пасовиська, Доврат та його пасовиська,
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 Ярмут та його пасовиська, Ен-Ґаннім та його пасовиська, міст четверо.
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 А від Асирового племени: Міш'ал та його пасовиська, Ардон та його пасовиська,
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 Хелкат та його пасовиська, Рехов та його пасовиська, — міст четверо.
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 А від Нефтали́мового племени місто схо́вища вбійника: Кедеш у Ґаліл та його пасовиська, і Хаммот-Дор та його пасовиська, і Картан та його пасовиська, — міст троє.
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 Усіх міст Ґершо́нових за їхніми родами — тринадцять міст та їхні пасови́ська.
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 А для родів Мерарієвих синів, Левитів, позосталих від племени Завуло́нового: Йокнеам та його пасовиська, Карта та її пасовиська.
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 Дімна та її пасовиська, Нагалал та його пасовиська, — міст четверо.
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 А від Рувимового племени: Бецар та його пасовиська, і Ягца та її пасови́ська,
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 Кедемот та його пасови́ська, і Мефаат та його пасовиська, — міст четверо.
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 А від Ґадового племени місто схо́вища вбійника: Рамот у Ґілеаді та його пасовиська, і Маханаїм та його пасовиська,
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 Хешбон та його пасовиська, Язер та його пасовиська, — усіх міст четверо.
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 Усіх міст для Мерарієвих синів за їхніми ро́дами, що позосталися з Левієвих ро́дів, було за їхнім жеребко́м дванадцять міст.
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 Усіх Левієвих міст серед вла́сности Ізраїлевих синів — сорок і вісім міст та їхні пасовиська.
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 Будуть ті міста такі: кожне місто з пасовиськом його навколо нього, — так для всіх тих міст.
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 І дав Господь Ізраїлеві ввесь той край, що присягну́в був дати його́ їхнім батька́м, і вони посіли його та й осілися в ньому.
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 І Господь дав їм мир навко́ло, усе так, як присягнув був їхнім батька́м. І ніхто зо всіх їхніх ворогів не встояв перед ними, — усіх їхніх ворогів Господь дав у їхню руку.
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 Нічо́го не було неви́конаного з усього того доброго слова, що Господь говорив до Ізраїлевого дому, — усе збуло́ся.
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.