< Çölde Sayim 1 >

1 İsrailliler'in Mısır'dan çıkışının ikinci yılı, ikinci ayın birinci günü RAB Sina Çölü'nde, Buluşma Çadırı'nda Musa'ya şöyle seslendi:
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
2 “Sen ve Harun İsrail topluluğunun bütün boylarıyla ailelerinin sayımını yapın. Bütün erkekleri bir bir sayıp adlarını yazın. İsrailliler'den savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştaki bütün erkekleri sayıp bölüklere ayırın.
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 Size yardım etmek için yanınızda her oymaktan birer adam bulunsun; bu kişiler aile başı olmalı.
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5 Size yardımcı olacak adamların adları şunlardır: “Ruben oymağından: Şedeur oğlu Elisur,
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6 Şimon oymağından: Surişadday oğlu Şelumiel,
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 Yahuda oymağından: Amminadav oğlu Nahşon,
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 İssakar oymağından: Suar oğlu Netanel,
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 Zevulun oymağından: Helon oğlu Eliav,
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 Yusufoğulları'ndan Efrayim oymağından: Ammihut oğlu Elişama, Manaşşe oymağından: Pedahsur oğlu Gamliel,
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 Benyamin oymağından: Gidoni oğlu Avidan,
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Dan oymağından: Ammişadday oğlu Ahiezer,
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 Aşer oymağından: Okran oğlu Pagiel,
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 Gad oymağından: Deuel oğlu Elyasaf,
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 Naftali oymağından: Enan oğlu Ahira.”
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 Bunlar İsrail topluluğundan atanmış adamlardı; atalarının soyundan gelen oymak önderleri, İsrail'in boy başlarıydı.
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 Musa'yla Harun adları bildirilen bu adamları getirttiler.
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18 RAB'bin buyruğu uyarınca ikinci ayın birinci günü bütün halkı topladılar. Yirmi ve daha yukarı yaştakileri boylarına, ailelerine göre birer birer sayıp adlarını yazdılar. Böylece Musa Sina Çölü'nde halkın sayımını yaptı.
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
20 İsrail'in ilk oğlu Ruben'in soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştaki bütün erkekler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla birer birer kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
21 Ruben oymağından sayılanlar 46 500 kişiydi.
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 Şimon'un soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştaki bütün erkekler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla birer birer belirlenip kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 Şimon oymağından sayılanlar 59 300 kişiydi.
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 Gad'ın soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 Gad oymağından sayılanlar 45 650 kişiydi.
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 Yahuda'nın soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 Yahuda oymağından sayılanlar 74 600 kişiydi.
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 İssakar'ın soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 İssakar oymağından sayılanlar 54 400 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 Zevulun'un soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 Zevulun oymağından sayılanlar 57 400 kişiydi.
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 Yusufoğulları'ndan, Efrayim soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 Efrayim oymağından sayılanlar 40 500 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 Manaşşe'nin soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 Manaşşe oymağından sayılanlar 32 200 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 Benyamin'in soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 Benyamin oymağından sayılanlar 35 400 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 Dan'ın soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 Dan oymağından sayılanlar 62 700 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 Aşer'in soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 Aşer oymağından sayılanlar 41 500 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Naftali'nin soyundan olanlar: Savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakiler bağlı oldukları boy ve aileye göre adlarıyla kayda geçirildi.
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 Naftali oymağından sayılanlar 53 400 kişiydi.
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 Musa, Harun ve İsrail'in on iki önderi tarafından sayılanlar bunlardı. Her önder bağlı olduğu aileyi temsil ediyordu.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 İsrail'de savaşabilecek durumda yirmi ve daha yukarı yaştakilerin tümü bağlı oldukları aileye göre sayıldılar.
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 Sayılanların toplamı 603 550 kişiydi.
Walihesabu wanaume 603, 550.
47 Ne var ki, Levi oymağından olanlar öbürleriyle birlikte sayılmadı.
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
48 Çünkü RAB Musa'ya şöyle demişti:
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
49 “Ancak Levi oymağını sayma, öbür İsrailliler arasında yaptığın sayıma onları katma.
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
50 Levililer'i Levha Sandığı'nın bulunduğu konuttan, eşyalardan ve konuta ait her şeyden sorumlu kıl. Konutu ve bütün eşyalarını onlar taşısın; konutun bakımını onlar yapsın, çevresinde ordugah kursun.
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
51 Konut taşınırken onu Levililer toplayacak; konaklanacağı zaman da onlar kuracak. Levililer dışında konuta yaklaşan ölüm cezasına çarptırılacak.
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52 İsrailliler çadırlarını bölükler halinde kuracaklar. Herkes kendi ordugahında, kendi sancağının altında bulunacak.
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
53 Ancak İsrail topluluğunun gazabıma uğramaması için Levililer Levha Sandığı'nın bulunduğu konutun çevresinde konaklayacak ve konuta bekçilik edecekler.”
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
54 İsrailliler bütün bunları tam tamına RAB'bin Musa'ya buyurduğu gibi yaptılar.
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.

< Çölde Sayim 1 >