< Matta 15 >

1 Bu sırada Yeruşalim'den bazı Ferisiler ve din bilginleri İsa'ya gelip, “Öğrencilerin neden atalarımızın töresini çiğniyor?” diye sordular, “Yemekten önce ellerini yıkamıyorlar.”
Ndipo Mafarisayo na waadishi walikuja kwa Yesu kutoka Yerusalemu. Na kusema,
2
“Kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? Kwa kuwa hawanawi mikono yao wanapokuwa wanakula chakula.''
3 İsa onlara şu karşılığı verdi: “Ya siz, neden töreniz uğruna Tanrı buyruğunu çiğniyorsunuz?
Yesu akawajibu na kuwaambia, “Nanyi kwa nini mnaihalifu sheria ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu?
4 Çünkü Tanrı şöyle buyurdu: ‘Annene babana saygı göstereceksin’; ‘Annesine ya da babasına söven kesinlikle öldürülecektir.’
Kwa kuwa Mungu alisema, 'Mheshimu baba yako na mama yako; na 'Asemaye uovu kwa baba yake na mama yake, hakika atakufa.'
5 Ama siz, ‘Her kim anne ya da babasına, benden alacağın bütün yardım Tanrı'ya adanmıştır derse, artık babasına saygı göstermek zorunda değildir’ diyorsunuz. Böylelikle, töreniz uğruna Tanrı'nın sözünü geçersiz kılmış oluyorsunuz.
Lakini ninyi husema, 'Kila amwambiaye baba yake na mama yake, '“Kila msaada ambao angepata kutoka kwangu sasa ni zawadi kutoka kwa Mungu,'''
6
“Mtu huyo hana haja ya kumuheshimu baba yake. Katika namna hii mmelitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
7 Ey ikiyüzlüler! Yeşaya'nın sizinle ilgili şu peygamberlik sözü ne kadar yerindedir: ‘Bu halk dudaklarıyla beni sayar, Ama yürekleri benden uzak.
Enyi wanafiki, ni vema kama Isaya alivyo tabiri juu yenu aliposema,
8
'Watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
9 Bana boşuna taparlar. Çünkü öğrettikleri, sadece insan buyruklarıdır.’”
Wananiabudu bure, kwa sababu wanafundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.”'
10 İsa, halkı yanına çağırıp onlara, “Dinleyin ve şunu belleyin” dedi.
Ndipo akawaita makutano na kuwaambia,” Sikilizeni na mfahamu
11 “Ağızdan giren şey insanı kirletmez. İnsanı kirleten ağızdan çıkandır.”
Hakuna kitu kiingiacho mdomoni mwa mtu na kumfanya najisi. Bali, kile kitokacho kinywani, hiki ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi.''
12 Bu sırada öğrencileri O'na gelip, “Biliyor musun?” dediler, “Ferisiler bu sözü duyunca gücendiler.”
Ndipo wanafunzi wakamwendea na kusema na Yesu, “Je!, Unafahamu Mafarisayo walipolisikia lile neno walikwazika?”
13 İsa şu karşılığı verdi: “Göksel Babam'ın dikmediği her fidan kökünden sökülecektir.
Yesu aliwajibu na kusema, “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa.
14 Bırakın onları; onlar körlerin kör kılavuzlarıdır. Eğer kör köre kılavuzluk ederse, ikisi de çukura düşer.”
Waacheni pekee, wao ni viongozi vipofu. Kama mtu kipofu atamuongoza kipofu mwenzake, wote wawili wataanguka shimoni.”
15 Petrus, “Bu benzetmeyi bize açıkla” dedi.
Petro akajibu na kumwambia Yesu,” Tuelezee mfano huu kwetu,
16 “Siz de mi hâlâ anlamıyorsunuz?” diye sordu İsa.
Yesu akajibu, ''Nanyi pia bado hamuelewi?
17 “Ağza giren her şeyin mideye indiğini, oradan da helaya atıldığını bilmiyor musunuz?
Ninyi hamuoni kuwa kila kiendacho mdomoni hupitia tumboni na kwenda chooni?
18 Ne var ki ağızdan çıkan, yürekten kaynaklanır. İnsanı kirleten de budur.
Lakini vitu vyote vitokavyo mdomoni hutoka ndani ya moyo. Ndivyo vitu vimtiavyo mtu unajisi.
19 Çünkü kötü düşünceler, cinayet, zina, fuhuş, hırsızlık, yalan yere tanıklık ve iftira hep yürekten kaynaklanır.
Kwa kuwa katika moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi.
20 İnsanı kirleten bunlardır. Yıkanmamış ellerle yemek yemek insanı kirletmez.”
Haya ndiyo mambo yamtiayo mtu unajisi. Lakini kula bila kunawa mikono hakumfanyi mtu kuwa najisi.”
21 İsa oradan ayrılıp Sur ve Sayda bölgesine geçti.
Ndipo Yesu akatoka mahali pale na akajitenga kuelekea pande za miji ya Tiro na Sidoni.
