< Yeşaya 20 >

1 Asur ordusunun başkomutanı, Asur Kralı Sargon'un buyruğuyla gelerek Aşdot'a saldırıp kenti ele geçirdiği yıl RAB Amots oğlu Yeşaya aracılığıyla şöyle dedi: “Git, belindeki çulu çöz, ayağındaki çarığı çıkar.” Yeşaya denileni yaptı, çıplak ve yalınayak dolaşmaya başladı.
Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
2
Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
3 RAB dedi ki, “Mısır'a ve Kûş'a belirti ve ibret olsun diye kulum Yeşaya nasıl üç yıl çıplak ve yalınayak dolaştıysa,
Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
4 Asur Kralı da Mısır'a utanç olsun diye Mısırlı tutsaklarla Kûşlu sürgünleri genç yaşlı demeden, çıplak ve yalınayak, mahrem yerleri açık yürütecek.
katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
5 Kûş'a bel bağlayan, Mısır'la övünen halk hüsrana uğrayacak, utanç içinde kalacak.
Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
6 Bu kıyı bölgesinde yaşayanlar o gün, “Asur Kralı'nın elinden kurtulmak için yardımına sığındığımız, bel bağladığımız ulusların başına gelene bakın!” diyecekler, “Biz nasıl kurtulacağız?”
Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''

< Yeşaya 20 >