< Eyüp 11 >

1 Naamalı Sofar şöyle yanıtladı:
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
2 “Bunca söz yanıtsız mı kalsın? Çok konuşan haklı mı sayılsın?
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
3 Saçmalıkların karşısında sussun mu insanlar? Sen alay edince kimse seni utandırmasın mı?
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
4 Tanrı'ya, ‘İnancım arıdır’ diyorsun, ‘Senin gözünde temizim.’
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
5 Ama keşke Tanrı konuşsa, Sana karşı ağzını açsa da,
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
6 Bilgeliğin sırlarını bildirse! Çünkü bilgelik çok yönlüdür. Bil ki, Tanrı günahlarından bazılarını unuttu bile.
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
7 “Tanrı'nın derin sırlarını anlayabilir misin? Her Şeye Gücü Yeten'in sınırlarına ulaşabilir misin?
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
8 Onlar gökler kadar yüksektir, ne yapabilirsin? Ölüler diyarından derindir, nasıl anlayabilirsin? (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
9 Ölçüleri yeryüzünden uzun, Denizden geniştir.
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
10 “Gelip seni hapsetse, mahkemeye çağırsa, Kim O'na engel olabilir?
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
11 Çünkü O yalancıları tanır, Kötülüğü görür de dikkate almaz mı?
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
12 Ne zaman yaban eşeği insan doğurursa, Aptal da o zaman sağduyulu olur.
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
13 “O'na yüreğini adar, Ellerini açarsan,
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
14 İşlediğin günahı kendinden uzaklaştırır, Çadırında haksızlığa yer vermezsen,
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
15 Utanmadan başını kaldırır, Sağlam ve korkusuz olabilirsin.
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
16 Sıkıntılarını unutur, Akıp gitmiş sular gibi anarsın onları.
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
17 Yaşamın öğlen güneşinden daha parlak olur, Karanlık sabaha döner.
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
18 Güven duyarsın, çünkü umudun olur, Çevrene bakıp güvenlik içinde yatarsın.
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
19 Uzanırsın, korkutan olmaz, Birçokları senden lütuf diler.
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
20 Ama kötülerin gözlerinin feri sönecek, Kaçacak yer bulamayacaklar, Tek umutları son soluklarını vermek olacak.”
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< Eyüp 11 >