< Mezmurlar 115 >
1 Bizi değil, ya RAB, bizi değil, Sevgin ve sadakatin uğruna, Kendi adını yücelt!
Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi, bali utukufu ni kwa jina lako, kwa sababu ya upendo na uaminifu wako.
2 Niçin uluslar: “Hani, nerede onların Tanrısı?” desin.
Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”
3 Bizim Tanrımız göklerdedir, Ne isterse yapar.
Mungu wetu yuko mbinguni, naye hufanya lolote limpendezalo.
4 Oysa onların putları altın ve gümüşten yapılmış, İnsan elinin eseridir.
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
5 Ağızları var, konuşmazlar, Gözleri var, görmezler,
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
6 Kulakları var, duymazlar, Burunları var, koku almazlar,
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, zina pua, lakini haziwezi kunusa;
7 Elleri var, hissetmezler, Ayakları var, yürümezler, Boğazlarından ses çıkmaz.
zina mikono, lakini haziwezi kupapasa, zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
8 Onları yapan, onlara güvenen herkes Onlar gibi olacak!
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
9 Ey İsrail halkı, RAB'be güven, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
10 Ey Harun soyu, RAB'be güven, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
11 Ey RAB'den korkanlar, RAB'be güvenin, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
12 RAB bizi anımsayıp kutsayacak, İsrail halkını, Harun soyunu kutsayacak.
Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
13 Küçük, büyük, Kendisinden korkan herkesi kutsayacak.
atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
14 RAB sizi, Sizi ve çocuklarınızı çoğaltsın!
Bwana na awawezeshe kuongezeka, ninyi na watoto wenu.
15 Yeri göğü yaratan RAB Sizleri kutsasın.
Mbarikiwe na Bwana Muumba wa mbingu na dunia.
16 Göklerin öteleri RAB'bindir, Ama yeryüzünü insanlara vermiştir.
Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana, lakini dunia amempa mwanadamu.
17 Ölüler, sessizlik diyarına inenler, RAB'be övgüler sunmaz;
Sio wafu wanaomsifu Bwana, wale washukao mahali pa kimya,
18 Biziz RAB'bi öven, Şimdiden sonsuza dek. RAB'be övgüler sunun!
bali ni sisi tunaomtukuza Bwana, sasa na hata milele. Msifuni Bwana.