< Sefanya 2 >

1 Ey utanmaz ulus, toparlan! Hakkında ferman çıkmadan, Gün saman ufağı gibi geçip gitmeden, RAB'bin kızgın öfkesi üzerine dökülmeden, RAB'bin öfke günü gelmeden toparlan.
Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
2
kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
3 Ey RAB'bin ilkelerini yerine getirenler, Ülkedeki bütün alçakgönüllüler, RAB'be yönelin. Doğruluğu ve alçakgönüllülüğü amaç edinin. Belki RAB'bin öfke gününde kurtulabilirsiniz.
Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
4 Gazze bomboş kalacak, Viraneye dönecek Aşkelon, Boşaltılacak Aşdot öğle vakti, Ekron temelden yıkılacak.
hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
5 Deniz kıyısında yaşayan Keret ulusunun vay haline! Ey Filist ülkesi Kenan, RAB'bin yargısı sana karşıdır. Hepinizi yok edecek RAB, Ülkede yaşayan kimse kalmayacak.
Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
6 Deniz kıyısındaki ülkeniz, Çoban barınaklarıyla sürü ağıllarının bulunduğu otlaklara dönecek;
Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
7 Yahuda oymağından sağ kalanların eline geçecek. Orada otlatacaklar sürülerini, Aşkelon'un evlerinde geceleyecekler. Çünkü Tanrıları RAB onları kayıracak. Eski gönençlerine kavuşturacak onları.
Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
8 İsrail'in Tanrısı Her Şeye Egemen RAB şöyle diyor: “Moavlılar'ın halkımı nasıl aşağıladığını, Ammon halkının onlara nasıl hakaret ettiğini, Onları nasıl alaya aldığını, Topraklarını nasıl tehdit ettiğini duydum. Varlığım hakkı için, Moav kesinlikle Sodom gibi, Ammon da Gomora gibi olacak. Otlarla, tuz çukurlarıyla dolacak, Sonsuza dek virane kalacak. Mallarını halkımdan geride kalanlar yağmalayacak. Topraklarını ulusumdan sağ kalanlar miras alacak.”
Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
9
Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
10 Gururlanmalarının, Her Şeye Egemen RAB'bin halkını aşağılayıp Alay etmelerinin karşılığı bu olacak.
Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
11 Dehşete düşürecek RAB onları, Yeryüzünün bütün ilahlarını yok edecek. Kıyılardaki bütün uluslar, Bulundukları yerde O'na tapınacaklar.
Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
12 “Ey Kûşlular, Siz de benim kılıcımla öleceksiniz” diyor RAB.
Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
13 RAB elini kuzeye doğru uzatıp Asur'u yok edecek. Ninova'yı viraneye, Çöl gibi kurak bir alana çevirecek.
na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
14 Orası sürülerin, her türlü hayvanın yattığı yer olacak. Sütun başlıklarında ishakkuşları, kır baykuşları barınacak. Sesleri pencerelerde yankılanacak, Yıkıntılar dolduracak eşiklerin önünü, Sedir kirişler ortaya çıkacak.
Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
15 İşte budur güvenlikte olduğunu sanan, “Bir ben varım, benden başkası yok” diyen eğlence düşkünü kent. Nasıl da viraneye döndü, Yabanıl hayvanlara barınak oldu! Yanından her geçen gördüğü dehşetten irkiliyor.
huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.

< Sefanya 2 >