< Ісус Навин 20 >
1 І Госпо́дь промовляв до Ісуса, говорячи:
Baada ya hayo, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 „Промовляй до Ізраїлевих синів, говорячи: Дайте собі міста на схо́вища, про які Я говорив вам через Мойсея,
“Waambia watu wa Israeli, na kusema, 'Chagueni miji ya makimbilio ambayo niliwaambia kupitia kwa Musa.
3 щоб утікав туди убі́йник, що заб'є кого ненаро́ком невмисне, і вони будуть для вас на місце схо́вища від ме́сника за кров.
Fanyeni hivi ili mtu akiua mtu bila kukusudia aweze kwenda huko. Miji hii itakuwa ni sehemu ya kukimbilia kutoka kwa mtu yeyote yule anayetaka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu aliyeuliwa.
4 І втече він до одно́го з тих міст, і стане при вході місько́ї брами, та й буде голосно говорити старши́м того міста про свою справу. І вони ві́зьмуть його до міста до се́бе, і дадуть йому місце, і він осяде з ними.
Atakimbilia kwa mji mmoja miongoni mwa miji hiyo na atasimama mlangoni mwa lango la mji, na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule. Kisha watamwingiza ndani ya mji na watampatia sehemu yake ya kuishi miongoni mwao.
5 А коли буде гнатися за ним ме́сник, то не видадуть убійника в руку його, бо він невмисне забив свого ближнього, і не був йому ворогом ані вчора, ані позавчора.
Na kama mtu akija akataka kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa, ndipo watu wa mji hawatatakiwa kumtoa kwa wenye mamlaka mtu huyo aliyeua. Hawaruhusiwi kufanya hivyo kwasababu alimwua jirani bila kukusudia na hakuwa na chuki naye hapo awali.
6 І буде він сидіти в тому місті, аж поки не стане перед громадою на суд, аж до смерти найвищого священика, що буде в тих днях. Тоді пове́рнеться убійник, та й уві́йде до свого міста та до свого дому, до того міста, звідки він утік“.
Ni lazima akae katika mji ule mpaka pale atakapokuwa amesimama mbele ya kusanyiko kwa ajili ya kuhukumiwa, hadi pale atakapokufa mtu yule anayetumika katika nafasi ya kuhani mkuu katka siku hizo. Na kisha mtu yule aliyeua bila kukusudia aweza kurudi nyumbani kwake, katika mji ule ulikotoka.
7 І посвятили вони Кедеш в Ґалілі на Нефталимовій горі, і Сихем на Єфремовій горі та Кір'ят-Арбу, воно Ефрон, на горі Юдиній.
Kwahiyo, Waisraeli wakaichaguia Kedeshi iliyoko Galilaya katika nchi ya milima ya Nafutali, Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na Kiriathi Arba (ambayo ndio Herbroni) katika nchi ya milima ya Yuda.
8 А по той бік єрихонського Йорда́ну на схід вони дали: Бецер на пустині, на рівнині, із Рувимового племени, і Рамот у Ґілеаді з Ґадового племени, і Ґалан у Башані з Манасіїного племени.
Katika ng'ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko, walichagua mji wa Bezeri huko nyikani katika nyanda za kabila la Rubeni; na Ramothi Gileadi kutoka kabila la Gadi; na Golani katika Bashani, kutoka katika kabila la Manase.
9 Оце були міста призна́чення для всіх Ізраїлевих синів та для прихо́дька, що мешкає чужи́нцем серед них, на схо́вище туди кожному, хто вб'є кого ненаро́ком. І не помре він від руки ме́сника за кров, аж поки не стане перед громадою.
Hii ni miji iliyochaguliwa kwa ajili ya watu wote wa Israeli na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwao, ili kwamba mtu yeyote amwuaye mtu bila kukusudia aweza kukimbilia huko kwa ajili ya kupata usalama. Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule anayetake kulipiza kisasi cha damu iliyomwagwa, mpaka hapo kwanza mtuhumiwa atakaposimama mbele ya kusanyiko la watu.