< Ezgiler Ezgisi 2 >

1 Ben Şaron çiğdemiyim, Vadilerin zambağıyım.
Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
2 Dikenlerin arasında zambak nasılsa Kızların arasında öyledir aşkım.
Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
3 Orman ağaçları arasında bir elma ağacına benzer Delikanlıların arasında sevgilim. Onun gölgesinde oturmaktan zevk alırım, Tadı damağımda kalır meyvesinin.
Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
4 Ziyafet evine götürdü beni, Üzerimdeki sancağı aşktı.
Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
5 Güçlendirin beni üzüm pestiliyle, Canlandırın elmayla, Çünkü aşk hastasıyım ben.
Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
6 Sol eli başımın altında, Sağ eli sarsın beni.
Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
7 Dişi ceylanlar, Yabanıl dişi geyikler üstüne Ant içiriyorum size, ey Yeruşalim kızları! Aşkımı ayıltmayasınız, uyandırmayasınız diye, Gönlü hoş olana dek.
Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
8 İşte! Sevgilimin sesi! Dağların üzerinden sekerek, Tepelerin üzerinden sıçrayarak geliyor.
Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
9 Sevgilim ceylana benzer, sanki bir geyik yavrusu. Bakın, duvarımızın ardında duruyor, Pencerelerden bakıyor, Kafeslerden seyrediyor.
Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
10 Sevgilim şöyle dedi: “Kalk, gel aşkım, güzelim.
Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
11 Bak, kış geçti, Yağmurların ardı kesildi,
Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
12 Çiçekler açtı, Şarkı mevsimi geldi, Kumrular ötüşmeye başladı beldemizde.
Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
13 İncir ağacı ilk meyvesini verdi, Yeşeren asmalar mis gibi kokular saçmakta. Kalk, gel aşkım, güzelim.”
Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
14 Kaya kovuklarında, Uçurum kenarlarında gizlenen güvercinim! Boyunu bosunu göster bana, Sesini duyur; Çünkü sesin tatlı, boyun bosun güzeldir.
Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
15 Yakalayın tilkileri bizim için, Bağları bozan küçük tilkileri; Çünkü bağlarımız yeşerdi.
Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
16 Sevgilim benimdir, ben de onun, Zambaklar arasında gezinir durur.
Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
17 Ey sevgilim, gün serinleyip gölgeler uzayana dek, Engebeli dağlar üzerinde bir ceylan gibi, Geyik yavrusu gibi ol!
Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.

< Ezgiler Ezgisi 2 >