< Levililer 23 >

1 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Yahweh akamwambia Musa:
2 “İsrail halkına de ki, ‘Kutsal toplantılar olarak ilan edeceğiniz bayramlarım, RAB'bin bayramları şunlardır:’”
“Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
3 “‘Altı gün çalışacaksınız. Ama yedinci gün olan Şabat dinlenme ve kutsal toplantı günüdür. Hiçbir iş yapmayacaksınız. Yaşadığınız her yerde Şabat'ı RAB'be ayıracaksınız.’”
Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
4 “‘Belirli zamanlarda kutsal toplantılar olarak ilan edeceğiniz RAB'bin bayramları şunlardır:
Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
5 Birinci ayın on dördüncü günü akşamüstü RAB'bin Fısıh Bayramı başlar.
Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
6 On beşinci gün RAB'bin Mayasız Ekmek Bayramı'dır. Yedi gün mayasız ekmek yiyeceksiniz.
Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
7 İlk gün kutsal toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız.
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
8 Yedi gün RAB için yakılan sunu sunacaksınız. Yedinci gün kutsal toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız.’”
Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
9 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
10 “İsrail halkına de ki, ‘Size vereceğim ülkeye girip ürününü biçtiğiniz zaman, ilk yetişen ürününüzden bir demet kâhine götüreceksiniz.
“Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
11 Kabul edilmeniz için, kâhin demeti RAB'bin huzurunda sallayacak. Demet Şabat'tan sonraki gün sallanacak.
Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
12 Demetin sallandığı gün, yakmalık sunu olarak RAB'be bir yaşında kusursuz bir erkek kuzu sunacaksınız.
Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
13 Kuzuyla birlikte tahıl sunusu olarak yağla yoğrulmuş bir efa ince unun onda ikisi sunulacak. RAB için yakılan sunu ve O'nu hoşnut eden koku olacak bu. Yakmalık sunuyla birlikte dökmelik sunu olarak bir hin şarabın dörtte birini sunacaksınız.
Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
14 Tanrınız'a bu sunuyu getireceğiniz güne kadar ekmek, kavrulmuş buğday, taze başak yemeyeceksiniz. Yaşadığınız her yerde kuşaklar boyunca sürekli bir yasa olacak bu.’”
Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
15 “‘Şabat'tan sonraki gün sallamalık demeti götürdüğünüz günden başlayarak tam yedi hafta sayın.
Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
16 Yedinci Şabat'tan sonraki güne kadar elli gün sayın: O gün RAB'be yeni tahıl sunusu sunacaksınız.
Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
17 Yaşadığınız yerden RAB'be sallamalık sunu olarak iki ekmek getirin. Ekmekler ilk ürünlerden, onda iki efa ince undan yapılacak. Mayayla pişirilip RAB'be öyle sunulacak.
Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
18 Ekmekle birlikte yakmalık sunu olarak RAB'be bir yaşında kusursuz yedi kuzu, bir boğa ve iki koç sunacaksınız. Tahıl sunusu ve dökmelik sunuyla sunulan bu sunu, yakılan sunu ve RAB'bi hoşnut eden kokudur.
Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
19 Günah sunusu olarak bir teke, esenlik kurbanı olarak bir yaşında iki kuzu sunacaksınız.
Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
20 Kâhin iki kuzuyu ilk üründen yapılmış ekmekle birlikte sallamalık sunu olarak RAB'bin huzurunda sallayacak. RAB için kutsal olan bu sunular kâhinindir.
Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
21 O gün kutsal toplantı ilan edecek ve gündelik işlerinizi yapmayacaksınız. Yaşadığınız her yerde kuşaklar boyunca sürekli bir yasa olacak bu.
Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
22 “‘Ülkenizdeki ekinleri biçerken tarlalarınızı sınırlarına kadar biçmeyin. Artakalan başakları toplamayın. Onları yoksullara ve yabancılara bırakacaksınız. Tanrınız RAB benim.’”
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
23 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
24 “İsrail halkına de ki, ‘Yedinci ayın birinci günü dinlenme günüdür, boru çalınarak anma ve kutsal toplantı günü olacaktır.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
25 O gün gündelik işlerinizi yapmayacak, RAB için yakılan sunu sunacaksınız.’”
Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
26 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
27 “Yedinci ayın onuncu günü günahların bağışlanma günüdür. Kutsal bir toplantı düzenleyeceksiniz. İsteklerinizi denetleyecek, RAB için yakılan sunu sunacaksınız.
“Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
28 O gün hiç iş yapmayacaksınız. Çünkü Tanrınız RAB'bin huzurunda günahlarınızı bağışlatacağınız bağışlanma günüdür.
Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
29 O gün isteklerini denetlemeyen herkes halkın arasından atılacaktır.
Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
30 O gün herhangi bir iş yapanı halkın arasından yok edeceğim.
Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
31 Hiç iş yapmayacaksınız. Yaşadığınız her yerde kuşaklar boyunca sürekli yasa olacak bu.
Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
32 O gün sizin için Şabat, dinlenme günü olacak. İsteklerinizi denetleyeceksiniz. Ayın dokuzuncu günü, akşamdan ertesi akşama kadar Şabat'ı kutlayacaksınız.”
Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
33 RAB Musa'ya şöyle dedi:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
34 “İsrail halkına de ki, ‘Yedinci ayın on beşinci günü Çardak Bayramı başlar. Bu bayramı RAB'bin onuruna yedi gün kutlayacaksınız.
“Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
35 İlk gün kutsal bir toplantı düzenleyecek, gündelik işlerinizi yapmayacaksınız.
Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
36 Yedi gün RAB için yakılan sunu sunacaksınız. Sekizinci gün kutsal bir toplantı düzenlemeli, RAB için yakılan sunu sunmalısınız. Bu bayramın son toplantısıdır. Gündelik işlerinizi yapmayacaksınız.
Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
37 –“‘Kutsal toplantılar olarak ilan edeceğiniz RAB'bin bayramları bunlardır. Bayramlarda RAB için yakılan sunuyu, yakmalık sunuyu, tahıl sunusunu, kurbanı, dökmelik sunuları günün gereğine uygun biçimde sunacaksınız.
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
38 Bunlar RAB'bin kutlamanızı istediği Şabat günlerinin, RAB'be sunduğunuz armağanların, bütün dilek adaklarının ve gönülden verilen sunuların dışındadır.–
Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
39 “‘Yedinci ayın on beşinci günü, topraklarınızın ürünlerini devşirdiğiniz zaman RAB için yedi gün bayram yapacaksınız. Birinci ve sekizinci gün dinlenme günleri olacak.
Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
40 İlk gün meyve ağaçlarının güzel meyvelerini, hurma dallarını, sık yapraklı ağaç dallarını, vadi kavaklarını toplayıp Tanrınız RAB'bin önünde yedi gün şenlik yapacaksınız.
Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
41 Bunu her yıl yedi gün RAB'bin bayramı olarak kutlayacaksınız. Kuşaklar boyunca sürekli bir yasa olacak bu. Bayramı yedinci ay kutlayacaksınız.
Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
42 Yedi gün çardaklarda kalacaksınız. Bütün yerli İsrailliler çardaklarda yaşayacak.
Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
43 Öyle ki, gelecek kuşaklar İsrail halkını Mısır'dan çıkardığım zaman çardaklarda barındırdığımı bilsinler. Tanrınız RAB benim.’”
ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
44 Böylece Musa İsrail halkına RAB'bin bayramlarını bildirdi.
Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.

< Levililer 23 >