< Mezmurlar 112 >
1 Övgüler sunun RAB'be! Ne mutlu RAB'den korkan insana, O'nun buyruklarından büyük zevk alana!
Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2 Soyu yeryüzünde güç kazanacak, Doğruların kuşağı kutsanacak.
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3 Bolluk ve zenginlik eksilmez evinden, Sonsuza dek sürer doğruluğu.
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
4 Karanlıkta ışık doğar dürüstler için, Lütfeden, sevecen, doğru insanlar için.
Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
5 Ne mutlu eli açık olan, ödünç veren, İşlerini adaletle yürüten insana!
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
6 Asla sarsılmaz, Sonsuza dek anılır doğru insan.
Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7 Kötü haberden korkmaz, Yüreği sarsılmaz, RAB'be güvenir.
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8 Gözü pektir, korku nedir bilmez, Sonunda düşmanlarının yenilgisini görür.
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9 Armağanlar dağıttı, yoksullara verdi; Doğruluğu sonsuza dek kalıcıdır, Gücü ve saygınlığı artar.
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10 Kötü kişi bunu görünce kudurur, Dişlerini gıcırdatır, kendi kendini yer, bitirir. Kötülerin dileği boşa çıkar.
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.