< Yeşaya 2 >
1 Amots oğlu Yeşaya'nın Yahuda ve Yeruşalim'le ilgili görümü:
Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2 RAB'bin Tapınağı'nın kurulduğu dağ, Son günlerde dağların en yücesi, Tepelerin en yükseği olacak. Oraya akın edecek ulusların hepsi.
Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
3 Birçok halk gelecek, “Haydi, RAB'bin Dağı'na, Yakup'un Tanrısı'nın Tapınağı'na çıkalım” diyecekler, “O bize kendi yolunu öğretsin, Biz de O'nun yolundan gidelim.” Çünkü yasa Siyon'dan, RAB'bin sözü Yeruşalim'den çıkacak.
Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
4 RAB uluslar arasında yargıçlık edecek, Birçok halkın arasındaki anlaşmazlıkları çözecek. İnsanlar kılıçlarını çekiçle dövüp saban demiri, Mızraklarını bağcı bıçağı yapacaklar. Ulus ulusa kılıç kaldırmayacak, Savaş eğitimi yapmayacaklar artık.
Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
5 Ey Yakup soyu, gelin RAB'bin ışığında yürüyelim.
Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
6 Ya RAB, halkını, Yakup soyunu terk ettin, Çünkü yürekleri doğu kökenli inançlarla dolu. Filistliler gibi falcılıkla uğraşıyor, Yabancılarla el sıkışıyorlar.
Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
7 Ülkeleri altınla, gümüşle dolu, Hazinelerinin sonu yok, Sayısız atları, savaş arabaları var.
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
8 Ülkeleri putlarla dolu; Elleriyle yaptıkları, Parmaklarıyla biçim verdikleri Putların önünde eğiliyorlar.
Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
9 Bu yüzden herkes alçaltılıp dize getirilecek. Onları bağışlama, ya RAB!
Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
10 RAB'bin dehşetinden, Yüce görkeminden kaçmak için kayalıklara gidin, Yerin altına saklanın.
Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
11 İnsanın küstah bakışları alçaltılacak, Gururu kırılacak. O gün yalnız RAB yüceltilecek.
Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
12 Çünkü Her Şeye Egemen RAB o gün Kibirlileri, gururluları, kendini beğenmişleri alçaltacak;
Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
13 Lübnan'ın bütün ulu, yüksek sedir ağaçlarını, Başan'ın bütün meşelerini yok edecek;
na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
14 Bütün ulu dağları, yüksek tepeleri,
Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
15 Bütün yüksek kuleleri, güçlü surları Yerle bir edecek;
na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
16 Ticaret gemilerinin, güzel teknelerinin hepsini yok edecek.
na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
17 İnsanların gururu, kibiri kırılacak, O gün yalnız RAB yüceltilecek,
Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
18 Putlar tümüyle ortadan kalkacak.
Sanamu zote zitaondolewa.
19 RAB kalkıp yeryüzünü sarsmaya başlayınca, İnsanlar O'nun dehşetinden Ve yüce görkeminden kaçmak için Kayalık mağaralara, yeraltı kovuklarına saklanacaklar.
Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
20 O gün insanlar Yeryüzünü sarsmak üzere harekete geçen RAB'bin dehşetinden Ve yüce görkeminden kaçmak için Tapmak amacıyla yaptıkları altın, gümüş putları Köstebeklere, yarasalara atıp Kaya kovuklarına, uçurumlardaki yarıklara saklanacaklar.
Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
22 Ölümlü insana güvenmekten vazgeçin. Onun ne değeri var ki?
usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?