< Yeşu 9 >

1 Şeria Irmağı'nın ötesinde, dağlık bölgede, Şefela'da ve Lübnan'a kadar uzanan Akdeniz kıyısındaki bütün krallar –Hitit, Amor, Kenan, Periz, Hiv ve Yevus kralları– olup bitenleri duyunca,
Kisha wafalme wote walioishi ng'ambo ya mto Yordani katika nchi ya milima, na katika nchi za chini katika pwani za Bahari Kuu mbele ya Lebanoni - Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi -
2 Yeşu'ya ve İsrail halkına karşı hep birlikte savaşmak için bir araya geldiler.
hawa waliungana pamoja chini ya amri moja kuinua vita dhidi ya Yoshua na Israeli.
3 Givon halkı ise Yeşu'nun Eriha ve Ay kentlerine yaptıklarını duyunca
Waliposikia wenyeji wa Gibeoni juu ya mambo aliyoyafanya Yoshua katika Yeriko na Ai,
4 hileye başvurdu. Kendilerine elçi süsü vererek eşeklerinin sırtına yıpranmış heybeler, eski, yırtık ve yamalı şarap tulumları yüklediler.
walipanga mpango wa udanganyifu. Walienda kama wajumbe. Walichukua magunia yaliyochakaa na kuyaweka juu ya punda. Walichukua pia viriba vilivyochakaa na kuchanika chanika na vilivyozibwa zibwa.
5 Ayaklarında yıpranmış, yamalı çarıklar, sırtlarında da eski püskü giysiler vardı. Azık torbalarındaki bütün ekmekler kurumuş, küflenmişti.
Walivaa miguuni mwao viatu vilivyozeeka na kutoboka toboka, na walivaa nguo kuukuu, zilichanika chanika. Na mikate yote katika chombo ilikuwa mikavu na yenye uvundo.
6 Adamlar Gilgal'daki ordugaha, Yeşu'nun yanına gittiler. Ona ve İsrail halkına, “Uzak bir ülkeden geldik” dediler, “Bizimle bir barış antlaşması yapmanızı istiyoruz.”
Kisha wakamwendea Yoshua katika kambi huko Giligali na wakamwambia yeye pamoja wa watu wa Israeli wakisema, “
7 Ama İsrailliler Hivliler'e, “Sizinle neden antlaşma yapalım?” diye karşılık verdiler, “Belki de yakınımızda yaşıyorsunuz.”
Tumesafiri kutoka nchi ya mbali, basi fanyeni agano nasi.” Watu wa Israeli wakawaamba Wahivi, “Huenda mnaishi karibu nasi. Twawezeje kufanya agano nanyi?”
8 Givonlular Yeşu'ya, “Biz senin kullarınız” dediler. Yeşu, “Kimsiniz, nereden geliyorsunuz?” diye sordu.
Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.”Yoshua akawauliza, “Ninyi ni akina nani? Mnatokea wapi?
9 Onlar da, “Çok uzak bir ülkeden kalkıp geldik” dediler. “Çünkü Tanrın RAB'bin ününü duyduk. Tanrın'la ilgili haberleri, Mısır'da yaptığı her şeyi,
Wakamwambia, “Watumishi wako wamekuja hapa kutokea nchi ya mbali, kwasababu ya jina la Yahweh Mungu wako. Tumesikia habari kumhusu na kuhusu kila kitu alichokifanya Misri -
10 Şeria Irmağı'nın ötesindeki Amorlu iki krala, Heşbon Kralı Sihon'a ve Aştarot'ta egemenlik süren Başan Kralı Og'a neler yaptığını da duyduk.
na kila kitu alichokifanya kwa wafalme wawili wa Waamori katika upande mwingine wa Yordani - kwa mfalme Sihoni wa Heshiboni, na kwa Ogu wa Bashani aliyekuwa katika Ashitarothi.
11 Bunun üzerine önderlerimiz ve ülkemizin bütün halkı bize şöyle dediler: ‘Onları karşılamak için yanınıza yiyecek alıp yola çıkın ve onlara, biz sizin kullarınızız; bunun için bizimle bir barış antlaşması yapmanızı istiyoruz deyin.’
Wazee wetu na wenyeji wote wa nchi yetu walituambia,” Chukueni chakula mikononi mwenu kwa ajili ya safari. Nendeni mkakutane nao, na kisha muwambie, “Sisi ni watumishi wenu. Fanyeni agano pamoja nasi.”
12 Size gelmek için yola çıktığımız gün azık olarak evden aldığımız şu ekmekler sıcacıktı. Bakın şimdi, kurumuş, küflenmişler.
Huu ni mkate wetu, ulikuwa wa moto tulipouchukua kutoka katika nyumba zetu katika siku ile tulipotoka kuja kwenu. Lakini sasa, tazama, imekuwa kavu na yenye ukungu.
13 Şarap doldurduğumuz şu tulumlar yeniydi, bakın nasıl sıyrılıp yırtılmış. Bunca yol geldiğimiz için giysilerimiz ve çarıklarımız yıprandı.”
Viriba hivi vilikuwa vipya tulipovijaza, na tazama, sasa vinavuja. Nguo zetu na viatu vyetu vimechakaa na kuwa vikuukuu kwasababu ya safari ndefu.”
