< Mezmurlar 120 >
1 Hac ilahisi Sıkıntıya düşünce RAB'be seslendim; Yanıtladı beni.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Ya RAB, kurtar canımı yalancı dudaklardan, Aldatıcı dillerden!
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 Ey aldatıcı dil, RAB ne verecek sana, Daha ne verecek?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 Yiğidin sivri oklarıyla Retem çalısından alevli korlar!
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Vay bana, Meşek'te garip kaldım sanki, Kedar çadırları arasında oturdum.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 Fazla kaldım Barıştan nefret edenler arasında.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 Ben barış yanlısıyım, Ama söze başladığımda, Onlar savaşa kalkıyor!
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.