< Luka 2 >

1 O günlerde Sezar Avgustus bütün Roma dünyasında bir nüfus sayımının yapılması için buyruk çıkardı.
Sasa katika siku hizo, ikatokea kwamba Kaisari Agusto alitoa agizo akielekeza kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi duniani.
2 Bu ilk sayım, Kirinius'un Suriye valiliği zamanında yapıldı.
Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio akiwa gavana wa Siria.
3 Herkes yazılmak için kendi kentine gitti.
Hivyo kila mmoja akaenda mjini kwake kuandikishwa sensa.
4 Böylece Yusuf da, Davut'un soyundan ve torunlarından olduğu için Celile'nin Nasıra Kenti'nden Yahudiye bölgesine, Davut'un kenti Beytlehem'e gitti.
Naye Yusufu aliondoka pia katika mji wa Nazareti huko Galilaya na akasafiri Yudea katika mji wa Bethlehemu, ujulikanao kama mji wa Daudi, kwa sababu alitokea katika ukoo ya Daudi.
5 Orada, hamile olan nişanlısı Meryem'le birlikte yazılacaktı.
Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa na alikuwa akitazamia mtoto.
6 Onlar oradayken, Meryem'in doğurma vakti geldi ve ilk oğlunu doğurdu. O'nu kundağa sarıp bir yemliğe yatırdı. Çünkü handa yer yoktu.
Sasa ilitokea kwamba, wakiwa kule wakati wake wa kujifungua mtoto ukawadia.
7
Akajifungua mtoto wa kiume, mzaliwa wake wa kwanza, akamzungushia nguo mwilini kumkinga na baridi mtoto. Ndipo akamweka kwenye kihori cha kulishia wanyama, kwa sababu haikuwepo nafasi kwenye nyumba za wageni.
8 Aynı yörede, sürülerinin yanında nöbet tutarak geceyi kırlarda geçiren çobanlar vardı.
Katika eneo hilo, walikuwapo wachungaji walioishi mashambani wakilinda makundi ya Kondoo wao usiku.
9 Rab'bin bir meleği onlara göründü ve Rab'bin görkemi çevrelerini aydınlattı. Büyük bir korkuya kapıldılar.
Ghafla, malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukang'aa kuwazunguka, na wakawa na hofu sana.
10 Melek onlara, “Korkmayın!” dedi. “Size, bütün halkı çok sevindirecek bir haber müjdeliyorum: Bugün size, Davut'un kentinde bir Kurtarıcı doğdu. Bu, Rab olan Mesih'tir.
Ndipo malaika akwaambia, “Msiogope, kwasababu nawaletea habari njema ambayo italeta furaha kuu kwa watu wote.
Leo Mwokozi kazaliwa kwaajili yenu mjini mwa Daudi! Yeye ndiye Kristo Bwana!
12 İşte size bir işaret: Kundağa sarılmış ve yemlikte yatan bir bebek bulacaksınız.”
Hii ndiyo ishara ambayo mtapewa, mtamkuta mtoto amefungwa nguo na amelala kwenye hori la kulishia wanyama.”
13 Birdenbire meleğin yanında, göksel ordulardan oluşan büyük bir topluluk belirdi. Tanrı'yı överek, “En yücelerde Tanrı'ya yücelik olsun, Yeryüzünde O'nun hoşnut kaldığı insanlara Esenlik olsun!” dediler.
Ghafla kukawa na jeshi kubwa la mbinguni likaungana na malaika huyo wakamsifu Mungu, wakisema,
“Utukufu kwa Mungu aliye juu sana, na amani iwe duniani kwa wote ambao anapendezwa nao.”
15 Melekler yanlarından ayrılıp göğe çekildikten sonra çobanlar birbirlerine, “Haydi, Beytlehem'e gidelim, Rab'bin bize bildirdiği bu olayı görelim” dediler.
Ikawa kwamba malaika walipokwisha kuondoka kwenda mbinguni, wachungaji wakasemezena wao kwa wao, “Twendeni sasa kule Bethlehemu, na tukaone hiki kitu ambacho kimetokea, ambacho Bwana ametufahamisha.”
16 Aceleyle gidip Meryem'le Yusuf'u ve yemlikte yatan bebeği buldular.
Wakaharakisha kule, na wakamkuta Mariamu na Yusufu, na wakamuona mtoto amelala kwenye hori la kulishia wanyama.
17 Onları görünce, çocukla ilgili kendilerine anlatılanları bildirdiler.
Na walipoona hivi, wakawajulisha watu kile walichokuwa wameambiwa kumhusu mtoto.
18 Bunu duyanların hepsi, çobanların söylediklerine şaşıp kaldılar.
Wote waliosikia habari hii wakashangazwa na kile kilichosemwa na wachungaji.
