< Yeşaya 66 >

1 RAB diyor ki, “Gökler tahtım, Yeryüzü ayaklarımın taburesidir. Nerede benim için yapacağınız ev, Neresi dinleneceğim yer?
Hili ndilo asemalo Bwana, “Mbingu ni kiti changu cha enzi, nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu. Iko wapi nyumba mtakayoijenga kwa ajili yangu? Mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?
2 Çünkü bütün bunları ellerim yaptı, Hepsi böylece var oldu” diyor RAB. “Ancak ben alçakgönüllüye, ruhu ezik olana, Sözümden titreyen kişiye değer veririm.
Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote, hivyo vikapata kuwepo?” asema Bwana. “Mtu huyu ndiye ninayemthamini: yeye ambaye ni mnyenyekevu na mwenye roho yenye toba, atetemekaye asikiapo neno langu.
3 Sığır boğazlayan, adam öldüren gibidir, Davar kurban eden, köpek boynu kıran, Tahıl sunusu getiren, domuz kanı sunan, Anma sunusu olarak günnük yakan, putperest gibidir. Evet, bunlar kendi yollarını seçtiler, Yaptıkları iğrençliklerden hoşlanıyorlar.
Lakini yeyote atoaye dhabihu ya fahali ni kama yeye auaye mtu, na yeyote atoaye sadaka ya mwana-kondoo, ni kama yule avunjaye shingo ya mbwa. Yeyote atoaye sadaka ya nafaka, ni kama yule aletaye damu ya nguruwe, na yeyote afukizaye uvumba wa kumbukumbu, ni kama yule aabuduye sanamu. Wamejichagulia njia zao wenyewe, nazo nafsi zao zinafurahia machukizo yao.
4 Ben de onlar için yıkımı seçecek, Korktuklarını başlarına getireceğim. Çünkü çağırdığımda yanıt veren olmadı, Konuştuğumda dinlemediler, Gözümde kötü olanı yaptılar, Hoşlanmadığımı seçtiler.”
Hivyo, mimi pia nitawachagulia mapigo makali, nami nitaleta juu yao kile wanachokiogopa. Kwa maana nilipoita, hakuna yeyote aliyejibu, niliposema, hakuna yeyote aliyesikiliza. Walifanya maovu machoni pangu na kuchagua lile linalonichukiza.”
5 RAB'bin sözünden titreyenler, Kulak verin O'nun söylediklerine: “Sizden nefret eden, Adımdan ötürü sizi dışlayan kardeşleriniz, ‘RAB yüceltilsin de sevincinizi görelim!’ diyorlar. Utandırılacak olan onlardır.
Sikieni neno la Bwana, ninyi mtetemekao kwa neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia ninyi na kuwatenga ninyi kwa sababu ya Jina langu, wamesema, ‘Bwana na atukuzwe, ili tupate kuona furaha yenu!’ Hata sasa wataaibika.
6 Kentten gürültülü sesler, Tapınaktan bir ses yükseliyor! Düşmanlarına hak ettikleri karşılığı veren RAB'bin sesidir bu.
Sikieni hizo ghasia kutoka mjini, sikieni hizo kelele kutoka hekaluni! Ni sauti ya Bwana ikiwalipa adui zake yote wanayostahili.
7 “Doğum sancısı çekmeden doğurdu, Sancısı tutmadan bir erkek çocuk doğurdu.
“Kabla hajasikia utungu, alizaa; kabla hajapata maumivu, alizaa mtoto mwanaume.
8 Kim böyle bir şey duydu? Kim böyle şeyler gördü? Bir ülke bir günde doğar mı, Bir anda doğar mı bir ulus? Ama Siyon, ağrısı tutar tutmaz çocuklarını doğurdu.
Ni nani amepata kusikia jambo kama hili? Ni nani amepata kuona mambo kama haya? Je, nchi yaweza kuzaliwa kwa siku moja, au taifa laweza kutokea mara? Mara Sayuni alipoona utungu, alizaa watoto wake.
9 Doğum anına dek getiririm de Doğuracak gücü vermez miyim?” diyor RAB. “Doğuracak güç veren ben, rahmi kapatır mıyım?” diyor Tanrın.
Je, nilete mwana hadi wakati wa kuzaliwa na nisizalishe?” asema Bwana. “Je, nifunge tumbo la uzazi wakati mimi ndiye nizalishaye?” asema Mungu wako.
10 “Yeruşalim'le birlikte sevinin, Onu sevenler, hepiniz onun için coşun, Yeruşalim için yas tutanlar, onunla sevinçle coşun.
“Shangilieni pamoja na Yerusalemu na mfurahi kwa ajili yake, ninyi nyote mnaompenda, shangilieni kwa nguvu pamoja naye, ninyi nyote mnaoomboleza juu yake.
11 Öyle ki, onun avutucu memelerini emip doyasınız, Kana kana içip Onun yüce bolluğundan zevk alasınız.”
Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka katika faraja ya matiti yake; mtakunywa sana, na kuufurahia wingi wa mafuriko ya ustawi wake.”
