< Eyüp 40 >

1 RAB Eyüp'e şöyle dedi:
Bwana akamwambia Ayubu:
2 “Her Şeye Gücü Yeten'le çatışan O'nu yola getirebilir mi? Tanrı'yı suçlayan yanıtlasın.”
“Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
3 O zaman Eyüp RAB'bi şöyle yanıtladı:
Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
4 “Bak, ben değersiz biriyim, Sana nasıl yanıt verebilirim? Ağzımı elimle kapıyorum.
“Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
5 Bir kez konuştum, yanıt almadım, İkinci kez konuşamam artık.”
Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
6 RAB kasırganın içinden Eyüp'ü şöyle yanıtladı:
Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
7 “Şimdi erkek gibi kuşağını beline vur da, Ben sorayım, sen anlat.
“Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
8 “Adaletimi boşa mı çıkaracaksın? Kendini haklı çıkarmak için beni mi suçlayacaksın?
“Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
9 Sende Tanrı'nın bileği gibi bilek var mı? Sesin O'nunki gibi gürleyebilir mi?
Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
10 Öyleyse şan ve şerefe bürün, Görkem ve yücelik kuşan.
Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
11 Gazabının ateşini saç, Gururluya bakıp onu alçalt.
Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
12 Gururluya bakıp onu çökert, Kötüleri bulundukları yerde ez.
mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
13 Hepsini birlikte toprağa göm, Mezarda yüzlerini kefenle sar.
Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
14 O zaman sağ kolunun seni kurtarabileceğini Ben de kabul ederim.
Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
15 “Seninle birlikte yarattığım Behemot'a bak, Sığır gibi ot yiyor.
“Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
16 Bak, ne güç var belinde, Karnının kasları ne güçlü!
Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
17 Kuyruğunu sedir ağacı gibi sallıyor, Sımsıkıdır uyluk lifleri.
Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
18 Kemikleri tunç borular, Kaburgaları demir çubuklar gibidir.
Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
19 Tanrı'nın yapıtları arasında ilk sırayı alır, Yalnız Yaratıcısı ona kılıçla yaklaşır.
Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
20 Tepeler ürünlerini ona getirir, Bütün yabanıl hayvanlar yanında oynaşır.
Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
21 Hünnap çalıları altında, Kamışlarla örtülü bir bataklıkta yatar.
Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
22 Hünnaplar onu gölgelerinde saklar, Vadideki kavaklar kuşatır.
Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
23 Irmak coşsa bile o ürkmez, Güvenlik içindedir, Şeria Irmağı boğazına dayansa bile.
Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
24 Gözleri açıkken kim onu tutabilir, Kim kancayla burnunu delebilir?
Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?

< Eyüp 40 >