19 Meryem ise bütün bu sözleri derin derin düşünerek yüreğinde saklıyordu.
Lakini Mariamu akaendelea kufikiri kuhusu yote aliyokwisha kuyasikia, akiyatunza moyoni mwake.
20 Çobanlar, işitip gördüklerinin tümü için Tanrı'yı yüceltip överek geri döndüler. Her şeyi, kendilerine anlatıldığı gibi bulmuşlardı.
Wachungaji wakarudi wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya kila kitu walichokwisha sikia na kuona, kama tu ilivyokuwa imenenwa kwao.
21 Sekizinci gün, çocuğu sünnet etme zamanı gelince, O'na İsa adı verildi. Bu, O'nun anne rahmine düşmesinden önce meleğin kendisine verdiği isimdi.
Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni.
22 Musa'nın Yasası'na göre arınma günlerinin bitiminde Yusuf'la Meryem çocuğu Rab'be adamak için Yeruşalim'e götürdüler.
zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana.
23 Nitekim Rab'bin Yasası'nda, “İlk doğan her erkek çocuk Rab'be adanmış sayılacak” diye yazılmıştır.
Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, “Kila mwanaume anayefungua tumbo ataitwa aliyetolewa wakfu kwa Bwana.”
24 Ayrıca Rab'bin Yasası'nda buyrulduğu gibi, kurban olarak “bir çift kumru ya da iki güvercin yavrusu” sunacaklardı.
Wao vilevile walikuja kutoa sadaka kulingana na kile kinachosemwa katika sheria ya Bwana, “Jozi ya njiwa au makinda mawili ya njiwa.”
25 O sırada Yeruşalim'de Şimon adında bir adam vardı. Doğru ve dindar biriydi. İsrail'in avutulmasını özlemle bekliyordu. Kutsal Ruh onun üzerindeydi.
Tazama, palikuwa na mtu katika Yerusalemu ambaye jina lake alikuwa akiitwa Simeoni. mtu huyu alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Yeye alikuwa akisubiri kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
26 Rab'bin Mesihi'ni görmeden ölmeyeceği Kutsal Ruh aracılığıyla kendisine bildirilmişti.
Ilikuwa imekwisha funuliwa kwake kupitia Roho Mtakatifu kwamba yeye hangelikufa kabla ya kuwomwona Kristo wa Bwana.
27 Böylece Şimon, Ruh'un yönlendirmesiyle tapınağa geldi. Küçük İsa'nın annesi babası, Kutsal Yasa'nın ilgili kuralını yerine getirmek üzere O'nu içeri getirdiklerinde, Şimon O'nu kucağına aldı, Tanrı'yı överek şöyle dedi:
Siku moja alikuja ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi walimleta mtoto, Yesu, kumfanyia yale yaliyopasa kawaida ya sheria,
ndipo Simeoni alimpokea mikononi mwake, na akamsifu Mungu na kusema,
29 “Ey Rabbim, verdiğin sözü tuttun; Artık ben, kulun huzur içinde ölebilirim.
“Sasa ruhusu mtumishi wako aende kwa amani Bwana, kulingana na Neno lako.
30 Çünkü senin sağladığın, Bütün halkların gözü önünde hazırladığın kurtuluşu, Ulusları aydınlatıp Halkın İsrail'e yücelik kazandıracak ışığı Gözlerimle gördüm.”
Kwa kuwa macho yangu yameuona wakovu wako,
ambao umeonekana kwa macho ya watu wote.
Yeye ni nuru kwa ajili ya ufunuo kwa Wamataifa na utukufu wa watu Israeli.”
33 İsa'nın annesiyle babası, O'nun hakkında söylenenlere şaştılar.
Baba na Mama wa mtoto walishangazwa kwa mambo ambayo yalizungumzwa juu yake.
34 Şimon onları kutsayıp çocuğun annesi Meryem'e şöyle dedi: “Bu çocuk, İsrail'de birçok kişinin düşmesine ya da yükselmesine yol açmak ve aleyhinde konuşulacak bir belirti olmak üzere belirlenmiştir.
Ndipo Simeoni akawabariki na akasema kwa Mariamu mama yake, “Sikiliza kwa makini! Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli na ni ishara ambayo watu wengi wataipinga.
35 Senin kalbine de adeta bir kılıç saplanacak. Bütün bunlar, birçoklarının yüreğindeki düşüncelerin açığa çıkması için olacak.”
Pia ni upanga utakaochoma nafsi yako mwenyewe, ili kwamba mawazo ya mioyo ya wengi yadhihirike”.
