< Mezmurlar 136 >
1 Şükredin RAB'be, çünkü O iyidir, Sevgisi sonsuzdur;
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Şükredin tanrılar Tanrısı'na, Sevgisi sonsuzdur;
Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
3 Şükredin rabler Rabbi'ne, Sevgisi sonsuzdur;
Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
4 Büyük harikalar yapan tek varlığa, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5 Gökleri bilgece yaratana, Sevgisi sonsuzdur;
Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6 Yeri sular üzerine yayana, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7 Büyük ışıklar yaratana, Sevgisi sonsuzdur;
Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
8 Gündüze egemen olsun diye güneşi, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
9 Geceye egemen olsun diye ayı ve yıldızları yaratana, Sevgisi sonsuzdur;
Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10 Mısır'da ilk doğanları öldürene, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
11 Güçlü eli, kudretli koluyla Sevgisi sonsuzdur; İsrail'i Mısır'dan çıkarana, Sevgisi sonsuzdur;
Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
13 Kamış Denizi'ni ikiye bölene, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
14 İsrail'i ortasından geçirene, Sevgisi sonsuzdur;
Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
15 Firavunla ordusunu Kamış Denizi'ne dökene, Sevgisi sonsuzdur;
Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
16 Kendi halkını çölde yürütene, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
17 Büyük kralları vurana, Sevgisi sonsuzdur;
Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
18 Güçlü kralları öldürene, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
19 Amorlu kral Sihon'u, Sevgisi sonsuzdur;
Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
20 Başan Kralı Og'u öldürene, Sevgisi sonsuzdur;
Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
21 Topraklarını mülk olarak, Sevgisi sonsuzdur; Kulu İsrail'e mülk verene, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
23 Düşkün günlerimizde bizi anımsayana, Sevgisi sonsuzdur;
Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
24 Düşmanlarımızdan bizi kurtarana, Sevgisi sonsuzdur;
Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
25 Bütün canlılara yiyecek verene, Sevgisi sonsuzdur;
Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
26 Şükredin Göklerin Tanrısı'na, Sevgisi sonsuzdur.
Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.