< Eyüp 13 >

1 “İşte, gözlerim her şeyi gördü, Kulağım duydu, anladı.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Sizin bildiğinizi ben de biliyorum, Sizden aşağı kalmam.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Ama ben Her Şeye Gücü Yeten'le konuşmak, Davamı Tanrı'yla tartışmak istiyorum.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Sizlerse yalan düzüyorsunuz, Hepiniz değersiz hekimlersiniz.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Keşke büsbütün sussanız! Sizin için bilgelik olurdu bu.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Şimdi davamı dinleyin, Yakınmama kulak verin.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Tanrı adına haksızlık mı edeceksiniz? O'nun adına yalan mı söyleyeceksiniz?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 O'nun tarafını mı tutacaksınız? Tanrı'nın davasını mı savunacaksınız?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Sizi sorguya çekerse, iyi mi olur? İnsanları aldattığınız gibi O'nu da mı aldatacaksınız?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Gizlice O'nun tarafını tutarsanız, Kuşkusuz sizi azarlar.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 O'nun görkemi sizi yıldırmaz mı? Dehşeti üzerinize düşmez mi?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Anlattıklarınız kül kadar değersizdir, Savunduklarınızsa çamurdan farksız.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 “Susun, bırakın ben konuşayım, Başıma ne gelirse gelsin.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Hayatım tehlikeye girecekse girsin, Canım zora düşecekse düşsün.
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Beni öldürecek, umudum kalmadı, Hiç olmazsa yürüdüğüm yolun doğruluğunu yüzüne karşı savunayım.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Aslında bu benim kurtuluşum olacak, Çünkü tanrısız bir adam O'nun karşısına çıkamaz.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Sözlerimi iyi dinleyin, Kulaklarınızdan çıkmasın söyleyeceklerim.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 İşte davamı hazırladım, Haklı çıkacağımı biliyorum.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Kim suçlayacak beni? Biri varsa susar, son soluğumu veririm.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 “Yalnız şu iki şeyi lütfet, Tanrım, O zaman kendimi senden gizlemeyeceğim:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Elini üstümden çek Ve dehşetinle beni yıldırma.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Sonra beni çağır, yanıtlayayım, Ya da bırak ben konuşayım, sen yanıtla.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Suçlarım, günahlarım ne kadar? Bana suçumu, günahımı göster.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Niçin yüzünü gizliyorsun, Beni düşman gibi görüyorsun?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Rüzgarın sürüklediği yaprağa dönmüşüm, Beni mi korkutacaksın? Kuru samanı mı kovalayacaksın?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Çünkü hakkımda acı şeyler yazıyor, Gençliğimde işlediğim günahları bana miras veriyorsun.
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 Ayaklarımı tomruğa vuruyor, Yollarımı gözetliyor, İzimi sürüyorsun.
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 “Oysa insan telef olmuş, çürük bir şey, Güve yemiş giysi gibidir.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Eyüp 13 >