< Yeşaya 6 >

1 Kral Uzziya'nın öldüğü yıl yüce ve görkemli Rab'bi gördüm; tahtta oturuyordu, giysisinin etekleri tapınağı dolduruyordu.
Nyakati zile za kifo cha mfalme Uzzia, nilimuona Bwana akiketi katika kiti cha cha enzi; alikuw juu na mahali palipo inuka, na pindo la vazi lake limejaa hekaluni.
2 Üzerinde Seraflar duruyordu; her birinin altı kanadı vardı; ikisiyle yüzlerini, ikisiyle ayaklarını örtüyor, öbür ikisiyle de uçuyorlardı.
Juu yake kuna maserafi; kila moja lina mabwa sita; mawili yamefunika uso wake, na mawili yamefunika miguu yake, na mawili ya kurukia.
3 Birbirlerine şöyle sesleniyorlardı: “Her Şeye Egemen RAB Kutsal, kutsal, kutsaldır. Yüceliği bütün dünyayı dolduruyor.”
Kila mmoja anaitana na mwenzake nakusema, ''Mtakakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu. ni Yahwe wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.''
4 Seraflar'ın sesinden kapı söveleriyle eşikler sarsıldı, tapınak dumanla doldu.
Misingi ya vizingiti imeshtuka kwa sauti ya mtu aliye nje, na njumba imejaa moshi.
5 “Vay başıma! Mahvoldum” dedim, “Çünkü dudakları kirli bir adamım, dudakları kirli bir halkın arasında yaşıyorum. Buna karşın Kral'ı, Her Şeye Egemen RAB'bi gözlerimle gördüm.”
Ndipo nikasema,'' Ole wangu'' ninastahili adhabu maan mimi ni mtu mwenye midomo michafu, na ninaishi na watu wenye midomo michafu, maana macho yangu yamemuona Mfalme, Yahwe, Yahwe wa majeshi.''
6 Seraflar'dan biri bana doğru uçtu, elinde sunaktan maşayla aldığı bir kor vardı;
Ndipo mmoja wa maserafi akaruka juu yangu; mkononi mwake akiwa amebeba makaa ya mawe yanayong'aa, ameyachukuwa kwa koleo mathebauni.
7 onunla ağzıma dokunarak, “İşte bu kor dudaklarına değdi, suçun silindi, günahın bağışlandı” dedi.
Akaugusa mdomo wangu kwa makaa ya mawe na akasema, ''Ona, makaa ya mawe yameshika midomo yako; maovu yako yameondolewa, na dhambi zako zimelipiwa kwa hili.''
8 Sonra Rab'bin sesini işittim: “Kimi göndereyim? Bizim için kim gidecek?” diyordu. “Ben! Beni gönder” dedim.
Nilisikia sauti ya Bwana ikisema, Nimtume nani; nani ataenda kwa niaba yetu?'' Ndipo nikasema, Niko hapa; nitume mimi.''
9 “Git, bu halka şunu duyur” dedi, “‘Duyacak duyacak, ama anlamayacaksınız, Bakacak bakacak, ama görmeyeceksiniz!
Akasema nenda na uwambie watu, ' mnasikiliza lakini hamelewi; anaona lakini hamuangalii. '
10 Bu halkın yüreğini duygusuzlaştır, Kulaklarını ağırlaştır, Gözlerini kapat. Öyle ki, gözleri görmesin, Kulakları duymasın, yürekleri anlamasın Ve bana dönüp şifa bulmasınlar.’”
Nenda ufanye mioyo ya watu hawa kuwa migumu, na masikio yao kuwa mazito, na macho yao kuwa vipofu. Hivyo basi wanaweza kuona kwa macho yao, kusikia kwa masikioa yao, na kuelewa kwa mioyo yao wakajeuka na kuponjwa.
11 “Ne vakte kadar, ya Rab?” diye sordum. Rab yanıtladı: “Kentler viraneye dönüp kimsesiz kalıncaya, Evler ıpıssız oluncaya, Toprak büsbütün kıraçlaşıncaya kadar.
Ndipo nikasema, ''Bwana, mda gani?'' Akanijibu, mpaka mji itakapopata ajali na kuharibiwa na pasipo wakazi, na nyumba hazina watu, na nchi imeanguka katika ukiwa mtupu,
12 İnsanları çok uzaklara süreceğim, Ülke bomboş kalacak,
na mpaka pale Yahwe atakapo wapeleka watu mbali, na upweke wa nchi ni mkubwa.
13 Halkın onda biri kalsa da ülke mahvolacak. Ama devrildiği zaman kütüğü kalan Yabanıl fıstık ve meşe ağacı gibi, Kutsal soy kütüğünden çıkacak.”
Hata kama makumi ya watu watabaki kwenye nchi, itaharibiwa kwa mara nyingine kama mwaloni uliokatwa chini na shina lake likabaki, mbegu takatifu kwenye kisiki chake.''

< Yeşaya 6 >