< Yeşu 18 >
1 Ülkenin denetimini eline geçiren İsrail topluluğu Şilo'da bir araya geldi. Orada Buluşma Çadırı'nı kurdular.
Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
2 Ne var ki, mülkten henüz paylarını almamış yedi İsrail oymağı vardı.
Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
3 Yeşu İsrailliler'e, “Bu uyuşukluğu üzerinizden ne zaman atacaksınız, atalarınızın Tanrısı RAB'bin size verdiği toprakları ele geçirmek için daha ne kadar bekleyeceksiniz?” dedi.
Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
4 “Her oymaktan üçer adam seçin. Onları, ülkeyi incelemeye göndereceğim. Mülk edinecekleri yerlerin sınırlarını belirleyip kayda geçirerek yanıma dönsünler.
Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
5 Bu toprakları yedi bölgeye ayırsınlar. Yahuda güney bölgesinde, Yusufoğulları kuzey bölgesinde kalsın.
Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
6 Yedi bölgeyi belirleyip kayda geçirdikten sonra, sonucu bana getirin. Burada, Tanrımız RAB'bin önünde aranızda kura çekeceğim.
Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
7 Levililer'e gelince, onların aranızda payı yoktur; mirasları RAB için kâhinlik yapmaktır. Gad ve Ruben oymaklarıyla Manaşşe oymağının yarısı ise RAB'bin kulu Musa'nın Şeria Irmağı'nın doğusunda kendilerine verdiği mülkü almış bulunuyorlar.”
Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
8 Yeşu, toprakları kayda geçirmek için yola çıkmak üzere olan adamlara, “Gidip toprakları inceleyin, kayda geçirip yanıma dönün” diye buyurdu, “Sonra burada, Şilo'da, RAB'bin önünde sizin için kura çekeceğim.”
Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
9 Adamlar yola çıkıp ülkeyi dolaştılar; kent kent, yedi bölge halinde kayda geçirdikten sonra Şilo'da, ordugahta bulunan Yeşu'nun yanına döndüler.
Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
10 Yeşu Şilo'da RAB'bin önünde onlar için kura çekti ve toprakları İsrail oymakları arasında bölüştürdü.
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
11 Boy sayısına göre Benyaminoğulları oymağı için kura çekildi. Paylarına düşen bölge Yahudaoğulları'yla Yusufoğulları'nın toprakları arasında kalıyordu.
Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
12 Topraklarının sınırı kuzeyde Şeria Irmağı'ndan başlıyor, Eriha'nın kuzey sırtlarına doğru yükselerek batıda dağlık bölgeye uzanıyor, Beytaven kırlarında son buluyordu.
Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
13 Sınır oradan Luz'a –Beytel'e– Luz'un güney sırtlarına geçiyor, Aşağı Beythoron'un güneyindeki dağın üzerinde kurulu Atrot-Addar'a iniyor,
Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
14 bölgenin batısında Beythoron'un güneyindeki dağdan güneye dönüyor ve Yahudaoğulları'na ait Kiryat-Baal –Kiryat-Yearim– Kenti'nde son buluyordu. Bu batı tarafıydı.
Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
15 Güney tarafı Kiryat-Yearim'in batı varoşlarından başlıyor, Neftoah sularının kaynağına uzanıyordu.
Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
16 Sınır buradan Refaim Vadisi'nin kuzeyindeki Ben-Hinnom Vadisi'ne bakan dağın yamaçlarına varıyor, Hinnom Vadisi'ni geçip Yevus'un güney sırtlarına, oradan da Eyn-Rogel'e iniyordu.
Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
17 Kuzeye kıvrılan sınır Eyn-Şemeş ve Adummim Yokuşu'nun karşısındaki Gelilot'a çıkıyor, Ruben oğlu Bohan'ın taşına iniyor,
Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
18 sonra Arava Vadisi'nin kuzey sırtlarından geçip Arava'ya sarkıyor,
Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
19 buradan Beythogla'nın kuzey yamaçlarına geçiyor, Lut Gölü'nün kuzey körfezinde, Şeria Irmağı'nın güney ağzında bitiyordu. Güney sınırı buydu.
Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
20 Şeria Irmağı doğu sınırını oluşturuyordu. Boy sayısına göre Benyaminoğulları'nın payına düşen mülkün sınırları çepeçevre buydu.
Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
21 Boy sayısına göre Benyaminoğulları oymağının payına düşen kentler şunlardı: Eriha, Beythogla, Emek-Kesis,
Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
22 Beytarava, Semarayim, Beytel,
Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
24 Kefar-Ammoni, Ofni, Geva; köyleriyle birlikte on iki kent.
Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
27 Rekem, Yirpeel, Tarala,
Rekemu, Iripeeli, Tarala,
28 Sela, Haelef, Yevus –Yeruşalim– Givat ve Kiryat; köyleriyle birlikte on dört kent. Boy sayısına göre Benyaminoğulları'nın payı buydu.
Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.