< Mezmurlar 132 >

1 Hac ilahisi Ya RAB, Davut'un hatırı için, Çektiği bütün zorlukları, Sana nasıl ant içtiğini, Yakup'un güçlü Tanrısı'na adak adadığını anımsa:
Wimbo wa kwenda juu. Ee Bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.
2
Aliapa kiapo kwa Bwana na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:
3 “Evime gitmeyeceğim, Yatağıma uzanmayacağım,
“Sitaingia nyumbani mwangu au kwenda kitandani mwangu:
4 Gözlerime uyku girmeyecek, Göz kapaklarım kapanmayacak,
sitaruhusu usingizi katika macho yangu, wala kope zangu kusinzia,
5 RAB'be bir yer, Yakup'un güçlü Tanrısı'na bir konut buluncaya dek.”
mpaka nitakapompatia Bwana mahali, makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
6 Antlaşma Sandığı'nın Efrata'da olduğunu duyduk, Onu Yaar kırlarında bulduk.
Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:
7 “RAB'bin konutuna gidelim, Ayağının taburesi önünde tapınalım” dedik.
“Twendeni kwenye makao yake, na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;
8 Çık, ya RAB, yaşayacağın yere, Gücünü simgeleyen sandıkla birlikte.
inuka, Ee Bwana, uje mahali pako pa kupumzikia, wewe na Sanduku la nguvu zako.
9 Kâhinlerin doğruluğu kuşansın, Sadık kulların sevinç çığlıkları atsın.
Makuhani wako na wavikwe haki, watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”
10 Kulun Davut'un hatırı için, Meshettiğin krala yüz çevirme.
Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako, usimkatae mpakwa mafuta wako.
11 RAB Davut'a kesin ant içti, Andından dönmez: “Senin soyundan birini tahtına oturtacağım.
Bwana alimwapia Daudi kiapo, kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe katika kiti chako cha enzi,
12 Eğer oğulların antlaşmama, Vereceğim öğütlere uyarlarsa, Onların oğulları da sonsuza dek Senin tahtına oturacak.”
kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.”
13 Çünkü RAB Siyon'u seçti, Onu konut edinmek istedi.
Kwa maana Bwana ameichagua Sayuni, amepaonea shauku pawe maskani yake:
14 “Sonsuza dek yaşayacağım yer budur” dedi, “Burada oturacağım, çünkü bunu kendim istedim.
“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele; hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:
15 Çok bereketli kılacağım erzağını, Yiyecekle doyuracağım yoksullarını.
Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele: nitashibisha maskini wake kwa chakula.
16 Kurtuluşla donatacağım kâhinlerini; Hep sevinç ezgileri söyleyecek sadık kulları.
Nitawavika makuhani wake wokovu, nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.
17 Burada Davut soyundan güçlü bir kral çıkaracağım, Meshettiğim kralın soyunu Işık olarak sürdüreceğim.
“Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.
18 Düşmanlarını utanca bürüyeceğim, Ama onun başındaki taç parıldayacak.”
Adui zake nitawavika aibu, bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”

< Mezmurlar 132 >