< Nnwom 114 >
1 Bere a Israelfo fii Misraim, na Yakobfifo fii ananafo asase so no,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Yuda bɛyɛɛ Awurade kronkronbea na Israel bɛyɛɛ nʼaheman.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 Po no hwɛe, na eguanee, Yordan san nʼakyi;
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 Mmepɔw huruhuruwii sɛ adwennini, nkoko nso huruhuruwii sɛ nguantenmma.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 Dɛn na ɛbae, ɛpo, na wuguanee? Yordan, adɛn, na wosan wʼakyi?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Mmepɔw, adɛn, na muhuruhuruw sɛ adwennini, na mo nkoko, muhuruhuruw sɛ nguantenmma yi?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Asase, ma wo ho mpopo wɔ Awurade anim, wɔ Yakob Nyankopɔn anim,
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 ɔno na ɔmaa ɔbotan no dan asubura, na ɔbotan dennen dan nsuwa aniwa no.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.