< Ağitlar 4 >

1 Altın nasıl donuklaştı, Saf altın nasıl değişti! Kutsal taşlar sokak başlarına dağılmış.
Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
2 Değerleri saf altınla ölçülen Siyon çocukları Nasıl çömlekçi işi, toprak testi yerine sayılır oldu!
Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
3 Çakallar bile meme verip yavrularını emzirir, Ama halkım çöldeki devekuşları kadar acımasız oldu.
Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
4 Susuzluktan emzikteki bebeklerin dili damağına yapışıyor, Çocuklar ekmek istiyor, veren yok.
Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
5 Onlar ki, yemeğin en iyisini yerlerdi, Sokaklarda perişan oldular; Onlar ki, al giysiler içinde büyüdüler, Çöp yığınlarını kapışır oldular.
Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
6 Halkımın suçu el değmeden, bir anda yıkılan Sodom'un günahından daha büyüktür.
Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
7 Beyleri kardan temiz, sütten aktılar, Bedence mercandan kızıl, laciverttaşı kadar biçimliydiler.
Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
8 Şimdiyse görünüşleri kömürden kara, Sokaklarda tanınmaz oldular. Bir deri bir kemiğe döndüler, odun gibi kurudular.
Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
9 Kılıçla öldürülenler kıtlıktan ölenlerden mutludur, Çünkü kıtlıktan ölenler tarla ürününün yokluğundan yıpranarak erimekteler.
Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
10 Merhametli kadınlar çocuklarını elleriyle pişirdiler, Halkım kırılırken yiyecek oldu bu kendilerine.
Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
11 RAB öfkesini boşalttı, kızgın öfkesini döktü, Temellerini yiyip bitiren ateşi Siyon'un içinde tutuşturdu.
Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
12 Dünyadaki kralların ve insanların hiçbiri Yeruşalim kapılarından hasımların, düşmanların gireceğine inanmazdı.
Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
13 Peygamberlerinin günahı, kâhinlerinin suçu yüzündendi bu, Çünkü onlar kentin ortasında doğruların kanını döktüler.
Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
14 Sokaklarda körler gibi dolaşıyorlar, Kanla kirlendikleri için kimse giysilerine dokunamıyor.
Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
15 “Çekilin! Kirliler!” diye bağırdılar onlara, “Çekilin! Çekilin! Dokunmayın!” Kaçıp başıboş dolaştıklarında, Öteki uluslar, “Artık burada kalmasınlar” dediler.
“Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
16 RAB kendisi dağıttı onları, Artık yüzlerine bakmayacak. Kâhinleri saymadılar, yaşlılara acımadılar.
Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
17 Boş yere yardım beklemekten gözlerimizin feri sönüyor, Gözetleme kulesinde bizi kurtaramayacak bir ulusu bekledikçe bekledik.
Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
18 İzlerimizi sürüyorlar, Sokaklarımızda gezemez olduk. Sonumuz yaklaştı, günlerimiz tükendi, Çünkü sonumuz geldi.
Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
19 Bizi kovalayanlar gökteki kartallardan çevikti, Dağların üstünde kovaladılar bizi, Çölde bize pusu kurdular.
Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
20 Yaşam soluğumuz, RAB'bin meshettiği kral onların çukurunda yakalandı; Hani onun için, “Ulusların arasında onun gölgesinde yaşayacağız” dediğimiz.
Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
21 Ûs ülkesinde yaşayan Edom kızı, sevin, coş, Ancak kâse sana da gelecek, sarhoş olup soyunacaksın.
Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
22 Ey Siyon kızı, suçunun cezası sona erdi, RAB bir daha seni sürgüne göndermeyecek. Ama, ey Edom kızı, suçun yüzünden seni cezalandırıp günahlarını ortaya çıkaracak.
Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.

< Ağitlar 4 >