36 Anna adında çok yaşlı bir kadın peygamber vardı. Aşer oymağından Fanuel'in kızıydı. Genç kız olarak evlenip kocasıyla yedi yıl yaşadıktan sonra dul kalmıştı. Şimdi seksen dört yaşındaydı. Tapınaktan ayrılmaz, oruç tutup dua ederek gece gündüz Tanrı'ya tapınırdı.
Nabii mwanamke aliyeitwa Ana pia alikuwako hekaluni. Yeye alikuwa binti wa Fanueli kutoka kabila la Asheri. Alikuwa na miaka mingi sana. Naye aliishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuoana,
na ndipo akawa mjane kwa miaka themanini na minne. Naye hakuwahi kuondoka hekaluni na alikuwa akiendelea kumwabudu Mungu pamoja na kufunga na kuomba, usiku na mchana.
38 Tam o sırada ortaya çıkan Anna, Tanrı'ya şükrederek Yeruşalim'in kurtuluşunu bekleyen herkese İsa'dan söz etmeye başladı.
Na kwa wakati huo, alikuja pale walipo akaanza kumshukuru Mungu. Aliongea kumhusu mtoto kwa kila mtu ambaye alikuwa akisubiri ukombozi wa Yerusalemu.
39 Yusuf'la Meryem, Rab'bin Yasası'nda öngörülen her şeyi yerine getirdikten sonra Celile'ye, kendi kentleri Nasıra'ya döndüler.
Walipomaliza kila kitu walichotakiwa kufanya kuligana na na sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, mjini kwao, Nazareti.
40 Çocuk büyüyor, güçleniyor ve bilgelikte yetkinleşiyordu. Tanrı'nın lütfu O'nun üzerindeydi.
Mtoto alikua, na akawa na nguvu, akiongezeka katika hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
41 İsa'nın annesi babası her yıl Fısıh Bayramı'nda Yeruşalim'e giderlerdi.
Wazazi wake kila mwaka walikwenda Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ya Pasaka.
42 İsa on iki yaşına gelince, bayram geleneğine uyarak yine gittiler.
Alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda tena wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
43 Bayramdan sonra eve dönerlerken küçük İsa Yeruşalim'de kaldı. Bunu farketmeyen annesiyle babası, çocuğun yol arkadaşlarıyla birlikte olduğunu sanarak bir günlük yol gittiler. Sonra O'nu akrabalar ve dostlar arasında aramaya başladılar.
Baada ya kubaki siku zote kwa ajili ya sikukuu, walianza kurudi nyumbani. Lakini mvulana Yesu alibaki nyuma mle Yerusalemu na wazazi wake hawakujua hili.
Walidhani kwamba yumo kwenye kundi walilokuwa wakisafiri nalo, hivyo walisafiri safari ya siku. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni wa ndugu na marafiki zao.
45 Bulamayınca O'nu araya araya Yeruşalim'e döndüler.
Waliposhindwa kumpata, walirudi Yerusalemu na wakaanza kumtafuta humo.
46 Üç gün sonra O'nu tapınakta buldular. Din öğretmenleri arasında oturmuş, onları dinliyor, sorular soruyordu.
Ikatokea kwamba baada ya siku tatu, wakampata hekaluni, akiwa ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47 O'nu dinleyen herkes, zekâsına ve verdiği yanıtlara hayran kalıyordu.
Wote waliomsikia walishangazwa na ufahamu wake na majibu yake.
48 Annesiyle babası O'nu görünce şaşırdılar. Annesi, “Çocuğum, bize bunu niçin yaptın? Bak, babanla ben büyük kaygı içinde seni arayıp durduk” dedi.
Walipomwona, walistaajabu. Mama yake akamwambia, “Mwanangu, kwa nini umetutendea hivi? Sikiliza, baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa.”
49 O da onlara, “Beni niçin arayıp durdunuz?” dedi. “Babam'ın evinde bulunmam gerektiğini bilmiyor muydunuz?”
Akawaambia, “Kwa nini mmekuwa mkinitafuta? Hamkujua kwamba lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu?
50 Ne var ki onlar ne demek istediğini anlamadılar.
Lakini hawakuelewa nini alichomaanisha kwa maneno hayo.
51 İsa onlarla birlikte yola çıkıp Nasıra'ya döndü. Onların sözünü dinlerdi. Annesi bütün bu olup bitenleri yüreğinde sakladı.
Ndipo akaenda pamoja nao mpaka nyumbani Nazareti na alikuwa mtii kwao. Mama yake alihifadhi mambo yote moyoni mwake.
52 İsa bilgelikte ve boyda gelişiyor, Tanrı'nın ve insanların beğenisini kazanıyordu.
Lakini Yesu aliendelea kukua katika hekima na kimo, na akazidi kupendwa na Mungu na watu.

< Luka 2 >