< Yeremya 40 >
1 Muhafız birliği komutanı Nebuzaradan Yeremya'yı Rama'da salıverdikten sonra RAB Yeremya'ya seslendi. Nebuzaradan onu Babil'e sürülen Yeruşalim ve Yahuda halkıyla birlikte zincire vurulmuş olarak Rama'ya götürmüştü.
Neno likamjia Yeremia kutoka kwa Bwana baada ya Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme kumfungua huko Rama. Alikuwa amemkuta Yeremia akiwa amefungwa kwa minyororo miongoni mwa mateka wote kutoka Yerusalemu na Yuda waliokuwa wakipelekwa uhamishoni Babeli.
2 Muhafız birliği komutanı Yeremya'yı yanına çağırtıp, “Tanrın RAB buraya karşı bu felaketi belirledi” dedi,
Kiongozi wa walinzi alipomwona Yeremia, akamwambia, “Bwana Mungu wako aliamuru maafa haya kwa mahali hapa.
3 “Şimdi dediğini yaptı, yapacağını söylediği her şeyi yerine getirdi. Çünkü RAB'be karşı günah işlediniz, O'nun sözünü dinlemediniz. Bütün bunlar bu yüzden başınıza geldi.
Sasa Bwana ameyaleta haya, amefanya sawasawa na vile alivyosema angefanya. Yote haya yametokea kwa sababu ninyi mlifanya dhambi dhidi ya Bwana na hamkumtii.
4 İşte ellerindeki zincirleri çözüyorum. Benimle Babil'e gelmeyi yeğlersen gel, sana iyi bakarım; eğer benimle Babil'e gelmek istemezsen de sorun yok. Bak, bütün ülke önünde! İyi ve doğru bildiğin yere git.
Lakini leo ninakufungua minyororo iliyo kwenye viwiko vya mikono yako. Twende pamoja mpaka Babeli ikiwa unataka, nami nitakutunza. Lakini kama hutaki, basi usije. Tazama, nchi yote iko mbele yako, nenda kokote unakotaka.”
5 Ama burada kalırsan Babil Kralı'nın Yahuda kentlerine vali atadığı Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya'nın yanına dönüp onunla birlikte halkın arasında yaşa ya da istediğin yere git.” Muhafız birliği komutanı Yeremya'ya yiyecek ve armağan verip yoluna gönderdi.
Lakini kabla Yeremia hajageuka kuondoka, Nebuzaradani akaongeza kusema, “Rudi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemchagua awe juu ya miji ya Yuda, ukaishi naye miongoni mwa watu, au uende popote panapokupendeza.” Kisha huyo kiongozi akampa posho yake na zawadi, akamwacha aende zake.
6 Yeremya Mispa'ya, Ahikam oğlu Gedalya'nın yanına gitti. Onunla ve ülkede kalan halkla birlikte orada yaşamaya başladı.
Kwa hiyo Yeremia akaenda kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa, na kuishi naye miongoni mwa watu walioachwa katika nchi.
7 Kırdaki ordu komutanlarıyla adamları, Babil Kralı'nın Ahikam oğlu Gedalya'yı ülkeye vali atadığını, Babil'e sürülmemiş yoksul kadın, erkek ve çocukları ona emanet ettiğini duyunca,
Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia mwana wa Ahikamu kuwa mtawala wa nchi, na amemweka kuwa kiongozi wa wanaume, wanawake na watoto waliokuwa maskini zaidi katika nchi ambao hawakuchukuliwa kwenda uhamishoni Babeli,
8 Mispa'ya, Gedalya'nın yanına geldiler. Gelenler Netanya oğlu İsmail, Kareah'ın oğulları Yohanan ve Yonatan, Tanhumet oğlu Seraya, Netofalı Efay'ın oğulları, Maakalı oğlu Yaazanya ve adamlarıydı.
wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani na Yonathani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi, wana wa Efai Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.
9 Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya onlara ve adamlarına ant içerek, “Kildaniler'e kulluk etmekten korkmayın” dedi, “Ülkeye yerleşip Babil Kralı'na hizmet edin. Böylesi sizin için daha iyi olur.
Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani akaapa ili kuwatia moyo wao na watu wao. Akasema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vyema kwenu.
10 Bana gelince, Mispa'da kalacağım, gelecek Kildaniler'in önünde sizi temsil edeceğim. Siz şarap, yaz meyveleri, zeytinyağı toplayıp kaplarınızda depolayın ve aldığınız kentlerde yaşayın.”
Mimi mwenyewe nitakaa Mispa ili kuwawakilisha mbele ya Wakaldayo wanaotujia, lakini ninyi mtavuna divai, matunda ya kiangazi na mafuta, nanyi mtaweka katika vyombo vyenu vya kuhifadhia, na kuishi katika miji mliyojitwalia.”
11 Moav, Ammon, Edom ve öbür ülkelerde yaşayan Yahudiler'in hepsi, Babil Kralı'nın Yahuda'da bir kesim halkı sağ bıraktığını ve Şafan oğlu Ahikam oğlu Gedalya'yı onlara vali atadığını duyunca,
Wayahudi wote waliokuwa Moabu, Amoni, Edomu na nchi nyingine zote waliposikia kwamba mfalme wa Babeli ameacha mabaki ya watu katika Yuda na amemweka Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kuwa mtawala wao,
12 sürülmüş oldukları ülkelerden geri dönüp Yahuda'ya, Mispa'da bulunan Gedalya'nın yanına geldiler. Sonra bol bol şarap ve yaz meyvesi topladılar.
wakarudi wote katika nchi ya Yuda kwa Gedalia huko Mispa, kutoka nchi zote ambazo walikuwa wametawanywa. Nao wakavuna divai na matunda tele wakati wa kiangazi.
13 Kareah oğlu Yohanan'la kırdaki bütün ordu komutanları da Mispa'da bulunan Gedalya'nın yanına geldiler.
Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi wakamjia Gedalia huko Mispa
14 Ona, “Ammon Kralı Baalis'in seni öldürmek için Netanya oğlu İsmail'i gönderdiğini bilmiyor musun?” dediler. Gelgelelim Ahikam oğlu Gedalya onlara inanmadı.
na kumwambia, “Je, hujui kwamba Baalisi mfalme wa Waamoni amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania akuue?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.
15 Kareah oğlu Yohanan Mispa'da Gedalya'ya gizlice, “İzin ver de gidip Netanya oğlu İsmail'i öldüreyim” dedi, “Kimse bilmeyecek! Neden seni öldürsün de çevrende toplanan bütün Yahudiler dağılsın, Yahuda'da sağ kalmış olanlar yok olsun?”
Kisha Yohanani mwana wa Karea akamwambia Gedalia kwa siri huko Mispa, “Acha niende nikamuue Ishmaeli mwana wa Nethania, wala hakuna atakayejua. Kwa nini akuue na kusababisha Wayahudi wote waliokuzunguka watawanyike, na mabaki wa Yuda waangamie?”
16 Ama Ahikam oğlu Gedalya, “Böyle bir şey yapma! İsmail'le ilgili söylediklerin yalan” dedi.
Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo kama hilo! Unalosema kuhusu Ishmaeli si kweli.”