< Mezmurlar 22 >

1 Müzik şefi için - “Tan Geyiği” makamında - Davut'un mezmuru Tanrım, Tanrım, beni neden terk ettin? Niçin bana yardım etmekten, Haykırışıma kulak vermekten uzak duruyorsun?
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 Ey Tanrım, gündüz sesleniyorum, yanıt vermiyorsun, Gece sesleniyorum, yine rahat yok bana.
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 Oysa sen kutsalsın, İsrail'in övgüleri üzerine taht kuran sensin.
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 Sana güvendiler atalarımız, Sana dayandılar, onları kurtardın.
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 Sana yakarıp kurtuldular, Sana güvendiler, aldanmadılar.
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 Ama ben insan değil, toprak kurduyum, İnsanlar beni küçümsüyor, halk hor görüyor.
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 Beni gören herkes alay ediyor, Sırıtıp baş sallayarak diyorlar ki,
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
8 “Sırtını RAB'be dayadı, kurtarsın bakalım onu, Madem onu seviyor, yardım etsin!”
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
9 Oysa beni ana rahminden çıkaran, Ana kucağındayken sana güvenmeyi öğreten sensin.
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
10 Doğuşumdan beri sana teslim edildim, Ana rahminden beri Tanrım sensin.
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
11 Benden uzak durma! Çünkü sıkıntı yanıbaşımda, Yardım edecek kimse yok.
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
12 Boğalar kuşatıyor beni, Azgın Başan boğaları sarıyor çevremi.
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
13 Kükreyerek avını parçalayan aslanlar gibi Ağızlarını açıyorlar bana.
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
14 Su gibi dökülüyorum, Bütün kemiklerim oynaklarından çıkıyor; Yüreğim balmumu gibi içimde eriyor.
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
15 Gücüm çömlek parçası gibi kurudu, Dilim damağıma yapışıyor; Beni ölüm toprağına yatırdın.
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
16 Köpekler kuşatıyor beni, Kötüler sürüsü çevremi sarıyor, Ellerimi, ayaklarımı deliyorlar.
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 Bütün kemiklerimi sayar oldum, Gözlerini dikmiş, bana bakıyorlar.
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
18 Giysilerimi aralarında paylaşıyor, Elbisem için kura çekiyorlar.
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
19 Ama sen, ya RAB, uzak durma; Ey gücüm benim, yardımıma koş!
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
20 Canımı kılıçtan, Biricik hayatımı köpeğin pençesinden kurtar!
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
21 Kurtar beni aslanın ağzından, Yaban öküzlerinin boynuzundan. Yanıt ver bana!
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22 Adını kardeşlerime duyurayım, Topluluğun ortasında sana övgüler sunayım:
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
23 Ey sizler, RAB'den korkanlar, O'na övgüler sunun! Ey Yakup soyu, O'nu yüceltin! Ey İsrail soyu, O'na saygı gösterin!
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
24 Çünkü O mazlumun çektiği sıkıntıyı hafife almadı, Ondan tiksinmedi, yüz çevirmedi; Kendisini yardıma çağırdığında ona kulak verdi.
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Övgü konum sen olacaksın büyük toplulukta, Senden korkanların önünde yerine getireceğim adaklarımı.
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 Yoksullar yiyip doyacak, RAB'be yönelenler O'na övgü sunacak. Sonsuza dek ömrünüz tükenmesin!
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
27 Yeryüzünün dört bucağı anımsayıp RAB'be dönecek, Ulusların bütün soyları O'nun önünde yere kapanacak.
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
28 Çünkü egemenlik RAB'bindir, Ulusları O yönetir.
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
29 Yeryüzündeki bütün zenginler doyacak Ve O'nun önünde yere kapanacak, Toprağa gidenler, Ölümlerine engel olamayanlar, Eğilecekler O'nun önünde.
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
30 Gelecek kuşaklar O'na kulluk edecek, Rab yeni kuşaklara anlatılacak.
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
31 O'nun kurtarışını, “Rab yaptı bunları” diyerek, Henüz doğmamış bir halka duyuracaklar.
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!

< Mezmurlar 22 >