22 O yöreden Kenanlı bir kadın İsa'ya gelip, “Ya Rab, ey Davut Oğlu, halime acı! Kızım cine tutuldu, çok kötü durumda” diye feryat etti.
Tazama akaja mwanamke Mkanani kutoka pande hizo. Akapaza sauti akisema, ''Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu anateswa sana na pepo.''
23 İsa kadına hiçbir karşılık vermedi. Öğrencileri yaklaşıp, “Sal şunu, gitsin!” diye rica ettiler. “Arkamızdan bağırıp duruyor.”
Lakini Yesu hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakaja wakimsihi, wakisema, ''Muondoe aende zake, maana anatupigia kelele.''
24 İsa, “Ben yalnız İsrail halkının kaybolmuş koyunlarına gönderildim” diye yanıtladı.
Yesu aliwajibu na kusema, Sikutumwa kwa mtu yeyoye isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.''
25 Kadın ise yaklaşıp, “Ya Rab, bana yardım et!” diyerek O'nun önünde yere kapandı.
Lakini alikuja na kuinama mbele yake, akisema, ''Bwana nisaidie.''
26 İsa ona, “Çocukların ekmeğini alıp köpeklere atmak doğru değildir” dedi.
Alimjibu na kusema, “Siyo vema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,”
27 Kadın, “Haklısın, ya Rab” dedi. “Ama köpekler de efendilerinin sofrasından düşen kırıntıları yer.”
Akasema, “Ndiyo, Bwana, hata hivyo mbwa wadogo hula chakula kiagukacho mezani mwa Bwana wao.”
28 O zaman İsa ona şu karşılığı verdi: “Ey kadın, imanın büyük! Dilediğin gibi olsun.” Ve kadının kızı o saatte iyileşti.
Ndipo Yesu akajibu na akisema “Mwanamke, imani yako ni kubwa. Na ifanyike kwako kama utakavyo.” Na binti yake alikuwa ameponywa katika wakati huo.
29 İsa oradan ayrıldı, Celile Gölü'nün kıyısından geçerek dağa çıkıp oturdu.
Yesu aliondoka mahali pale na kwenda karibu na bahari ya Galilaya. Kisha alienda juu ya mlima na kuketi huko.
30 Yanına büyük bir kalabalık geldi. Beraberlerinde kötürüm, kör, çolak, dilsiz ve daha birçok hasta getirdiler. Hastaları O'nun ayaklarının dibine bıraktılar. O da onları iyileştirdi.
Kundi kubwa likaja kwake. Na kumletea viwete, vipofu, bubu, vilema na wengine wengi, waliokuwa wagonjwa. Waliwaweka katika miguu ya Yesu na akawaponya.
31 Halk, dilsizlerin konuştuğunu, çolakların iyileştiğini, körlerin gördüğünü, kötürümlerin yürüdüğünü görünce şaştı ve İsrail'in Tanrısı'nı yüceltti.
Nao umati wakashangaa walipoona mabubu wakiongea, na vilema wakifanywa wazima, viwete wakitembea, na vipofu wakiona. Walimsifu Mungu wa Israeli.
32 İsa öğrencilerini yanına çağırıp, “Halka acıyorum” dedi. “Üç gündür yanımdalar, yiyecek hiçbir şeyleri yok. Onları aç aç evlerine göndermek istemiyorum, yolda bayılabilirler.”
Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema, “Nimewaonea huruma umati, kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu bila kula kitu chochote. Sitawaaga waende kwao bila kula, wasije wakazimia njiani.”
33 Öğrenciler kendisine, “Böyle ıssız bir yerde bu kadar kalabalığı doyuracak ekmeği nereden bulalım?” dediler.
Wanafunzi wake wakamwambia, “Ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati mkuwbwa hivi?”
34 İsa, “Kaç ekmeğiniz var?” diye sordu. “Yedi ekmekle birkaç küçük balığımız var” dediler.
Yesu akawaambia, “Mna mikate mingapi?” Wakasema, “Saba, na samaki wadogo wachache.”
35 Bunun üzerine İsa, halka yere oturmalarını buyurdu.
Yesu akawaamuru umati uketi chini.
36 Yedi ekmekle balıkları aldı, şükredip bunları böldü, öğrencilerine verdi. Onlar da halka dağıttılar.
Aliitwaa ile mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi. Wanafunzi wakawapa umati.
37 Herkes yiyip doydu. Artakalan parçalardan yedi küfe dolusu topladılar.
Watu wote wakala na kutosheka. Na wakakusanya mabaki ya vipande vya chakula vilivyosalia vipande vipande, vilijaa vikapu saba.
38 Yemek yiyenlerin sayısı, kadın ve çocuklar hariç, dört bin erkekti.
Wote waliokula walikuwa wanaume elfu nne bila wanawake na watoto.
39 İsa, halkı evlerine gönderdikten sonra tekneye binip Magadan bölgesine geçti.
Kisha Yesu akauaga umati waende zao na akaingia ndani ya mashua na kwenda sehemu za Magadani.

< Matta 15 >