< Hâkimler 20 >

1 Gilat başta olmak üzere Dan'dan Beer-Şeva'ya kadar, bütün İsrail halkı yola çıkıp Mispa'da, RAB'bin önünde tek beden gibi toplandı.
Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
2 Tanrı halkı İsrail'in bütün oymak önderleri bu toplantıda hazır bulundular. Eli kılıç tutan dört yüz bin yayaydılar.
Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
3 –Bu arada Benyaminoğulları İsrailliler'in Mispa'da toplandığını duydular.– İsrailliler, “Anlatın bize, bu korkunç olay nasıl oldu?” diye sordular.
Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
4 Öldürülen kadının Levili kocası şöyle yanıtladı: “Cariyemle birlikte geceyi geçirmek üzere Benyamin bölgesinin Giva Kenti'ne girdik.
Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
5 Giva'dan bazı adamlar gece beni öldürmeyi tasarlayarak gelip evi kuşattılar. Cariyemin ırzına geçtiler, ölümüne neden oldular.
Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
6 Onun ölüsünü alıp parçaladım, her bir parçasını İsrail'in mülk aldığı bir bölgeye gönderdim. Çünkü bu alçakça rezalet İsrail'de işlendi.
Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
7 Ey İsrailliler! İşte hepiniz buradasınız. Düşünceniz, kararınız nedir, söyleyin.”
Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
8 Oradakilerin hepsi ağız birliği etmişçesine, “Bizden hiç kimse çadırına gitmeyecek, evine dönmeyecek” dediler,
Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
9 “Yapacağımız şu: Giva'ya kura ile saldıracağız.
Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
10 Halka yiyecek sağlamak için bütün İsrail oymaklarından nüfuslarına göre, her yüz kişiden on, bin kişiden yüz, on bin kişiden bin kişi seçeceğiz. Bunlar Benyamin'in Giva Kenti'ne geldiklerinde kentlilerden İsrail'de yaptıkları bu alçaklığın öcünü alsınlar.”
Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
11 Giva'ya karşı toplanmış olan İsrailliler tam bir birlik içindeydi.
Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
12 İsrail oymakları, Benyamin oymağına adamlar göndererek, “Aranızda yapılan bu alçaklık nedir?” diye sordular,
Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
13 “Giva'daki o serserileri bize hemen teslim edin. Onları öldürüp İsrail'deki kötülüğün kökünü kazıyalım.” Ama Benyaminoğulları İsrailli kardeşlerini dinlemediler.
Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
14 İsrailliler'le savaşmak üzere öbür kentlerden akın akın Giva'ya geldiler.
Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
15 Giva halkından olan yedi yüz seçme adam dışında, öbür kentlerden gelen ve eli kılıç tutan Benyaminoğulları'nın sayısı o gün yirmi altı bini buldu.
Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
16 Solak olan yedi yüz seçme adam da bunların arasındaydı. Hepsi de bir kılı sapanla vuracak kadar iyi nişancıydı.
Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
17 Benyaminoğulları'nın yanısıra İsrailliler de sayıldı. Eli kılıç tutan dört yüz bin askerleri vardı. Hepsi de yaman savaşçılardı.
Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
18 Beytel'e çıkan İsrailliler Tanrı'ya, “Benyaminoğulları'na karşı önce hangimiz savaşacak?” diye sordular. RAB, “Önce Yahudaoğulları savaşacak” dedi.
Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
19 İsrailliler sabah kalkıp Giva'nın karşısında ordugah kurdular.
Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
20 Benyaminoğulları'yla savaşmak üzere ilerleyip Giva'da savaş düzenine girdiler.
Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
21 Giva'dan çıkan Benyaminoğulları, o gün İsrailliler'den yirmi iki bin kişiyi yere serdiler.
Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
22 Ama İsrailliler birbirlerini yüreklendirerek önceki gün savaş düzenine girdikleri yerde mevzilendiler.
Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
23 Sonra Beytel'de RAB'bin önünde akşama dek ağladılar. RAB'be, “Kardeşlerimiz olan Benyaminoğulları'yla yine savaşmaya çıkalım mı?” diye sordular. RAB, “Evet, onlarla savaşın” dedi.
Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
24 Bunun üzerine İsrailliler ikinci gün yine Benyaminoğulları'na yaklaştılar.
Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
25 Benyaminoğulları da aynı gün Giva'dan onların üzerine yürüyerek on sekiz bin kişiyi daha yere serdiler. Ölenlerin hepsi eli kılıç tutan savaşçılardı.
Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
26 Bütün İsrailliler, bütün halk çekilip Beytel'e döndü. Orada, RAB'bin önünde durup ağladılar, o gün akşama dek oruç tuttular. RAB'be yakmalık sunular ve esenlik sunuları sundular.
Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
27 Tanrı'nın Antlaşma Sandığı o sırada Beytel'deydi. Harun oğlu Elazar oğlu Pinehas o sırada sandığın önünde görev yapıyordu. İsrailliler RAB'be, “Kardeşimiz Benyaminoğulları'yla savaşmaya devam edelim mi, yoksa vaz mı geçelim?” diye sordular. RAB, “Savaşın” dedi, “Çünkü onları yarın elinize teslim edeceğim.”
Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
29 İsrailliler dört bir yandan Giva'nın çevresinde pusuya yattılar.
Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
30 Üçüncü gün Benyaminoğulları'na karşı harekete geçerek önceki gibi kentin karşısında savaş düzenine girdiler.
Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
31 Saldırıya geçen Benyaminoğulları kentten epey uzaklaştılar. Beytel'e ve Giva'ya giden ana yollarda, kırlarda önceki çarpışmalarda olduğu gibi İsrailliler'e kayıplar verdirmeye başladılar; otuz kadarını öldürdüler.
Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
32 “Geçen seferki gibi onları yine bozguna uğratıyoruz” dediler. İsrailliler ise birbirlerine, “Kaçalım da onları kentten uzağa, ana yollara çekelim” diyerek bulundukları yerden çıkıp Baal-Tamar'da savaş düzenine girdiler. Giva'nın batısında pusuya yatanlar da birden yerlerinden fırladı.
Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
34 Böylece bütün İsrail'den seçme on bin kişi Giva'ya cepheden saldırdı. Savaş iyice kızışmıştı. Benyaminoğulları başlarına gelecek felaketten habersizdi.
Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
35 RAB onları İsrail'in önünde bozguna uğrattı. İsrailliler o gün Benyaminoğulları'ndan eli kılıç tutan yirmi beş bin yüz kişiyi öldürdüler.
Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
36 Benyaminoğulları yenildiklerini anladılar. İsrailliler onların geçmesine izin verdiler; çünkü Giva çevresinde pusuda yatanlara güveniyorlardı.
Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
37 Pusudakiler ansızın Giva'ya saldırdılar. Bütün kente dağılarak halkı kılıçtan geçirdiler.
Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
38 Pusuya yatanlarla öbür İsrailliler arasında bir işaret kararlaştırılmıştı: Kenti ateşe verip büyük bir duman bulutu oluşturacaklardı.
Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
39 O zaman savaş alanındaki İsrailliler birden geri dönecekti. Bu arada Benyaminoğulları İsrailliler'e kayıplar verdirmeye başlamış, otuz kadarını vurmuşlardı. Daha önceki savaşta olduğu gibi, İsrailliler'i kesin bir bozguna uğrattıklarını sandılar.
Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
40 Ama dönüp kente baktıklarında orada hortum gibi göğe yükselen duman bulutunu gördüler. Yanan kentin dumanı göğü kaplamıştı.
Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
41 İsrailliler'in döndüğünü gören Benyaminoğulları paniğe kapıldı. Çünkü başlarına gelecek felaketi sezmişlerdi.
Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
42 İsrailliler'in önüsıra kırlara doğru yöneldilerse de savaştan kaçamadılar. Çeşitli kentlerden çıkagelen İsrailliler onları kuşatıp yok etti.
Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
43 Geri kalan Benyaminoğulları'nı kovaladılar. Giva'nın doğusunda konakladıkları yere dek onları yol boyunca vurup yere serdiler.
Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
44 Benyaminoğulları'ndan on sekiz bin kişi vuruldu. Hepsi de yiğit savaşçılardı.
Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
45 Sağ kalanlar dönüp kırlara, Rimmon Kayalığı'na doğru kaçmaya başladı. İsrailliler yol boyunca bunlardan beş bin kişi daha öldürdü. Gidom'a kadar onları adım adım izleyerek iki binini daha vurup yere serdiler.
Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
46 O gün Benyaminoğulları'ndan öldürülenlerin toplam sayısı yirmi beş bin kişiyi buldu. Hepsi de eli kılıç tutan yiğit savaşçılardı.
Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
47 Kırlara kaçıp Rimmon Kayalığı'na sığınanların sayısı altı yüzdü. Kayalıkta dört ay kaldılar.
Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
48 İsrailliler Benyamin kentlerine döndüler; insanları, hayvanları ve oradaki bütün canlıları kılıçtan geçirdiler, rastladıkları bütün kentleri ateşe verdiler.
Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.

< Hâkimler 20 >