< Romalilar 10 >
1 Kardeşler! İsrailliler'in kurtulmasını yürekten özlüyor, bunun için Tanrı'ya yalvarıyorum.
Ndugu, nia ya moyo wangu na ombi langu kwa Mungu ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao.
2 Onlara ilişkin tanıklık ederim ki, Tanrı için gayretlidirler; ama bu bilinçli bir gayret değildir.
Kwa kuwa nawashuhudia kwamba wanajuhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si kwa ajili ya ufahamu.
3 Tanrı'nın öngördüğü doğruluğu anlamadıkları ve kendi doğruluklarını yerleştirmeye çalıştıkları için Tanrı'nın öngördüğü doğruluğa boyun eğmediler.
Kwa kuwa hawajui haki ya Mungu, na wanatafuta kujenga haki yao wenyewe. Hawakuwa watiifu kwa haki ya Mungu.
4 Oysa her iman edenin aklanması için Mesih, Kutsal Yasa'nın sonudur.
Kwa kuwa Kristo ndiye utimilifu wa sheria kwa ajili ya haki ya kila mtu aaminiye.
5 Musa, Kutsal Yasa'ya dayanan doğrulukla ilgili şöyle yazıyor: “Yasa'nın gereklerini yapan, onlar sayesinde yaşayacaktır.”
Kwa kuwa Musa anaandika kuhusu haki ambayo huja kutokana na sheria: “Mtu ambaye hutenda haki ya sheria ataishi kwa haki hii.”
6 İmana dayanan doğruluk ise şöyle diyor: “Yüreğinde, ‘Göğe –yani Mesih'i indirmeye– kim çıkacak?’
Lakini haki ambayo inatokana na imani husema hivi, “Usiseme moyoni mwako, 'Nani atapaa kwenda mbinguni?' (Hii ni kumleta Kristo chini).
7 ya da, ‘Dipsiz derinliklere –yani Mesih'i ölüler arasından çıkarmaya– kim inecek?’ deme.” (Abyssos )
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos )
8 Ne deniyor? “Tanrı sözü sana yakındır, Ağzında ve yüreğindedir.” İşte duyurduğumuz iman sözü budur.
Lakini inasema nini? “Neno liko karibu na wewe, katika kinywa chako na katika moyo wako.” Hilo ni neno la imani, ambalo tunatangaza.
9 İsa'nın Rab olduğunu ağzınla açıkça söyler ve Tanrı'nın O'nu ölümden dirilttiğine yürekten iman edersen, kurtulacaksın.
Kwa kuwa kama kwa kinywa chako unamkiri Yesu ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
10 Çünkü insan yürekten iman ederek aklanır, imanını ağzıyla açıklayarak kurtulur.
Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini na kupata haki, na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
11 Kutsal Yazı, “O'na iman eden utandırılmayacak” diyor.
Kwa kuwa andiko lasema, “Kila amwaminiye hata aibika.”
12 Çünkü Yahudi Grek ayrımı yoktur, aynı Rab hepsinin Rabbi'dir. Kendisini çağıranların tümüne eliaçıktır.
kwa kuwa hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Bwana yule yule ni Bwana wa wote, na ni tajiri kwa wote wamwitao.
13 “Rab'bi adıyla çağıran herkes kurtulacak.”
Kwa kuwa kila mtu ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.
14 Ama iman etmedikleri kişiyi nasıl çağıracaklar? Duymadıkları kişiye nasıl iman edecekler? Tanrı sözünü yayan olmazsa, nasıl duyacaklar?
Kwa jinsi gani wanaweza kumwita yeye ambaye hawajamwamini? Na jinsi gani wanaweza kuamini katika yeye ambaye hawajamsikia? Na watasikiaje pasipo muhubiri?
15 Sözü yaymaya gönderilmezlerse, sözü nasıl yayacaklar? Yazılmış olduğu gibi: “İyi haber müjdeleyenlerin ayakları ne güzeldir!”
Na jinsi gani wanaweza kuhubiri, isipokuwa wametumwa? - Kama ilivyoandikwa, “Jinsi gani ni mizuri miguu ya wale ambao wanatangaza habari za furaha za mambo mema!”
16 Ne var ki, herkes Müjde'ye uymadı. Yeşaya'nın dediği gibi: “Ya Rab, verdiğimiz habere kim inandı?”
Lakini wote hawakusikiliza injili. Kwa kuwa Isaya hunena, “Bwana, ni nani aliyesikia ujumbe wetu?”
17 Demek ki iman, haberi duymakla, duymak da Mesih'le ilgili sözün yayılmasıyla olur.
Hivyo imani huja kutokana na kusikia, na kusikia kwa neno la Kristo.
18 Ama soruyorum: Onlar duymadılar mı? Elbet duydular. “Sesleri bütün yeryüzüne, Sözleri dünyanın dört bucağına ulaştı.”
Lakini nasema, “Je hawakusikia?” Ndiyo, kwa hakika sana. “Sauti yao imekwisha toka nje katika nchi yote, na maneno yao kwenda miisho ya dunia.”
19 Yine soruyorum: İsrail anlamadı mı? Önce Musa, “Ben sizi ulus olmayanla kıskandıracağım, Anlayışsız bir ulusla sizi öfkelendireceğim” diyor.
Zaidi ya yote, Ninasema, “Je Israel hakujua?” Kwanza Musa hunena, “Nitawachokoza kuwatia wivu kwa watu ambao si taifa. Kwa njia ya taifa lisilo na uelewa, nitawachochea hadi mkasirike.”
20 Sonra Yeşaya cesaretle, “Aramayanlar beni buldu, Sormayanlara kendimi gösterdim” diyor.
Na Isaya ni jasiri sana na husema, “Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta. Nilionekana kwa wale ambao hawakunihitaji.”
21 Öte yandan İsrail için şöyle diyor: “Söz dinlemeyen, asi bir halka Bütün gün ellerimi uzatıp durdum.”
Lakini kwa Israel husema, “Siku zote nilinyoosha mikono yangu kwa wasiotii na kwa watu wagumu.”