< Sefania 2 >

1 Mommoaboa mo ho ano, mommoaboa mo ho ano, mo, animguaseman,
Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
2 ansa na bere a wɔahyɛ no adu, na da no resen te sɛ ntɛtɛ, ansa na Awurade abufuwhyew no aba mo so, ansa na Awurade abufuw da no aba mo so.
kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
3 Monhwehwɛ Awurade, ahobrɛasefo a mowɔ asase so, mo a moyɛ nʼahyɛde. Monhwehwɛ trenee, monhwehwɛ ahobrɛase; ebia ɔbɛkora mo so Awurade abufuw da no.
Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
4 Wobegyaw Gasa na wɔagyaw Askelon sɛ amamfo. Owigyinae na wɔbɛma Asdod ada mpa mu na wɔatutu Ekron ase.
hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
5 Munnue, mo a mote mpoano, mo Keretifo; Awurade asɛm tia mo. Kanaan, Filistifo asase. Mɛtɔre mo ase, na obiara renka.
Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
6 Asase a ɛda mpoano, faako a Keretifo te bɛyɛ atenae ama nguanhwɛfo ne wɔn nguannan.
Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
7 Saa asase no bɛyɛ Yudafi nkae no de; ɛhɔ na wobenya mmoa adidibea. Anwummere, wɔbɛdeda wɔ Askelon afi mu. Na Awurade, wɔn Nyankopɔn bɛhwɛ wɔn, na ɔde wɔn ahonyade nyinaa bɛsan ama wɔn.
Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
8 “Mate Moab nsopa ne Amonfo atweetwee; wɔn a wɔsopaa me nkurɔfo na wohunahunaa wɔn wɔ wɔn asase ho.
Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
9 Enti sɛ mete ase yi,” sɛnea Asafo Awurade, Israel Nyankopɔn, se ni, “Ampa ara Moab bɛyɛ sɛ Sodom, na Amonfo ayɛ sɛ Gomora, faako a nwura ne nkyene amoa wɔ, bɛyɛ asase a ɛda mpan afebɔɔ. Me man nkae bɛfow wɔn afa; me manfo a wobenya wɔn ti adidi mu no bɛfa wɔn asase.”
Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
10 Wɔn ahantan so akatua a wobenya ni, sɛ wɔyeyaw na wodi Asafo Awurade nkurɔfo ho fɛw nti.
Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
11 Awurade ho suro bɛba wɔn so bere a ɔbɛsɛe asase no so anyame nyinaa. Mpoano aman nyinaa bɛsɔre no, wɔ wɔn ankasa wɔn asase so.
Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
12 “Mo Etiopiafo nso, mʼafoa ano na wobekunkum mo.”
Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
13 Awurade bɛteɛ ne nsa wɔ atifi aman so na wasɛe Asiria, na wama Ninewe ada mpan koraa na so awo wosee sɛ nwea pradada so.
na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
14 Nguankuw ne anantwi bɛdeda hɔ, mmoadoma nyinaa. Sare so patu ne abonsamnoma bɛtena nʼadum no so. Wɔn su begyigye afa mfɛnsere mu, nnwiriwii besisiw apon ano akwan, mpuran a wɔde sida ayɛ no ho bɛdeda hɔ.
Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
15 Eyi ne kuropɔn a edi ahurusi na ɛte asomdwoe mu. Ɔhoahoaa ne ho se, “Me ne no, obiara nte sɛ me.” Hwɛ sɛnea atetew apansam, na ayɛ nkekammoa atenae! Obiara a otwa mu wɔ hɔ no serew no, him ne nsa fɛwdi so.
huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.

< Sefania 2 >