< Çölde Sayim 31 >

1 RAB Musa'ya, “Midyanlılar'dan İsrailliler'in öcünü al; sonra ölüp atalarına kavuşacaksın” dedi.
Bwana akamwambia Mose,
2
“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
3 Bunun üzerine Musa halka, “Midyanlılar'a karşı savaşmak ve onlardan RAB'bin öcünü almak üzere aranızdan adamlar silahlandırın” dedi,
Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
4 “Savaşa İsrail'in her oymağından bin kişi gönderin.”
Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”
5 Böylece İsrail'in her oymağından biner kişi olmak üzere 12 000 kişi seçilip savaşa hazırlandı.
Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.
6 Musa onları –her oymaktan biner kişiyi– ve Kâhin Elazar oğlu Pinehas'ı savaşa gönderdi. Pinehas yanına kutsal yere ait bazı eşyaları ve çağrı borazanlarını aldı.
Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.
7 RAB'bin Musa'ya verdiği buyruk uyarınca, Midyanlılar'a savaş açıp bütün erkekleri öldürdüler.
Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.
8 Öldürdükleri arasında beş Midyan kralı –Evi, Rekem, Sur, Hur ve Reva– da vardı. Beor oğlu Balam'ı da kılıçla öldürdüler.
Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.
9 Midyanlı kadınlarla çocuklarını tutsak alıp bütün hayvanlarını, sürülerini, mallarını yağmaladılar.
Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.
10 Midyanlılar'ın yaşadığı bütün kentleri, obaları ateşe verdiler.
Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.
11 İnsanları, hayvanları, yağmalanmış bütün malları yanlarına aldılar.
Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,
12 Tutsaklarla yağmalanmış malları Şeria Irmağı'nın yanında, Eriha karşısında, Moav ovalarındaki ordugahta konaklayan Musa'yla Kâhin Elazar'a ve İsrail topluluğuna getirdiler.
nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
13 Musa, Kâhin Elazar ve topluluğun önderleri onları karşılamak için ordugahın dışına çıktılar.
Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.
14 Musa savaştan dönen ordu komutanlarına –binbaşılara, yüzbaşılara– öfkelendi.
Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.
15 Onlara, “Bütün kadınları sağ mı bıraktınız?” diye çıkıştı,
Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”
16 “Bu kadınlar Balam'ın verdiği öğüde uyarak Peor olayında İsrailliler'in RAB'be ihanet etmesine neden oldular. Bu yüzden RAB'bin topluluğu arasında ölümcül hastalık başgösterdi.
“Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana.
17 Şimdi bütün erkek çocukları ve erkekle yatmış kadınları öldürün.
Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,
18 Yalnız erkekle yatmamış genç kızları kendiniz için sağ bırakın.
lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.
19 “Aranızda birini öldüren ya da öldürülen birine dokunan herkes yedi gün ordugahın dışında kalsın. Üçüncü ve yedinci gün kendinizi de tutsaklarınızı da günahtan arındıracaksınız.
“Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.
20 Her giysiyi, deriden, keçi kılından, tahtadan yapılmış her nesneyi arındıracaksınız.”
Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”
21 Bundan sonra Kâhin Elazar, savaştan dönen askerlere, “RAB'bin Musa'ya buyurduğu yasanın kuralı şudur” dedi,
Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose:
22 “Altını, gümüşü, tuncu, demiri, kalayı, kurşunu –ateşe dayanıklı her nesneyi– ateşten geçireceksiniz; ancak bundan sonra temiz sayılacak. Ayrıca temizlenme suyuyla da arındıracaksınız. Ateşe dayanıklı olmayan nesneleri sudan geçireceksiniz.
Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,
na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.
24 Yedinci gün giysilerinizi yıkayın. Böylece temiz sayılacaksınız. Sonra ordugaha girebilirsiniz.”
Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”
25 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Bwana akamwambia Mose,
26 “Sen, Kâhin Elazar ve topluluğun aile başları ele geçirilen insanlarla hayvanları sayacaksınız.
“Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
27 Ele geçirilenleri savaşa katılan askerlerle topluluğun geri kalanı arasında paylaştıracaksınız.
Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
28 Savaşa katılan askerlere düşen paydan –insan, sığır, eşek, davardan– vergi olarak RAB'be beş yüzde bir pay ayıracaksın.
Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.
29 Bu vergiyi askerlere düşen yarı paydan alacak, RAB'be armağan olarak Kâhin Elazar'a vereceksin.
Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana.
30 Öbür İsrailliler'e düşen yarıdan, gerek insanlardan, gerek hayvanlardan –sığır, eşek, davardan– ellide birini alıp RAB'bin Konutu'nun hizmetinden sorumlu olan Levililer'e vereceksin.”
Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.”
31 Musa'yla Kâhin Elazar RAB'bin Musa'ya buyurduğu gibi yaptılar.
Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.
32 Savaşa katılan askerlerin ele geçirdiklerinden kalanlar şunlardı: 675 000 davar,
Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
33 72 000 sığır,
ngʼombe 72,000,
34 61 000 eşek,
punda 61,000,
35 erkekle yatmamış 32 000 kız.
na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.
36 Savaşa katılan askerlere düşen yarı pay da şuydu: 337 500 davar,
Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
37 bunlardan RAB'be vergi olarak 675 davar verildi;
ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
38 36 000 sığır, bunlardan RAB'be vergi olarak 72 sığır verildi;
ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
39 30 500 eşek, bunlardan RAB'be vergi olarak 61 eşek verildi;
punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;
40 16 000 kişi, bunlardan RAB'be vergi olarak 32 kişi verildi.
Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.
41 Musa, RAB'bin kendisine buyurduğu gibi, RAB'be ayrılan vergiyi Kâhin Elazar'a verdi.
Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
42 Musa'nın savaşa katılan askerlerden alıp İsrailliler'e ayırdığı yarı pay şuydu:
Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,
43 Topluluğa düşen yarı pay 337 500 davar,
nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
44 36 000 sığır,
ngʼombe 36,000,
45 30 500 eşek,
punda 30,500,
46 16 000 kişi.
na wanadamu 16,000.
47 Musa, RAB'bin kendisine buyurduğu gibi, İsrailliler'e düşen yarı paydan her elli kişiden ve hayvandan birini alıp RAB'bin Konutu'nun hizmetinden sorumlu olan Levililer'e verdi.
Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.
48 Ordu komutanları –binbaşılar ve yüzbaşılar– Musa'ya gidip,
Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose
49 “Efendimiz, yönetimimiz altındaki askerleri saydık, eksik yok” dediler,
na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.
50 “İşte, ele geçirdiğimiz altın eşyaları –pazıbentleri, bilezikleri, yüzükleri, küpeleri, kolyeleri– getirdik. Günahlarımızı bağışlatmak için bunları RAB'be sunuyoruz.”
Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”
51 Musa'yla Kâhin Elazar altını, her tür işlenmiş altın eşyayı onlardan aldılar.
Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.
52 Binbaşı ve yüzbaşılardan alıp RAB'be armağan olarak sundukları altının toplam ağırlığı 16 750 şekeldi.
Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
53 Savaşa katılan her asker kendine yağmalanmış maldan almıştı.
Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.
54 Musa'yla Kâhin Elazar binbaşı ve yüzbaşılardan aldıkları altını İsrailliler için RAB'bin önünde bir anımsatma sunusu olarak Buluşma Çadırı'na getirdiler.
Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.

< Çölde Sayim 31 >