< Mezmurlar 130 >

1 Hac ilahisi Derinliklerden sana sesleniyorum, ya RAB,
Wimbo wa kwenda juu. Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2 Sesimi işit, ya Rab, Yalvarışıma iyi kulak ver!
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
3 Ya RAB, sen suçların hesabını tutsan, Kim ayakta kalabilir, ya Rab?
Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi, Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?
4 Ama sen bağışlayıcısın, Öyle ki senden korkulsun.
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
5 RAB'bi gözlüyorum, Canım RAB'bi gözlüyor, Umut bağlıyorum O'nun sözüne.
Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
6 Sabahı gözleyenlerden, Evet, sabahı gözleyenlerden daha çok, Canım Rab'bi gözlüyor.
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
7 Ey İsrail, RAB'be umut bağla! Çünkü RAB'de sevgi, Tam kurtuluş vardır.
Ee Israeli, mtumaini Bwana, maana kwa Bwana kuna upendo usiokoma, na kwake kuna ukombozi kamili.
8 İsrail'i bütün suçlarından Fidyeyle O kurtaracaktır.
Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli kutoka dhambi zao zote.

< Mezmurlar 130 >