14 İsrailliler, RAB'be danışmadan Givonlular'ın sunduğu yiyecekleri aldılar.
kwahiyo, Waisraeli wakatwaa sehemu ya vyakula vyao, lakini walifanya hivyo bila ya kumwuliza Yahweh ili awaongoze.
15 Yeşu da onları sağ bırakacağına söz verip onlarla bir barış antlaşması yaptı. Topluluğun önderleri de antlaşmaya bağlı kalacaklarına ant içtiler.
Yoshua akafanya amani pamoja nao na kufanya agano pamoja nao ili waishi. Viongozi wa watu nao pia wakawaapia.
16 Ne var ki, antlaşmadan üç gün sonra Givonlular'ın yakında, komşu topraklarda yaşadıklarını öğrendiler.
Siku tatu baada ya Waisraeli kufanya agano pamoja nao, waligundua kuwa walikuwa ni majirani zao na ya kwamba waliishi karibu nao.
17 Bunun üzerine yola çıkıp üç gün sonra onların kentlerine vardılar. Bu kentler Givon, Kefira, Beerot ve Kiryat-Yearim'di.
Kisha watu wa Israeli walisafiri na kufika katika miji yao katika siku ya tatu. Miji yao ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beerothi, na Kiriathi Yearimu.
18 Ancak İsrailliler bunlara dokunmadılar. Çünkü topluluğun önderleri, İsrail'in Tanrısı RAB adına ant içmişlerdi. Bu yüzden topluluk önderlere karşı söylenmeye başladı.
Watu wa Israeli wahakushambulia kwasababu viongozi wao walikuwa wamewaapia mbele za Yahweh, Mungu wa Israeli. Waisraeli wote walikuwa wananung'unika kinyume na viongozi wao.
19 Önderler ise, “Biz İsrail'in Tanrısı RAB adına ant içtik; bu yüzden onlara el süremeyiz” diye karşılık verdiler,
Lakini viongozi wote waliawaambia watu wote wa Israeli, “Tumeapa kwa Yahweh, Mungu wa Israeli kwa ajili yao, na sasa hatuwezi kuwadhuru.
20 “Ant içtiğimiz için onları sağ bırakacağız; yoksa Tanrı'nın gazabına uğrarız.”
Hiki ndicho tutakachowafanyia: Tutawaacha waishi ili tuepuke ghadhabu ambayo yaweza kuja juu yetu kwasababu ya kiapo tulichowaapia.”
21 Sonra halka, “Onları sağ bırakalım” dediler, “Ama bütün topluluk için odun kesip su çekmekle görevlendirilsinler.” Böylece önderler vermiş oldukları sözü tuttular.
Viongozi wakawaambia watu, “Waacheni waishi.” Hivyo Wagibeoni wakawa wakata kuni na wachota maji wa Waisraeli wote, kama vile viongozi walivyosema juu yao.
22 Ardından Yeşu Givonlular'ı çağırıp, “Yakınımızda yaşadığınız halde neden çok uzaktan geldiğinizi söyleyip bizi aldattınız?” dedi,
Yoshua aliwaita na kuwaambia, “Kwanini mlitudanya wakati mliposema, “Tuko mbali sana nanyi' wakati mnaishi hapa hapa miongoni mwetu?
23 “Bunun için artık lanetlisiniz. Hep köle kalacaksınız. Tanrım'ın Tapınağı için odun kesip su çekeceksiniz.”
Na kwasababu hii, mmelaaniwa na baadhi yenu mtakuwa watumwa siku zote, wenye kukata kuni na kuchota maji kwa ajli ya nyumba ya Mungu wangu.”
24 Givonlular, “Efendimiz, Tanrın RAB'bin kulu Musa'ya verdiği buyruğu duyduk” diye karşılık verdiler, “Musa'ya bütün ülkeyi size vermesini, ülkede yaşayanların hepsini yok etmenizi buyurduğunu duyduk. Sizden çok korktuk, can korkusuyla böyle davrandık.
Walimjibu Yoshua na kusema, “Ni kwasababu watumishi wako waliambiwa kwamba Yahweh Mungu wenu alimwagiza Musa mtumishi wake kuwapa ninyi nchi yote, na kuwateteza wenyeji wote wa nchi mbele yenu - hivyo tuliogopa kwasababu yenu kwa ajili ya maisha yetu. Ndio maana tulifanya jambo hili.
25 Şimdi senin elindeyiz. Sana göre adil ve doğru olanı yap.”
Tazama sasa, mnatumiliki chini ya utawala wenu. Chochote kilichochema na haki kwenu kutufanyia, fanyeni.”
26 Bunun üzerine Yeşu onları İsrailliler'in elinden kurtardı, öldürülmelerine izin vermedi.
Basi Yoshua aliwafanyia hivi: aliwaondoa katika mamlaka ya watu wa Israeli, na Waisraeli hawakuwaua.
27 O gün onları topluluk için ve gelecekte RAB'bin seçeceği yerde yapılacak RAB'bin sunağı için odun kesip su çekmekle görevlendirdi. Bugün de bu işi yapıyorlar.
Siku hiyo Yoshua aliwafanya Wagibeoni kuwa wakata kuni na wachotaji wa maji kwa jamii, na kwa madhabahu ya Yahweh hadi leo katika sehemu ambayo Yahweh huichagua.

< Yeşu 9 >