< Амос 6 >
1 Горе безпе́чним на Сіоні, тим, хто наді́ється на самарійськую го́ру, тим шляхе́тним „першого з наро́дів“, до яких прибува́є Ізраїлів дім!
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
2 Перейді́ть до Калне́ та й побачте, і звідти підіть до Гама́ту великого, і зійді́ть до Ґату филисти́млян! Чи ліпші вони від цих царств? Чи їхня границя більша за вашу границю?
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
3 День нещастя вважаєте ви за далекий, а час насильства зближа́єте!
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
4 Ви виле́жуєтеся на ло́жах з слоно́вої кости і вива́люєтесь на постелях своїх, і їсте барані́в із отари та ситих теля́т із обо́ри.
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
5 Під гу́сла співаєте ви, мов Давид, ви музичні знаря́ддя собі видумля́єте.
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
6 Ви вино попива́єте ча́шами, і намащуєтесь добірною оливою, і над спусто́шенням Йо́сипа не вболіва́єте.
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
7 Тому́ вони пі́дуть тепер на вигна́ння на чолі́ полоне́них, і перестане крик ви́пещених.
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
8 Господь присягнув був Своєю душею, говорить Господь, Бог Савао́т: Пишно́тою Якова бриджу, і пала́ти його Я нена́виджу, і видам те місто та все, що є в ньо́му.
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
9 І бу́де, якщо десять лю́да зоста́нуться в домі одно́му, то й вони повмирають.
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
10 І його візьме родич та й спалить його, щоб ви́нести кості із дому, і скаже до того, хто буде в сере́дині дому: „Чи ще є хто з тобою?“А той відповість: „ Вже немає ніко́го!“і скаже той: „Тихше, бо не згадується Йме́ння Господа!“
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
11 Бо Господь ось накаже, — і ворог розі́б'є великий той дім на відла́мки, а дім мали́й — на тріски́.
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
12 Чи бігають коні по ске́лі? Чи хто виоре море худобою? Таж ви суд обернули на гіркість, а плід справедливости — на поли́н!
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
13 Ви марно́тою тішитеся та говорите: Хіба ж ми не власною силою набули́ собі роги?
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
14 Бо ось Я поставлю наро́д проти вас, доме Ізраїлів, — каже Госпо́дь, Бог Савао́т, — і вони вас потиснуть ізвідти, де йдуть до Гама́ту, аж до степово́го пото́ку!
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”