< 1 Beresosɛm 1 >

1 Adam asefo yɛ Set, Enos,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Yared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henok, Metusela, Lamek,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Noa mma ne, Sem, Ham, ne Yafet.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 Na Yafet asefo ne Gomer, Magog, Media, Yawan, Tubal, Mesek ne Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 Na Gomer asefo ne Askenas, Rifat ne Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 Na Yawan asefo ne Elisa, Tarsis, Kitim ne Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 Na Ham asefo ne Kus, Misraim, Put ne Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 Na Kus asefo ne Seba, Hawila, Sabta, Raama ne Sabteka. Na Raama asefo yɛ Saba ne Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 Kus woo Nimrod. Na Nimrod bɛyɛɛ ɔkofo kɛse wɔ asase so.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 Na Misraim woo Ludfo, Anamfo, Lehabfo, Naftuhfo,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Patrusfo, Kasluhfo ne Kaftorfo a wɔn ase na Filistifo fi.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 Na Kanaan woo nʼabakan Sidon ne Het,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 Yebusifo, Amorifo, Girgasifo,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 Hewifo, Arkifo, Sinifo,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 Arwadfo, Semarifo ne Hamatifo tete agya.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 Na Sem asefo yɛ Elam, Asur, Arfaksad, Lud ne Aram. Aram asefo ne Us, Hul, Geter ne Mas.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 Na Arfaksad woo Sela na Sela woo Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 Eber woo mmabarima baanu. Wɔtoo ɔbaako din Peleg a ase kyerɛ Nkyekyɛmu, efisɛ nʼawobere mu na kasa ahorow nti, nnipa a wɔwɔ asase so mu kyekyɛe ma wɔhwetee. Na wɔtoo ne nua a ɔka ne ho no din Yoktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 Yoktan woo Almodada, Selef, Hasarmawet, Yera,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Usal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael, Seba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Hawila ne Yobab. Eyinom nyinaa yɛ Yoktan asefo.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Ɛno nti, eyi ne anato a efi Sem: Arfaksad, Selah,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Tera,
Serugi, Nahori, Tera,
27 ne Abram a akyiri no, wɔfrɛɛ no Abraham no.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 Abraham mmabarima yɛ Isak ne Ismael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 Na Ismael mmabarima nso ne Nebaiot a ɔyɛ nʼabakan, Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Masa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Yetur, Nafis ne Kedema. Eyinom ne Ismael mmabarima.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Na Abraham mpena Ketura mmabarima ne Simran, Yoksan, Medan, Midian, Yisbak ne Sua. Na Yoksan asefo yɛ Seba ne Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 Midian woo Efa, Efer, Henok, Abida ne Eldaa. Eyinom nyinaa yɛ Ketura asefo.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 Abraham woo Isak. Isak mmabarima yɛ Esau ne Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 Na Esau mmabarima yɛ Elifas, Reuel, Yeus, Yalam ne Kora.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 Na Elifas mmabarima yɛ Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenas, Timna ne Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 Na Reuel mmabarima yɛ Nahat, Serah, Sama ne Misa.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 Na Seir mmabarima yɛ Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser ne Disan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 Na Lotan mmabarima yɛ Hori ne Homam. Na Lotan nuabea din de Timna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 Na Sobal mmabarima yɛ Alian, Manahat, Ebal, Sefi ne Onam. Sibeon mmabarima yɛ Aya ne Ana.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 Na Ana babarima yɛ Dison. Na Dison mma yɛ Hemdan, Esban, Yitran ne Keran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 Na Eser mmabarima yɛ Bilhan, Saawan ne Akan. Na Disan mmabarima yɛ Us ne Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 Eyinom ne ahemfo a wodii Edom so ansa na Israelfo renya ahemfo: Beor babarima Bela, a ɔtenaa kuropɔn Dinhaba so dii hene.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 Na Bela wui no, Serah babarima Yobab a ofi Bosra bedii nʼade sɛ ɔhene.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 Na Yobab wui no, Husam a ofi Teman asase so bedii nʼade sɛ ɔhene.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 Husam wu akyi no, Hadad a ɔyɛ Bedad babarima a okodii Midian so nkonim wɔ Moab asase so no na odii nʼade sɛ ɔhempɔn. Wɔtoo nʼahenkurow no din Hawit.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 Hadad wui no, Samla a ofi Masreka kuropɔn mu bɛyɛɛ ɔhene.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 Samla wui no, Saulo a ofi Rehobot a ɛda asu Eufrate ho no bedii hene.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 Na Saulo wui no, Akbor babarima Baal-Hanan bedii hene.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 Baal-Hanan wui no, Hadad tenaa kuropɔn Pai mu dii hene. Na ne yere a wɔfrɛ no Mehetabel no yɛ Matred babea ne Me-Sahab nso nena.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 Na Hadad nso wui. Na Edom mmusua no ntuanofo ne Timna, Alia, Yetet,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibama, Ela, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenas, Teman, Mibsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel ne Iram. Eyinom na na wɔyɛ Edom mmusua ntuanofo.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Beresosɛm 1 >