12 Çünkü RAB diyor ki, “Bakın, esenliği bir ırmak gibi, Ulusların servetini taşkın bir ırmak gibi ona akıtacağım. Ondan beslenecek, kucakta taşınacak, Dizleri üzerinde sallanacaksınız.
Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: “Nitamwongezea amani kama mto, nao utajiri wa mataifa kama kijito kifurikacho; utanyonya na kuchukuliwa mikononi mwake na kubembelezwa magotini pake.
13 Çocuğunu avutan bir anne gibi avutacağım sizi, Yeruşalim'de avuntu bulacaksınız.
Kama mama anavyomfariji mtoto wake, ndivyo nitakavyokufariji wewe, nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.”
14 Bunları gördüğünüzde yüreğiniz sevinecek, Bedenleriniz körpe ot gibi tazelenecek. Herkes bilecek ki, RAB'bin koruyucu eli kullarının, Gazabı ise düşmanlarının üzerindedir.”
Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia, nanyi mtastawi kama majani; mkono wa Bwana utajulikana kwa watumishi wake, bali ghadhabu yake kali itaonyeshwa kwa adui zake.
15 Bakın, RAB ateşle geliyor, Savaş arabaları kasırga gibi. Şiddetli öfkesini, Azarını alev alev dökmek üzere.
Tazama, Bwana anakuja na moto, magari yake ya vita ni kama upepo wa kisulisuli, atateremsha hasira yake kwa ghadhabu kali, na karipio lake pamoja na miali ya moto.
16 Çünkü O bütün insanlığı ateş ve kılıçla yargılayacak, Pek çok kişiyi öldürecek.
Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake Bwana atatekeleza hukumu juu ya watu wote, nao wengi watakuwa ni wale waliouawa na Bwana.
17 “Bahçelere girmek için kendilerini arıtıp kutsayanlar, domuz, fare ve öteki iğrenç hayvanların etini yiyenlerin ortasında duranı izleyenler hep birlikte yok olacaklar” diyor RAB,
“Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini, wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja,” asema Bwana.
18 “Çünkü ben onların eylemlerini de düşüncelerini de bilirim. Bütün ulusları ve dilleri bir araya toplayacağım an geliyor; gelip yüceliğimi görecekler.
“Nami, kwa sababu ya matendo yao na mawazo yao, niko karibu kuja na kukusanya mataifa yote na lugha zote, nao watakuja na kuuona utukufu wangu.
19 “Aralarına bir belirti koyacağım. Onlardan kaçıp kurtulanları uluslara, Tarşiş'e, Pûl'a, Lud'a –yay gerenlere– Tuval'a, Yâvan'a, ünümü duymamış, yüceliğimi görmemiş uzak kıyı halklarına göndereceğim. Uluslar arasında yüceliğimi ilan edecekler.
“Nitaweka ishara katikati yao, nami nitapeleka baadhi ya hao walionusurika kwa mataifa, hadi Tarshishi, kwa Puli na Waludi (wanaojulikana kama wapiga upinde), kwa Tubali na Uyunani, hadi visiwa vya mbali ambavyo havijasikia juu ya sifa zangu au kuuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.
20 İsrailoğulları tahıl sunularını pak kaplar içinde RAB'bin Tapınağı'na nasıl getiriyorsa, onlar da bütün kardeşlerinizi uluslardan atlarla, savaş arabalarıyla, at arabalarıyla, katırlarla, develerle kutsal dağıma, Yeruşalim'e, RAB'be sunu olarak getirecekler.” Böyle diyor RAB.
Nao watawaleta ndugu zenu wote, kutoka mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa Bwana, juu ya farasi, katika magari ya vita na magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,” asema Bwana. “Watawaleta, kama Waisraeli waletavyo sadaka zao za nafaka, katika Hekalu la Bwana, katika vyombo safi kwa kufuata desturi za ibada.
21 “Onların arasından kimilerini kâhin ve Levili olarak seçeceğim” diyor RAB.
Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema Bwana.
22 “Çünkü yaratacağım yeni yer ve gök önümde nasıl duracaksa, soyunuz ve adınız da öyle duracak” diyor RAB.
“Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema Bwana, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu.
23 “Yeni Ay'dan Yeni Ay'a, Şabat Günü'nden Şabat Günü'ne bütün insanlar önüme gelip bana tapınacaklar” diyor RAB.
Kutoka Mwezi Mpya hata mwingine, na kutoka Sabato hadi nyingine, wanadamu wote watakuja na kusujudu mbele zangu,” asema Bwana.
24 “Dışarı çıktıklarında bana başkaldırmış olanların cesetlerini görecekler. Öylelerini kemiren kurt ölmez, yakan ateş sönmez. Bütün insanlar onlardan iğrenecek.”
“Nao watatoka nje na kuona maiti za wale walioniasi mimi. Funza wao hawatakufa, wala moto wao hautazimika, nao watakuwa kitu cha kuchukiza sana kwa wanadamu wote.”

< Yeşaya 66 >