< Eyüp 12 >
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Kendinizi bir şey sandığınız belli, Ama bilgelik de sizinle birlikte ölecek!
“Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
3 Sizin kadar benim de aklım var, Sizden aşağı kalmam. Kim bilmez bunları?
Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
4 “Gülünç oldum dostlarıma, Ben ki, Tanrı'ya yakarırdım, yanıtlardı beni. Doğru ve kusursuz adam gülünç oldu.
Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
5 Kaygısızlar felaketi küçümser, Ayağı kayanı umursamaz.
Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
6 Soyguncuların çadırlarında rahatlık var, Tanrı'yı gazaba getirenler güvenlik içinde, Tanrı'ya değil, kendi bileklerine güveniyorlar.
Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
7 “Ama şimdi sor hayvanlara, sana öğretsinler, Gökte uçan kuşlara sor, sana anlatsınlar,
Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
8 Toprağa söyle, sana öğretsin, Denizdeki balıklara sor, sana bilgi versinler.
Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Hangisi bilmez Bunu RAB'bin yaptığını?
Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 Her yaratığın canı, Bütün insanlığın soluğu O'nun elindedir.
Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
11 Damağın yemeği tattığı gibi Kulak da sözleri denemez mi?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
12 Bilgelik yaşlılarda, Akıl uzun yaşamdadır.
Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
13 “Bilgelik ve güç Tanrı'ya özgüdür, O'ndadır öğüt ve akıl.
Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
14 O'nun yıktığı onarılamaz, O'nun hapsettiği kişi özgür olamaz.
Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
15 Suları tutarsa, kuraklık olur, Salıverirse dünyayı sel götürür.
Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
16 Güç ve zafer O'na aittir, Aldanan da aldatan da O'nundur.
Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
17 Danışmanları çaresiz kılar, Yargıçları çıldırtır.
Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
18 Kralların bağladığı bağı çözer, Bellerine kuşak bağlar.
Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
19 Kâhinleri çaresiz kılar, Koltuklarında yıllananları devirir.
Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
20 Güvenilir danışmanları susturur, Yaşlıların aklını alır.
Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
21 Rezalet saçar soylular üzerine, Güçlülerin kuşağını gevşetir.
Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
22 Karanlıkların derin sırlarını açar, Ölüm gölgesini aydınlığa çıkarır.
Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
23 Ulusları büyütür, ulusları yok eder, Ulusları genişletir, ulusları sürgün eder.
Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
24 Dünya önderlerinin aklını başından alır, Yolu izi belirsiz bir çölde dolaştırır onları.
Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
25 Karanlıkta el yordamıyla yürür, ışık yüzü görmezler; Sarhoş gibi dolaştırır onları.
Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.