< 1 Beresosɛm 8 >

1 Benyamin mmabarima na wodidi so yi: Bela (abakan), Asbel, Ahra,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Noha ne Rafha.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Bela mmabarima yɛ: Adar, Gera, Abihud,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Naaman, Ahoa,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sefufan ne Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Ehud mmabarima mmusua ntuanofo a na wɔte Geba na wɔpam wɔn fii hɔ kɔɔ Manahat:
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Ehud mmabarima ne Naaman, Ahiya ne Gera. Gera a na ɔyɛ Usa ne Ahihud agya no na bere a wɔretu no odii wɔn anim.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Saharaim gyaee ne yerenom Husim ne Baara akyi no, ɔwoo mma wɔ Moab asase so.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Ne yere foforo Hodes woo Yobab, Sibia, Mesa, Malkam,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeus, Sakia ne Mirma. Saa mmabarima yi bɛyɛɛ mmusua ntuanofo.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Na Saharaim yere Husim awo Abitub ne Elpaal dedaw.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Elpaal mmabarima yɛ: Eber, Misam ne Semed a ɔkyekyeree Ono ne Lod ne wɔn nkuraa no,
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Beria ne Sema. Na wɔyɛ mmusua ntuanofo a na wɔte Ayalon, na wɔpam ɔmanfo a wɔte Gat no.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Beria mmabarima yɛ Ahio, Sasak, Yeremot,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Sebadia, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Mikael, Yispa ne Yoha.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Elpaal mmabarima yɛ Sebadia, Mesulam, Hiski, Heber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Ismerai, Yislia ne Yobab.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Simei mmabarima yɛ Yakim, Sikri, Sabdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Siletai, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaia, Beraia ne Simrat.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Sasak mmabarima yɛ Yispan, Eber, Eliel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abdon, Sikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hanania, Elam, Antotia,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Yifdeia ne Penuel.
Ifdeya na Penueli.
26 Yeroham mmabarima yɛ Samserai, Seharia, Atalia,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Yaaresia, Elia ne Sikri.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Eyinom ne agyanom mmusua ntuanofo a wɔakyerɛw wɔn din wɔ wɔn mu biara anato nkrataa mu. Na wɔn nyinaa tenaa Yerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Yeiel (Gibeon agya) tenaa Gibeon. Na ne yere din de Maaka
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 a na ne babarima abakan din de Abdon. Na Yeiel mmabarima a wɔaka no din de Sur, Kis, Baal, Ner, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ahio, Seker,
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 ne Miklot a ɔyɛ Simea agya. Na saa abusuafo yi tete bemmɛn wɔn ho wɔn ho wɔ Yerusalem.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner na ɔwoo Kis. Kis na ɔwoo Saulo, Saulo na ɔwoo Yonatan, Malki-Sua, Abinadab ne Esbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Yonatan babarima ne: Merib-Baal (anaa Mefiboset) na Merib-Baal woo Mika.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Mika mmabarima ne: Piton, Melek, Tarea ne Ahas.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahas woo Yehoada na Yehoada woo Alemet, Asmawet ne Simri. Na Simri woo Mosa.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Mosa woo Binea. Binea woo Rafha. Rafha woo Elasa. Elasa woo Asel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Asel woo mmabarima baasia a wɔne: Asrikam, Bokeru, Ismael, Searia, Obadia ne Hanan. Na eyinom yɛ Asel mma.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Na Asel nuabarima Esek wɔ mmabarima baasa a wɔne Ulam a ɔyɛ abakan, Yeus a ɔto so abien ne Elifelet a ɔto so abiɛsa.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Ulam mmabarima nyinaa yɛ akofo a wɔakwadaw akodi mu, wɔyɛ agyantowfo antoamfom. Na wɔwɔ mma ne nananom bebree a na wɔn nyinaa dodow yɛ ɔha aduonum. Eyinom nyinaa yɛ Benyamin asefo.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Beresosɛm 8 >