< Yeşaya 4 >
1 O gün yedi kadın bir erkeği tutup, “Kendi yemeğimizi de giysimizi de sağlarız; yeter ki senin adını alalım. Utancımızı gider!” diyecekler.
Siku hiyo wanawake saba watamchukua mwanaume mmoja na kusema, ''Tutakula chakula chetu wenyewe, tutavaa nguo zetu wenyewe. lakini tunahitaji kuchukua jina lako ili tuondoe haibu zetu.''
2 O gün RAB'bin dalı, İsrail halkından sağ kalanların güzelliği ve görkemi olacak; ülkenin meyvesi de onların kıvancı ve övüncü olacak.
Na siku hiyo tawi zuri la Yahwe na utukufu, na matunda yatakuwa na ladha nzuri na kupendeza kwa wale wanaoishi Israeli.
3 Siyon'da, yani Yeruşalim'de sağ kalanlara, “Yeruşalim'de yaşıyor” diye kaydedilenlere, “Kutsal” denilecek.
Itatokea kwa yule aliyeachwa Sayuni na wale waliobakia Yerusalemu wataitwa watakatifu, yeyeto aliyeandikwa chini anaishi Yerusalemu.
4 Rab Siyon kızlarını pisliklerinden arındıracak. Yeruşalim'de dökülen kanı adil ve ateşten bir ruhla temizleyecek.
Hii itatokea pale ambapo Bwana atasafisha uchafu wa mabinti wa Sayuni, na atasafisha madoa ya damu kutoka kati ya Yerusalemu, kwa namna ya roho ya hukumu na roho ya kuungua na moto.
5 Sonra RAB Siyon Dağı'nın her yanını, orada toplananların üzerini gündüz bulutla, gece dumanla ve parlak alevle örtecek. Yüceliği onların üzerinde bir örtü olacak.
Tena juu ya mlima wote wa Sayuni na mahali pakuksanyikia, Yahwe atafanya wingu na moshi kwa wakati wa mchana na moto unaong'a wakati wa usiku; na itakuwa dari juu ya utukufu wote.
6 Bu, bir çardak, gündüzün sıcağına karşı gölge, yağmura, fırtınaya karşı sığınak ve korunak olacak.
kutakuwa na kivuli kwenye makazi wakati mchana kuzuia jua, na kimbilio na mfuniko kutoka kwenye mawimbi na mvua.