< Mezmurlar 81 >

1 Müzik şefi için - Gittit üzerine - Asaf'ın mezmuru Sevincinizi dile getirin gücümüz olan Tanrı'ya, Sevinç çığlıkları atın Yakup'un Tanrısı'na!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu. Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu; mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2 Çalgıya başlayın, tef çalın, Tatlı sesli lir ve çenk çınlatın.
Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.
3 Yeni Ay'da, dolunayda, Boru çalın bayram günümüzde.
Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume wakati wa Mwandamo wa Mwezi, na wakati wa mwezi mpevu, katika siku ya Sikukuu yetu;
4 Çünkü bu İsrail için bir kuraldır, Yakup'un Tanrısı'nın ilkesidir.
hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.
5 Tanrı Mısır'a karşı yürüdüğünde, Yusuf soyuna koydu bu koşulu. Orada tanımadığım bir ses işittim:
Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu alipotoka dhidi ya Misri, huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.
6 “Sırtındaki yükü kaldırdım, Ellerin küfeden kurtuldu” diyordu,
Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao; mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.
7 “Sıkıntıya düşünce seslendin, seni kurtardım, Gök gürlemesinin ardından sana yanıt verdim, Meriva sularında seni sınadım. (Sela)
Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa, nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo; nilikujaribu katika maji ya Meriba.
8 “Dinle, ey halkım, seni uyarıyorum; Ey İsrail, keşke beni dinlesen!
“Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!
9 Aranızda yabancı ilah olmasın, Başka bir ilaha tapmayın!
Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu; msimsujudie mungu wa kigeni.
10 Seni Mısır'dan çıkaran Tanrın RAB benim. Ağzını iyice aç, doldurayım!
Mimi ni Bwana Mungu wako, niliyekutoa nchi ya Misri. Panua sana kinywa chako nami nitakijaza.
11 “Ama halkım sesimi dinlemedi, İsrail bana boyun eğmek istemedi.
“Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.
12 Ben de onları inatçı yürekleriyle baş başa bıraktım, Bildikleri gibi yaşasınlar diye.
Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe.
13 Keşke halkım beni dinleseydi, İsrail yollarımda yürüseydi!
“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,
14 Düşmanlarını hemen yere serer, Hasımlarına el kaldırırdım!
ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!
15 Benden nefret edenler bana boyun eğerdi, Bu böyle sonsuza dek sürerdi.
Wale wanaomchukia Bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.
16 Oysa sizleri en iyi buğdayla besler, Kayadan akan balla doyururdum.”
Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

< Mezmurlar 81 >