< Çölde Sayim 29 >

1 “‘Yedinci ayın birinci günü kutsal toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız. O gün sizin için boru çalma günü olacak.
“‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
2 RAB'bi hoşnut eden koku, yakmalık sunu olarak kusursuz bir boğa, bir koç ve bir yaşında yedi erkek kuzu sunacaksınız.
Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
3 Boğayla birlikte tahıl sunusu olarak zeytinyağıyla yoğrulmuş onda üç efa, koçla birlikte onda iki efa, her kuzuyla da onda bir efa ince un sunacaksınız.
Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
4
na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
5 Günahlarınızı bağışlatmak için de günah sunusu olarak bir teke sunacaksınız.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 Kurala göre sunacağınız aylık ve günlük yakmalık sunuyla dökmelik sunulara, tahıl sunularına ek olarak bunları sunacaksınız. Bunlar RAB'bi hoşnut eden koku olarak yakılan sunulardır.’”
Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
7 “‘Yedinci ayın onuncu günü kutsal bir toplantı düzenleyeceksiniz. O gün isteklerinizi denetleyecek, hiç iş yapmayacaksınız.
“‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
8 RAB'bi hoşnut eden koku, yakmalık sunu olarak bir boğa, bir koç ve bir yaşında yedi erkek kuzu sunacaksınız. Sunacağınız hayvanlar kusursuz olmalı.
Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
9 Boğayla birlikte tahıl sunusu olarak zeytinyağıyla yoğrulmuş onda üç efa, koçla birlikte onda iki efa,
Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
10 her kuzuyla da onda bir efa ince un sunacaksınız.
na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
11 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Günahlarınızı bağışlatmak için sunulan günah sunusu, günlük yakmalık sunuyla dökmelik ve tahıl sunularına ek olarak bunları da sunacaksınız.’”
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
12 “‘Yedinci ayın on beşinci günü kutsal bir toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız. Bu bayramı RAB'bin onuruna yedi gün kutlayacaksınız.
“‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
13 RAB'bi hoşnut eden koku olarak yakılan sunu, yakmalık sunu olarak on üç boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız. Bu hayvanlar kusursuz olmalı.
Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
14 Her boğayla birlikte tahıl sunusu olarak zeytinyağıyla yoğrulmuş onda üç efa, her koçla birlikte onda iki efa, her kuzuyla da onda bir efa ince un sunacaksınız.
Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
16 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
17 “‘İkinci gün kusursuz on iki boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
18 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
19 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
20 “‘Üçüncü gün kusursuz on bir boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
21 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
22 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
23 “‘Dördüncü gün kusursuz on boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
24 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
25 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
26 “‘Beşinci gün kusursuz dokuz boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
27 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
28 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
29 “‘Altıncı gün kusursuz sekiz boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
30 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
31 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
32 “‘Yedinci gün kusursuz yedi boğa, iki koç ve bir yaşında on dört erkek kuzu sunacaksınız.
“‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
33 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
34 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
35 “‘Sekizinci gün bir toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız.
“‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
36 Yakmalık sunu, yakılan sunu, RAB'bi hoşnut eden koku olarak kusursuz bir boğa, bir koç ve bir yaşında yedi erkek kuzu sunacaksınız.
Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
37 Boğa, koç ve kuzularla sayısına göre istenilen tahıl sunularını ve dökmelik sunuları sunacaksınız.
Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
38 Günah sunusu için bir teke sunacaksınız. Bu sunular günlük yakmalık sunuyla tahıl sunularına ve dökmelik sunulara ek olacak.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
39 “‘Adadığınız adaklar ve gönülden verdiğiniz sunuların yanısıra, bayramlarınızda RAB'be yakmalık, tahıl, dökmelik ve esenlik sunularınız olarak bunları sunun.’”
“‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
40 Musa RAB'bin kendisine buyurduğu her şeyi İsrailliler'e anlattı.
Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.

< Çölde Sayim 29 >